Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Na wewe unataka ufanye hivyo? Kama hao watu si.
 
Unamuamini mtu wa Kwanza ( Nesi/ Mkunga sijui ) anaebeba mtoto wako na kukukabidhi ?
Unajifunza Nini juu ya vilema wanavyozaliwa navyo watu ?

Unajifunza Nini wazee wanapokuambia bariki chombo kabla hakija beba mzigo ?.

Maneno ya wazee hayaanguki hovyo Kama embe bovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…