Hee kuna watu wanapesa si mchezo!, kumbe mimi bado dunga embe lakutosha kiasi hichi!!!!!
night shift honeyWee umeuza godoro au godoro limelowa maji?
Hulali...!!???😂😂😂😂
nawe mbona hulali umekosa baby au..??Wee umeuza godoro au godoro limelowa maji?
Hulali...!!???😂😂😂😂
Napatikana kariakoo Uncle Masaa 12 pia napatikana jF Masaa 24 karibu Uncle.Uncle na wewe unafeli hata mawasiliano ujaweka.
Hapana mzee soma vizuri post.Milioni 22 pamoja na kilichopo ndani??
Fight Uncle na hiyo nibei kitonga tu bila kilemba watu{ business man & women }wanalipa kilemba tu milion 90 .Hee kuna watu wanapesa si mchezo!, kumbe mimi bado dunga embe lakutosha kiasi hichi!!!!!
kuna tusi limenitoka nikiliandika hapa naliwa ban!Fight Uncle na hiyo nibei kitonga tu bila kilemba watu{ business man & women }wanalipa kilemba tu milion 90 .
Hakika kabisa.Hii inaitwa;......
1. Usione vyaelea, vimeundwa
2. Ukiingia kwenye fremu ya mtu Kariakoo, mheshimu amewekeza mapene ya kutosha.
3. Watu wanahangaika/wanapambana Dar es Salaam ili maisha yaende.
4. Ukiona hiyo hela ndefu sana kuiweka hapo, ukje biashara ya kariakoo sio yako.
5. Fanya uchambuzi yakinifu ya uwekezaji kabla hujaingia kuufanya, hakuna vitu rahisirahisi.
6. Ukifanikiwa kuendesha maisha yako kwa kufanya kitu unakijua na unakiweza, hakuna changamoto itayokukatisha tamaa kuacha kufanya hicho kitu.
Alamsiki 😴.
Okay nimerudia nimekuelewa.Hapana mzee soma vizuri post.
Your welcome.Okay nimerudia nimekuelewa.
Mwaka mzima inaonekana hivyo22 m kwa mwezi au nimeelewa tofauti?
Soma vizuri post Kwa mwaka na miezi miwili mzee.22 m kwa mwezi au nimeelewa tofauti?
1,572 Tsh per month!Soma vizuri post Kwa mwaka na miezi miwili mzee.
Kariakoo business man & women wengi wanajua mtaaji unao hitajika watu wanalipia fremu milioni 90 usishangae 22M mzee.Wow! 22m kwa frem tu. Watu wanapesa sana nchi hii.
Hapo mtaji unakuwa kiasi gani kama frem tu ni 22m!!
Ninachokiona hapo dukani,ukikiuza huwezi kupata 22 million 😕Kwa wale wote wanao hitaji fremu Kariakoo karibuni sana {Hakuna kulipia kilemba wala ujanja ujanja mwingine hivyo msijali kabisa kabisa}.
MFANO Hii ipo mtaa wa msimbazi/muhonda jirani na makao makuu ya Club ya Simba/Sandaland the only one kariakoo.
Bei milioni ishirini na mbili tu(22M). Hapo haulipi KODI mpaka mwezi wa 4 Mwakani. {Narudi tena ukilipa hiyo pesa kulipa Kodi mpaka mwakani mwezi wa nne}. Karibuni wafanya biashara pia mnaotaka kuanza biashara hapa hakuna kilemba wala ujanja ujanja karibuni sana .
Good umeelewa mwaka na miezi miwili.Mwaka mzima inaonekana hivyo