Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Ardhi hii hii unayoiponda ndiyo inatupa Kodi ktk mirabaha ya madini na gesi asilia. Ardhi imetupa Bomba la mafuta Hoima.
Nimesema mahali kuwa shida siyo kuwa proud na nchi. Shida ni viongozi wetu.Wewe utakalia kujivunia madini, gesi na bomba la mafuta, ila hujiulizi nani mfaidika wa hayo kati ya wewe na serikali.
Uko sahihi kabisaa. Ingawa hawa viongozi ndiyo huongoza utungajibwa sera. Kwa mfano, Sasa hivi kuna mchakato wa kutengeneza dira ya nchi tazama jinsi mchakato ulivyo. Nilitegemea time ya mipango ndiyo wawe mbele zaidi ya wanasiasa lakini ngoja uone.Sio sera, bali ni uongozi.
Dubai hawakuwa na kitu, ila uongozi umewafikisha walipo. Tanzania na nchi nyingi za Africa zina kila kitu yet ni maskini.
Uongozi bora na makini hutengeneza sera zilipo bora na huondoa sera zilizo mbovu.
Utalii na biashara.Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?
Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Mimi nikipata chance ya ku escape hichi kijiji cha wachawi ambacho ukfanikiwa tu watu wanakesha juu ya dari lako kukuwangia nasepa fasta.Tanzania umeona ni nchi ya maana Sana mkuu
Kuna akiliSio nchini Kenya tu nasema hivi huweza kuzuia watu kuzunguka kwenye ardhi hii hata uweke ukuta wa Trump
Wataingia tu, haya ni yenu tu kusema Wasomali magaidi ila hujui nani anashikilia Uchumi wa Kenya kwa sasa
Tembelea huko uone biashara zao na apartments wanazoshusha mpaka mkikuyu anaomba maji kwao apoze roho
Hapa [emoji636] nawaona Wahabeshi kila leo wanaingia na wanapita Tz mnawakamata wanahonga wanakuja huku kama wakimbizi
Nyie mmekalia ooh usalama
Si amesema Rais wa Kenya akila anaekuja atakuwa verified na kupewa certificate.Faiza usalama sio priority comrade?
Hii sio sawa na wale wanaosema barabara ya nyerere road?Your reasoning capacity yako
Mkuu naona ume-mind sana calm down hatufanani ki-hulkaHii sio sawa na wale wanaosema barabara ya nyerere road?
Nje ya uzi kidogo, mkuu mbona unakuaga na hisia kali kwenye michango yako?