Kuna gari mbili zimepaki hapa masaa mawili bila watu kushuka

Kuna gari mbili zimepaki hapa masaa mawili bila watu kushuka

HIyo shinyanga nini mzee,sii kila kitu kinafaa kuingia hofu.Ukitaka piga kambi eneo hilo ili uweze kujiridhisha mwenyewe.Ni akina nani na wanafanya nini?
Gari tinted siwez kulizogoleaa mm
 
You are right.

This is one of the indicator that an Abduction Squads or Hit Squads are inside the car. They're in Surveillance of their Targets. The people around the area must be extremely cautious and very watchful all the time because the Hitmen or Abductors are around the corner. If possible, any means of mechanism for self-defense must be established in order to hit back in case of Abduction or attack.
Ur are right
 
mmh! mbona zimetizama urlekro tofauti.
Kwani kipi cha ajabu gari zikikaa uelekeo tofauti ebu acheni ushamba au hamjawai kuendesha magari au mmeambiwa hapo yako paredi kwamba yakae kwa mfanano
 
Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu

Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol

Je tumchukuwe hatua gani kama raia
ni wrong parking ama?

hata mim tangu tumemaliza jumuiya saa8 usbuhi hapa kwa Mzee msofe, tupo hapa uwanja wa shule tunapiga stori za hapa ni pale...

kuna uwezekano Mwenyekiti kapigiwa simu eeh 🐒
 
Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu

Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol

Je tumchukuwe hatua gani kama raia
Acheni mambo yenu. Watu wana privacy zao. Gari inaweza tumika kama office for business negotiations, wapendanao kuzungumza mambo yao bila kuingiliwa na mtu, kusolve family issues. Waacheni wakimaliza wataondoka.
 
Chukua manati ukiwa mbali usionekane na mtu uyoyote jifunze shabaha lenga mlangoni pale, aidha watashuka kama ni watu wema au wataondoka kama wana yao!

Ka technique haka kanatumika sana kitaa kwetu tukiona gari tusilolielewa tumewafundisha matoto tundu wetu.

Kama hamna manati poleni.
 
Niko pembezoni nasoma mchezo
Nenda gonga dirishani wasalimie. Wakikuuliza una shida gani waambie niliona gari imefika muda mrefu hakuna mtu anayeshuka nikahisi kutakuwa na shida.

Ila andaa watu pembeni usijezamishwa kwenye gari
 
Back
Top Bottom