Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Sio sera, bali ni uongozi.

Dubai hawakuwa na kitu, ila uongozi umewafikisha walipo. Tanzania na nchi nyingi za Africa zina kila kitu yet ni maskini.

Uongozi bora na makini hutengeneza sera zilipo bora na huondoa sera zilizo mbovu.
Uko sahihi kabisaa. Ingawa hawa viongozi ndiyo huongoza utungajibwa sera. Kwa mfano, Sasa hivi kuna mchakato wa kutengeneza dira ya nchi tazama jinsi mchakato ulivyo. Nilitegemea time ya mipango ndiyo wawe mbele zaidi ya wanasiasa lakini ngoja uone.
 
Utalii na biashara.
 
Tanzania umeona ni nchi ya maana Sana mkuu
Mimi nikipata chance ya ku escape hichi kijiji cha wachawi ambacho ukfanikiwa tu watu wanakesha juu ya dari lako kukuwangia nasepa fasta.

Wabongo nuksi
 
Kuna akili
 
Faiza usalama sio priority comrade?
Si amesema Rais wa Kenya akila anaekuja atakuwa verified na kupewa certificate.

Ni mfumo tu umebadilika lakini usalama yutazingatiwa kama kawaida.

Mbona Tanzania hatuhitaji visa kuingia Afrika Kusini na nchi nyingi tu nyingine. Kenya wameamuwa zote.

Rutoi ni mjanja sana, anataka aadae aitumie hiyo ili raia zake watoke kwa wingi kwenda kutafuta kazi nje ya Kenya, Kenya haina uwezo wa kuzalisha ajira kwa wingi kuwabeba wote.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…