Kuna faida zozote za kumtumia Architect? Ama ni kupoteza pesa tu?

Kuna faida zozote za kumtumia Architect? Ama ni kupoteza pesa tu?

Nataka kitu kilichonyooka. Professional job, Smart job!

Tatizo inasemekana architects wengi wa kibongo ni makanjanja tu.
Kama kweli unataka kitu kizuri hakwepeki msanifu.

Unampa idea zako ww naamini una picha unataka nyumba yako iweje. Then mnashauriana. Ukiwa pia na fundi wako inapendeza.

Anatengeza plan zaidi ya moja. Then mtachagua ww na fundi wako.

Muhimu punguza ujuaji. Mafundi wengi ni wazoefu sema hamtaki kuwaamini.
 
Hahaha sawa mkuu. Kwahiyo kwa fundi mzoefu, hamna haja ya kupoteza pesa kwa architect?
Ule ni muongozo ni muhimu unapofanya kitu kuwa na picha kinatakiwa kuja kiweje.

Labda kama ni nyumba simple tu hizi za kiswahiliswahili sawa ila classic lazima iwe na sketch plan.
 
Ule ni muongozo ni muhimu unapofanya kitu kuwa na picha kinatakiwa kuja kiweje. Labda kama ni nyumba simple tu hizi za kiswahiliswahili sawa ila classic lazima iwe na sketch plan.

Nimekupata vyema mkuu Troublemaker.
 
Wakuu,

Katika hatua za awali kabisa za kuanza ujenzi, kuna faida gani kumtumia Architect (msanifu ujenzi)? ama ni wastage of money na hamna ulazima?
Build at your own risk.
Kwa haraka zako, unnaweza ishia na kitu kama hiki
1693230966303.png
 
Ni muhimu sana kutumia "professionals", sema ma architect wa kwetu most of them wapo totally unprofessional. Si vibaya kuwa nae japo part time.
Na huu ndiyo ukweli mchungu. Architects wa kibongo most of them ni very unprofessional !!

Kumpata architect ambaye ni real professional + work experience ni kipengele.
 
Architects wetu kuwa makanjanja & unprofessional, Je ndiyo sababu inayopelekea watu wairuke architectural stage? watu wanaanza na ramani moja kwa moja kisha ujenzi.
 
Back
Top Bottom