Kuna faida zozote za kumtumia Architect? Ama ni kupoteza pesa tu?

Kuna faida zozote za kumtumia Architect? Ama ni kupoteza pesa tu?

Wakuu,

Katika hatua za awali kabisa za kuanza ujenzi, kuna faida gani kumtumia Architect (msanifu ujenzi)?

Ama ni wastage of money na hamna ulazima?
Architect ni watu mihim San kwny ujenz Bora au nyumb ya kisas na nzuri . Kw mfano Kam unajenga nyumb ya gorofa labd usipomtumia architect unashangaa nyumb imeisha na umesahau bomb la uchafu au gata zikaeje au zitoeje Maji , plan ya roof iweje .

Kw kifupo Plan iweje nyumb ikiisha Nd architec anaingia .
 
mkuu una changamoto ya afya afu unauliza kama kuna umuhimu wowote wakumtumia daktari..?

nafkiri swali zuri lingekua “nampataje architect sahihi kwa ajili ya kazi yangu yangu xyz..?”

the best way to get a proper architect ni kwa kupewa recommendation kutoka kwa mtu unaemfahamu sahihi aliefanya kazi yake
na ikaonekana proper.

ukimpata sasa mfahamu kwanza kazi zake ata utembelee moja, hoji client wake ata mmoja, fahamu vionjo vyake kama ndo unachohitaji, fahama gharama zake na huduma anazotoa na huduma unazohitaji, ana experience kiasi gani na kama amesajiliwa au ana kampuni imesajiliwa AQRB, alafu utapima sasa uone kama anakufaa ingieni ata a 1 page agreement and do the job.

if you are going to spend millions for a building
then best go through due process (walioumizwa watakupa ushahidi)
get a proper land, do research about buildings and designs, do a simple economics analysis about what u HAVE vs WANT, get an architect, acquire building permits, have a supervising professional (arch/eng) while building, engage proper fundi’s, COMPLETE the project, get it insured and enjoy life.
 
Mkuu HENRY14 , pitia hapa utie neno.
Shukran mkuu. Short answer: Hapana.

Naweza kusema kuwa asilimia zaidi ya 90 -95 ya nyumba za kawaida za kuishi hazihitaji architect. Jamii imejaa mafundi wazuri na uzoefu wa kutosha wa tangu enzi na enzi uliorithishwa kwa vizazi vingi. Wakijenga vizuri, nyumba inakaa miaka nenda rudi mpaka wanarithi wajukuu.

Kwa makazi, Architects wanahudumia about 5% tu ya watu, haswa wale wanaohitaji kitu cha kipekee chenye hadhi na utambulisho wake wenyewe. Humu utakuta mpaka 'starchitects' wenye 'identity' na 'style' zao zinazopendwa mpaka kujitengenezea following kiasi kwamba nyumba zao walizodesign ni investment kwa clients wao.

Mtu ananunua plot, anadesigniwa nyumba ya mabilioni na starchitect, baada ya miaka michache anaiuza kwa faida na mnunuzi anaiuza tena kwa faida and it goes on. Ni kama high end art. Levels hizo, Mtu hataki nyumba tu, anataka nyumba ya architect fulani just like mtu mwingine hataki nguo tu, zipo kibao mtumbani, bali anataka haute couture, range fulani ya Louis Vuitton ya Pharrell. Hii ndiyo ndoto ya Architects wengi.

Ila kwenye mahospitali, skyscrapers, airports, mipango miji, marinas, hotels, na mambo kama hayo, ni muhimu kuwa na architect.
 
Kama utajenga utamtumia tu directly au indirectly.. ukichukua mchoro mtandaoni, kwa mtu aliejenga tayari, ukimfata engineer atarudi kwa architect, akichora mwenyewe basi atatumia skills hizo hizo.. ukimtumia fundi atarudi huko huko au arudi kwa jengo lililochorwa na architect.. hakwepeki! njia tu ndo tofauti..
 
Nataka kitu kilichonyooka. Professional job, Smart job!

Tatizo inasemekana architects wengi wa kibongo ni makanjanja tu.
Sio wote Mkuu, mimi niliwahi kuwatumia Architect wawili kwa ujenzi wa nyumba zangu nne, waliitendea haki Professional yao. Nyumba iliyopo Dar kila mtu huwa anaomba nimpe ramani ya nyumba yangu na iliyopo kijijini kwetu vilevile. Yaani kila Mwanakijiji anaomba nimpe ramani ya nyumba niliyojenga. Hao ni watu muhimu sana sema kuna baadhi yao wanakuwa Unprofessional kutokana na shida ya hela na changamoto ya kupata kazi.
 
