Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Maga
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda kenya kwa kukosa dola 30?

hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo ,kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii
tutaingiza magaidi nchini
Magaidi wakitaka kuingia wanaingia tu,kwa hiyo USD 20 inazuia gaidi
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda kenya kwa kukosa dola 30?

hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo ,kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii
tutaingiza magaidi nchini
Mtego tu huo kwa Tanzania, hamna lolote.
 
Your reasoning capacity yako iko chini below average......nchi kama Tanzania inauwezo wa kuzuia magaidi kuingia wa kitaka?, nani kakuambia kwamba gaidi anahitaji viza kuingia hapa Tanzania.....haya ndo mathara ya elimu ya Nyerere ya kujifunza kusoma na kuandika haizalishi'critical thinkers'
Nimeshangaa sana, kikubwa hapo ulinz mipakani uimarishwe, ukaguzi uwe mzuri watu wasiingie na madawa ya kulevya na Silaga hatari bas,
 
Nadhani na sisi tuondoe vikwazo vya visa kwa nchi zote za Africa isipokua zenye usalama mbovu wa raia wake.
Hii italeta chachu ya maendeleo.
Ila serekali iwe makini na kuongeza ufuatiliaji.
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Magaidi wanashindwa kulipa hiyo dola 30. Huna hoja
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Tatizo sio visa fee but usumbufu wa kuipata. Wana maswali ya kipumbavu zaidi ya majaji wa bongo star search!
 
Kusema hivo unamanisha mustakabali wa maisha yetu upo kwa mataifa makubwa na sisi hatuna la kufanya.
Mkuu hapo kuna masuala mawili umechukua moja mkuu wangu.
Ni katika kubadilishana mawazo tu, nature ya viongozi wa africa, ufisadi, ulafi wa madarakA, ubabe, n.k unafikiri watakubaliana wenyewe kwa wenyewe?

Pili si suala la kuamuliwa na Mataifa makubwa, kwa picha kubwa ukitazama unafikiri wanaweza kubali?
 
(1)-Kenya wana uzoefu na magaidi,kule Mombasa Kenyatta kafweka masheikh ndugu zao na hawa wa UAMSHO akina Rogo hivyo lazima kuna T&C apply.


(2)-Pamoja na yote lazima hii fungulia mbwa itaathiri hadi usalama wa majirani hebu fikiria hivi sasa wahabesh wanakamatiwa Tz mamia na wamepita Kenya yenye kuhitaji Visa na hawana documents zozote.
 
Sisi sote ni watu na tunatakiwa kuishi na kufanya shughuli zetu kwa kufanya interaction freely,hii mipaka ni ya kikoloni yenye lengo la kutugawa , kututawala na kutunyonya.Hizi hoja za akina fulani watajaa huku ni hoja za uoga na umaskini.

Wakoloni? Mbona na wao nchi zao zina mipaka! Na wao wanataka kunyonyana? Kwani wao mipaka yao iliwekwa na nani? Sijaielewa hii hoja!
 
Back
Top Bottom