KUna fremu ipo Kariakoo kwa Tsh. Milioni 22 kwa Mwaka

KUna fremu ipo Kariakoo kwa Tsh. Milioni 22 kwa Mwaka

fact only

Senior Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
196
Reaction score
288
Kwa wale wote wanao hitaji fremu Kariakoo karibuni sana. Hakuna kulipia kilemba wala ujanja ujanja mwingine hivyo msijali kabisa kabisa.

MFANO Hii ipo mtaa wa msimbazi/muhonda jirani na makao makuu ya Club ya Simba/Sandaland the only one kariakoo.

Bei milioni ishirini na mbili tu (22M). Hapo haulipi KODI mpaka mwezi wa 4 Mwakani. Narudi tena ukilipa hiyo pesa kulipa Kodi mpaka mwakani {2026}mwezi wa nne. Karibuni wafanyabiashara pia mnaotaka kuanza biashara hapa hakuna kilemba wala ujanja ujanja karibuni sana.


 
Kwa wale wote wanao hitaji fremu Kariakoo karibuni sana {Hakuna kulipia kilemba wala ujanja ujanja mwingine hivyo msijali kabisa kabisa}.
MFANO Hii ipo mtaa wa msimbazi/muhonda jirani na makao makuu ya Club ya Simba/Sandaland the only one kariakoo.
Bei milioni ishirini na mbili tu(22M). Hapo haulipi KODI mpaka mwezi wa 4 Mwakani. {Narudi tena ukilipa hiyo pesa kulipa Kodi mpaka mwakani mwezi wa nne}. Karibuni wafanya biashara pia mnaotaka kuanza biashara hapa hakuna kilemba wala ujanja ujanja karibuni sana .
Watu wanahela isee..
 
Back
Top Bottom