KUna fremu ipo Kariakoo kwa Tsh. Milioni 22 kwa Mwaka

Ingekuwa chini hapo sawa,huko juu ni uwongo.
 
Ingekuwa chini hapo sawa,huko juu ni uwongo.
Usijali Fremu za chini zipo Uncle za kupanga sio kuuza so unapata, hata ukihitaji mitaa mingine unapata karibu.
 
Hapo kariakoo kuna madogo wanajitahidi mno.

Mtu ana maduka matatu na yote anauza jumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…