Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann mkuuKwenye ID yako wwe ni mwamba mmoja mgumu mgumu hivi ujue 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Location?Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu
Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol
Je tumchukuwe hatua gani kama raia
Duh kumbeHizo ndio 4R za mama Abdul!
Naona kama dactar unaogopa kitu hivi.😂😂😂😂Kwann mkuu
HahahaaaaaMkiwa mtandaoni mnajikuta shozniga kumbe mtaani ni pussy tu 🤣🤣🤣
Kina nani wameteuliwa baada ya kuteka WatuSina Iman kwamba Mama anawatuma watekaji,watekaji wnajituma wenyewe ili kulenga Teuzi na Vyeo.
Sasa hv u kokoza hii serekali wala hi Huna siku mbiliNaona kama dactar unaogopa kitu hivi.😂😂😂😂
Wakianza kurusha risasiChukua manati piga mawe
Sio rahisChukua manati piga mawe
Ipi hii mkuuKumbe unaishi hio mitaa,!
Usiwasogelee unakaa mbali then unapiga kwenye vioo.Wakianza kurusha risasi
Kwani kuna shida embu tuone mtaa wako kukojeKumbe unaishi hio mitaa,!
Imagine mwenye nyumba ambae hizo gari zimepaki kwake katulia tu huyu mpita njia ndio ana kimuhemuheHili swali nilitegemea kabla ya machweo ya jua🤣🤣🤣
Kweli bana wasi wasi akili mkuu..Sasa hv u kokoza hii serekali wala hi Huna siku mbili
Ndio sasa unakah ndani kwannKumbe ukipaki gari lazima ushuke muda huohuo