Architect ni watu mihim San kwny ujenz Bora au nyumb ya kisas na nzuri . Kw mfano Kam unajenga nyumb ya gorofa labd usipomtumia architect unashangaa nyumb imeisha na umesahau bomb la uchafu au gata zikaeje au zitoeje Maji , plan ya roof iweje .

Kw kifupo Plan iweje nyumb ikiisha Nd architec anaingia .

Sasa ni kwanini watz wengi naona hawatumii architects?
 
mkuu una changamoto ya afya afu unauliza kama kuna umuhimu wowote wakumtumia daktari..?

nafkiri swali zuri lingekua “nampataje architect sahihi kwa ajili ya kazi yangu yangu xyz..?”

the best way to get a proper architect ni kwa kupewa recommendation kutoka kwa mtu unaemfahamu sahihi aliefanya kazi yake
na ikaonekana proper.

ukimpata sasa mfahamu kwanza kazi zake ata utembelee moja, hoji client wake ata mmoja, fahamu vionjo vyake kama ndo unachohitaji, fahama gharama zake na huduma anazotoa na huduma unazohitaji, ana experience kiasi gani na kama amesajiliwa au ana kampuni imesajiliwa AQRB, alafu utapima sasa uone kama anakufaa ingieni ata a 1 page agreement and do the job.

if you are going to spend millions for a building
then best go through due process (walioumizwa watakupa ushahidi)
get a proper land, do research about buildings and designs, do a simple economics analysis about what u HAVE vs WANT, get an architect, acquire building permits, have a supervising professional (arch/eng) while building, engage proper fundi’s, COMPLETE the project, get it insured and enjoy life.

Thanks for your insight. Nimekupata vyema.

Kwamba kama mtu anabajetia ujenzi wa residential house for millions, why ashindwe kuengage an architect??!!

You are making sense.
 
Shukran mkuu. Short answer: Hapana.

Naweza kusema kuwa asilimia zaidi ya 90 -95 ya nyumba za kawaida za kuishi hazihitaji architect. Jamii imejaa mafundi wazuri na uzoefu wa kutosha wa tangu enzi na enzi uliorithishwa kwa vizazi vingi. Wakijenga vizuri, nyumba inakaa miaka nenda rudi mpaka wanarithi wajukuu.

Kwa makazi, Architects wanahudumia about 5% tu ya watu, haswa wale wanaohitaji kitu cha kipekee chenye hadhi na utambulisho wake wenyewe. Humu utakuta mpaka 'starchitects' wenye 'identity' na 'style' zao zinazopendwa mpaka kujitengenezea following kiasi kwamba nyumba zao walizodesign ni investment kwa clients wao. Mtu ananunua plot, anadesigniwa nyumba ya mabilioni na starchitect, baada ya miaka michache anaiuza kwa faida na mnunuzi anaiuza tena kwa faida and it goes on. Ni kama high end art. Levels hizo, Mtu hataki nyumba tu, anataka nyumba ya architect fulani just like mtu mwingine hataki nguo tu, zipo kibao mtumbani, bali anataka haute couture, range fulani ya Louis Vuitton ya Pharrell. Hii ndiyo ndoto ya Architects wengi.

Ila kwenye mahospitali, skyscrapers, airports, mipango miji, marinas, hotels, na mambo kama hayo, ni muhimu kuwa na architect.

Na huo ndiyo ukweli. Watz wengi wanaanza ujenzi right away pasipo kuengage architect. Just ramani safi na fundi mzoefu baasi.
 
Architects wengi Bongo ni matapeli na makanjanja tu. Kama kuna mmoja anaitwa sallug ni tapeli. Ukiwa na Engineer mzuri uhitaji hao matapeli.

Mkuu kuna zile issues wanasema kama vile muelekeo wa upepo, muelekeo wa jua, planning ya upandaji miti ya kivuli, garden setting, n.k

Je engineer mzuri ataweza kusettle hizo issues?
 
kama utajenga utamtumia tu directly au indirectly.. ukichukua mchoro mtandaoni, kwa mtu aliejenga tayari, ukimfata engineer atarudi kwa architect, akichora mwenyewe basi atatumia skills hizo hizo.. ukimtumia fundi atarudi huko huko au arudi kwa jengo lililochorwa na architect.. hakwepeki! njia tu ndo tofauti..

True
 
kama utajenga utamtumia tu directly au indirectly.. ukichukua mchoro mtandaoni, kwa mtu aliejenga tayari, ukimfata engineer atarudi kwa architect, akichora mwenyewe basi atatumia skills hizo hizo.. ukimtumia fundi atarudi huko huko au arudi kwa jengo lililochorwa na architect.. hakwepeki! njia tu ndo tofauti..

Hivi architect aweza kamilisha kazi remotely? ama ni lazima afanye physical (site) visit?

