Kuna faida zozote za kumtumia Architect? Ama ni kupoteza pesa tu?

Kuna faida zozote za kumtumia Architect? Ama ni kupoteza pesa tu?

Gharama ya architecturer wastani ni 300k, anakuja site na kukupatia mchoro kulingana na eneo lako. Na hii ramani itakua ktk mfumo wa 3D. Ni vzr pia ukamshirikisha fundi ktk stage hii.
Baada ya hapo kazi inabaki kwa fundi, Moja ya sifa kuu kuitwa fundi ni kufanya "map interpretation", so kazi ya architecturer mnakua mmemalizana hapo. Kama unahitaji kitu kilichonyooka laki 3 si hela ya kukwepa ili usimpe lawama fundi.
 
Vitu vingi nowadays unaweza kuvipata online. Jipe mda kupitia pitia kwenye mtandao, hicho kibunda uongeze nguvu kwenye ujenzi

Dah wabongo kwa kurahisisha konyooo [emoji23][emoji23]
Kitu cha kujifunza miaka sita au saba wewe unamshauri mtu ajifunze mtandaoni tuu kwa siku mbili tatu?
Haya bwanaa kila la kheri
 
Unamaanisha kazi ya architect naweza kulearn mtandaoni na nikafanya mie mwenyewe?
Kama uko na data kwenye simu yako na unajua mahali pakupata reliable source of information. Wewe ni huyu mtu tayari.

Tafuta tuu mahali pakufanyia field yako.. kuna kitu kinaitwa distance learning?
 
Back
Top Bottom