Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Halina shaka mkuu,Lina ekari 2.4Karibu na kwa mizengo pinda.Ni PM tuandae tangazo liwe eneo lisilo na shaka sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halina shaka mkuu,Lina ekari 2.4Karibu na kwa mizengo pinda.Ni PM tuandae tangazo liwe eneo lisilo na shaka sasa.
Ok ni PM tuyajenge.Halina shaka mkuu,Lina ekari 2.4Karibu na kwa mizengo pinda.
Usijali Fremu za chini zipo Uncle za kupanga sio kuuza so unapata, hata ukihitaji mitaa mingine unapata karibu.Ingekuwa chini hapo sawa,huko juu ni uwongo.
Namba Yako tafadhali!Ok ni PM tuyajenge.
Nemekutumia.Namba Yako tafadhali!
Your welcome.Reasonable price.
Agrey/Swahili ikipatikana iliyopo mbele nishtue.Usijali Fremu za chini zipo Uncle za kupanga sio kuuza so unapata, hata ukihitaji mitaa mingine unapata karibu.
Hapo kariakoo kuna madogo wanajitahidi mno.Hii inaitwa;......
1. Usione vyaelea, vimeundwa
2. Ukiingia kwenye fremu ya mtu Kariakoo, mheshimu amewekeza mapene ya kutosha.
3. Watu wanahangaika/wanapambana Dar es Salaam ili maisha yaende.
4. Ukiona hiyo hela ndefu sana kuiweka hapo, ukje biashara ya kariakoo sio yako.
5. Fanya uchambuzi yakinifu ya uwekezaji kabla hujaingia kuufanya, hakuna vitu rahisirahisi.
6. Ukifanikiwa kuendesha maisha yako kwa kufanya kitu unakijua na unakiweza, hakuna changamoto itayokukatisha tamaa kuacha kufanya hicho kitu.
Alamsiki 😴.
Unapata Uncle ninazo za kutosha karibu.Agrey/Swahili ikipatikana iliyopo mbele nishtue.