Maana naona online kumejaa architects kibao wanajitangaza... unamueleza unachotaka, mnaafikiana malipo, anakuchorea ramani complete + mihuri, anakutumia popote ulipo, then mtu anaanza ujenzi.

Hii mkuu imekaaje? remote archtectural drawings pasipo mtaalamu kuivisit site.
 
Sio wote Mkuu, mimi niliwahi kuwatumia Architect wawili kwa ujenzi wa nyumba zangu nne, waliitendea haki Professional yao. Nyumba iliyopo Dar kila mtu huwa anaomba nimpe ramani ya nyumba yangu na iliyopo kijijini kwetu vilevile. Yaani kila Mwanakijiji anaomba nimpe ramani ya nyumba niliyojenga. Hao ni watu muhimu sana sema kuna baadhi yao wanakuwa Unprofessional kutokana na shida ya hela na changamoto ya kupata kazi.

'mawembasa'... username yako imenitafakarisha mkuu, ila ni tafakuri ya kheri.

Kumpata architect mzuri na mwenye uzoefu ndiyo changamoto iko hapo mkuu, hasa kwa mikoani.

Na nadhani kumsafirisha kutoka Dar to mkoani kuivisit site ili akufanyie kazi yaweza kuwa gharama zaidi.
 
Architects wengi Bongo ni matapeli na makanjanja tu. Kama kuna mmoja anaitwa sallug ni tapeli. Ukiwa na Engineer mzuri uhitaji hao matapeli.

Duh hatari sana mkuu. Huyo 'Sallug' yuko wapi?
 
Hivi architect aweza kamilisha kazi remotely? ama ni lazima afanye physical (site) visit?

Maana naona online kumejaa architects kibao wanajitangaza... unamueleza unachotaka, mnaafikiana malipo, anakuchorea ramani complete + mihuri, anakutumia popote ulipo, then mtu anaanza ujenzi.

Hii mkuu imekaaje? remote archtectural drawings pasipo mtaalamu kuivisit site.

actually sheria za kwetu hapa haziruhusu kujitangaza kwa taaluma ya architecture kama ilivyo udaktari

lakini sbb ya social media boom, vijana kumaliza shule bila kupata after school
training, njaa na changamoto za kipato basi hadi wasio na fani wameingilia shughuli, wengi insta pia sio architects lakini wana pose kama
architects. ni wafanyabiashara yani madalali.

kabla ya kufanya design ni vyema architect apate taarifa za kutosha za site kama vipimo sio kwa meters bali hata geometry, slope/topography ya uwanja, miundombinu iliyopo, majirani wamekaaje kaaje, njia za kuingia na kutoka, kama ulivyosema awali sun path and winds direction, aangalie kama kuna hatari yoyote kama water table kua juu, aina ya udongo nk.. AFIKE site! na kwa mtalaamu
sahihi anaweza fika site na kukushauri hata musijenge hapo labda kwa changamoto atakazoziona, au swala la uchumi kwa jinsi site ilivyo kama steep slopy sites.

na kwa project zinazopitia due process basi kuna vitu vingi zaidi wanapima kwa utaalamu zaidi mfano topographical and cadastral survey, geotechnical investigation nk!

ukienda insta utapelekwa ki insta insta “tunatuma na mikoani”
 
actually sheria za kwetu hapa haziruhusu kujitangaza kwa taaluma ya architecture kama ilivyo udaktari

lakini sbb ya social media boom, vijana kumaliza shule bila kupata after school
training, njaa na changamoto za kipato basi hadi wasio na fani wameingilia shughuli, wengi insta pia sio architects lakini wana pose kama
architects. ni wafanyabiashara yani madalali.

kabla ya kufanya design ni vyema architect apate taarifa za kutosha za site kama vipimo sio kwa meters bali hata geometry, slope/topography ya uwanja, miundombinu iliyopo, majirani wamekaaje kaaje, njia za kuingia na kutoka, kama ulivyosema awali sun path and winds direction, aangalie kama kuna hatari yoyote kama water table kua juu, aina ya udongo nk.. AFIKE site! na kwa mtalaamu
sahihi anaweza fika site na kukushauri hata musijenge hapo labda kwa changamoto atakazoziona, au swala la uchumi kwa jinsi site ilivyo kama steep slopy sites.

na kwa project zinazopitia due process basi kuna vitu vingi zaidi wanapima kwa utaalamu zaidi mfano topographical and cadastral survey, geotechnical investigation nk!

ukienda insta utapelekwa ki insta insta “tunatuma na mikoani”

Ulivyo hitimisha hiyo para ya mwisho nimecheka sana mkuu. You have made my evening. 😂😂

cheers mkuu
 
Back
Top Bottom