Ikizu Bukama
Senior Member
- Nov 26, 2023
- 183
- 378
Magaidi wakitaka kuingia wanaingia tu,kwa hiyo USD 20 inazuia gaidiNimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda kenya kwa kukosa dola 30?
hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo ,kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii
tutaingiza magaidi nchini
Mtego tu huo kwa Tanzania, hamna lolote.Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda kenya kwa kukosa dola 30?
hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo ,kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii
tutaingiza magaidi nchini
It is just of unkown,mawazo ya kuhisi Tanzania anatamaniwa sana wakati hakuna kitu,ule wimbo wa Tanzania nakupenda na mauongo yaliombatana na wimboTuelezee mkuu, kwanini unasema ili Tanzania aingie? Kwanini Tanzania awe target?
Ameplan nini kenya kwa Tz?
Tupe madini mkuu.
Mkuu North,hii mipaka ni ya kikoloni yenye lengo la kutugawa , kututawala na kutunyonya.Hizi hoja za akina fulani watajaa huku ni hoja za uoga na umaskini.
Nimeshangaa sana, kikubwa hapo ulinz mipakani uimarishwe, ukaguzi uwe mzuri watu wasiingie na madawa ya kulevya na Silaga hatari bas,Your reasoning capacity yako iko chini below average......nchi kama Tanzania inauwezo wa kuzuia magaidi kuingia wa kitaka?, nani kakuambia kwamba gaidi anahitaji viza kuingia hapa Tanzania.....haya ndo mathara ya elimu ya Nyerere ya kujifunza kusoma na kuandika haizalishi'critical thinkers'
Hatuweziishi kwa kuiga kila kitu, kisa wao wana mipaka na sie tuwe na mipaka.Africa iwe moja kuwe na free movement .Mkuu North,
Kusema ni hoja za uoga za kimaskini una maanisha nini? Kwani kwao hakuna mipaka? Hakuna qualification za kuingia nchi Husika?
Mkuu,Hatuweziishi kwa kuiga kila kitu, kisa wao wana mipaka na sie tuwe na mipaka.Africa iwe moja kuwe na free movement .
Namanisha kwenda Misri uwe kama unaenda kariakoo.Mkuu,
Hoja yako ni ipi? Pasiwepo mipaka kwa mantiki ipi mkuu?
Africa moja Kama muunganiko wa states marekani? Au niwe na uwezo wa kutoka hapa kwenda misri Kama naenda Kariakoo?
Unafikiri kwa nature ya viongozi wa kiafrica wanaweza kukubali hilo? Yaani Leo mfano kagame awe raisi wa africa nzima? nchi zilizoendelea zinakubali jambo hilo?Namanisha hivo.
Nadhani watu wengi hapa TZ akili hazifanyi kazi. Free movements ndiyo dunia ya sasa.Your reasoning capacity yako iko chini below average......nchi kama Tanzania inauwezo wa kuzuia magaidi kuingia wakitaka?, Nani kakuambia kwamba gaidi anahitaji viza kuingia hapa Tanzania?
Magaidi wanashindwa kulipa hiyo dola 30. Huna hojaNimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?
Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Tatizo sio visa fee but usumbufu wa kuipata. Wana maswali ya kipumbavu zaidi ya majaji wa bongo star search!Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?
Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania
ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Kusema hivo unamanisha mustakabali wa maisha yetu upo kwa mataifa makubwa na sisi hatuna la kufanya.Unafikiri kwa nature ya viongozi wa kiafrica wanaweza kukubali hilo? Yaani Leo mfano kagame awe raisi wa africa nzima? nchi zilizoendelea zinakubali jambo hilo?
Mkuu hapo kuna masuala mawili umechukua moja mkuu wangu.Kusema hivo unamanisha mustakabali wa maisha yetu upo kwa mataifa makubwa na sisi hatuna la kufanya.
Sisi sote ni watu na tunatakiwa kuishi na kufanya shughuli zetu kwa kufanya interaction freely,hii mipaka ni ya kikoloni yenye lengo la kutugawa , kututawala na kutunyonya.Hizi hoja za akina fulani watajaa huku ni hoja za uoga na umaskini.