milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
90 million mnakuza mambo 😂Kariakoo business man & women wengi wanajua mtaaji unao hitajika watu wanalipia fremu milioni 90 usishangae 22M mzee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
90 million mnakuza mambo 😂Kariakoo business man & women wengi wanajua mtaaji unao hitajika watu wanalipia fremu milioni 90 usishangae 22M mzee.
Hahahah uwe chawa mtiifu wa mama sasa 🤣Eeeh.!! Si nimekwambia nimepata dili veggies 😹
Hapo ndio mtihani unapoanza, ninavyopenda harakati..!! Itabidi niwe hivi 😹😹Hahahah uwe chawa mtiifu wa mama sasa 🤣
Kuna kivazi cha mama kile 😁 inabidi ushoneshe ili kuenda nae sawa. Watu wa Veggies wana mishe mishe sana😂Hapo ndio mtihani unapoanza, ninavyopenda harakati..!! Itabidi niwe hivi 😹😹
Kile alichovaa magoti? 😹😹Kuna kivazi cha mama kile 😁 inabidi ushoneshe ili kuenda nae sawa. Watu wa Veggies wana mishe mishe sana😂
Eeh kile kileKile alichovaa magoti? 😹😹
Inatakiwa wakuu wa wilaya wote liwe vazi lao rasmi 🤣
Million 22 mpaka April mwakaniWow! 22m kwa frem tu. Watu wanapesa sana nchi hii.
Hapo mtaji unakuwa kiasi gani kama frem tu ni 22m!!
Ingia kariakoo Fanya tafiti mzee ikiwa meza tu hizi za njee hapa Kodi hamna hamna 100,000 Kwa mwezi kuuza meza ni milion 5--10M na kuendelea hicho kiwango Cha chini fremu je? Nazani haujawahi fanya business kariakoo karibu tukujuze tupo hapa kukuondolea stress na mtaji wako mdogo.90 million mnakuza mambo 😂
Mimi hiyo nikipata kiasi hiko nakata 5M nakimbia bongo nazamia majuu na chenji nyingine nyingi inabaki.Wow! 22m kwa frem tu. Watu wanapesa sana nchi hii.
Hapo mtaji unakuwa kiasi gani kama frem tu ni 22m!!
night shift honey
nawe mbona hulali umekosa baby au..??
Ngoja niwaeleweshe ninyi nyote ambao sio wafanya biashara Kwa sababu Kama ni mfanya biashara usingepata tabu kuelewa iko hivi "Milioni 22 ni pesa ya kununulia eneo(fremu) katika hiyo milioni yako 22 unapata advantage ya-kutokulipiaa Kodi mpaka mwakani {2026}mwezi wa nne. Kwa maana hiyo ifikapo mwakani {2026}mwezi wa nne unalipa Kodi ya mwaka tena ambayo Kodi yake ya fremu ni 700,000 Kwa mwezi so 700,000 × 12 =8,400,000. Hivyo basi Kila baada ya mwaka utakuwa unalipa 8,400,000 ambayo ni kodi ya mwaka. Hi milion 22M unauziwa eneo na kupewa bonus ya mwaka na miezi miwili pasipo kulipia Kodi MMEELEWA WAZEE?Million 22 mpaka April mwakani
So divide Kwa mwezi utalipa sh. ngapi hapo
Ndio ndio Uncle.Nilijua post ni ya mwaka jana, kumbe unamaanisha mpaka 2026!
Ngoja niwaeleweshe ninyi nyote ambao sio wafanya biashara Kwa sababu Kama ni mfanya biashara usingepata tabu kuelewa iko hivi "Milioni 22 ni pesa ya kununulia eneo(fremu) katika hiyo milioni yako 22 unapata advantage ya-kutokulipiaa Kodi mpaka mwakani mwezi wa nne. Kwa maana hiyo ifikapo mwakani mwezi wa nne unalipa Kodi ya mwaka tena ambayo Kodi yake ya fremu ni 700,000 Kwa mwezi so 700,000 × 12 =8,400,000. Hivyo basi Kila baada ya mwaka utakuwa unalipa 8,400,000 ambayo ni kodi ya mwaka. Hi milion 22M unauziwa eneo na kupewa bonus ya mwaka na miezi miwili pasipo kulipia Kodi MMEELEWA WAZEE?
Kwa hesabu zake kodi ni laki 7 kwa mwaka ni 8.4m sasa 22m ya kazi ganiMathematics is mathematical....
Inakujaaaa halafu inapoteaaaa halafu unarudi tenaaaa halafu inaenda...
Haya wajuba mchangamkie fursa hiyo bila kufosi mwaka 😊.
Ambae hajaelewa ajiandikishe twisheni...😅.