Ikizu Bukama
Senior Member
- Nov 26, 2023
- 183
- 378
Maga
Magaidi wakitaka kuingia wanaingia tu,kwa hiyo USD 20 inazuia gaidiNimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda kenya kwa kukosa dola 30?
hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo ,kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii
tutaingiza magaidi nchini