dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #61
Humtaki memaMwambie aende akawagongee dirisha kwasababu wako nje kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humtaki memaMwambie aende akawagongee dirisha kwasababu wako nje kwake.
NdioKwaio wewe unawapangia sehemu ya kupumzikia
Duh hali siyo shwary naombeni namba za.misimeTulia mtoa mada watu wapo kazini ondoa shaka.
Niko nyumbni silindi gari mm ila niko kimachaleAlinde hizo gari hadi ajue mwisho wake.
Sasa tufanyajeWetu mmeamua kukaa kitaalamu every one is a primary suspect 😁
Gari tinted siwez kulizogoleaa mmHIyo shinyanga nini mzee,sii kila kitu kinafaa kuingia hofu.Ukitaka piga kambi eneo hilo ili uweze kujiridhisha mwenyewe.Ni akina nani na wanafanya nini?
kuliwa!Mna wasi wasi kuhusu nini?
Wala siyo shinyanga ni ddm hapaHIyo shinyanga nini mzee,sii kila kitu kinafaa kuingia hofu.Ukitaka piga kambi eneo hilo ili uweze kujiridhisha mwenyewe.Ni akina nani na wanafanya nini?
mmh! mbona zimetizama urlekro tofauti.Kwani lazima washuke je kama wanapumzika kisha waendelee na safari zao
Sawa kazana maana umekosa kazi za kufanyaNdio
Ur are rightYou are right.
This is one of the indicator that an Abduction Squads or Hit Squads are inside the car. They're in Surveillance of their Targets. The people around the area must be extremely cautious and very watchful all the time because the Hitmen or Abductors are around the corner. If possible, any means of mechanism for self-defense must be established in order to hit back in case of Abduction or attack.
Wee unazo kaz za kufanya embu tuone unafanaya nnSawa kazana maana umekosa kazi za kufanya
Niko pembezoni nasoma mchezoHalafu tinted, kimbia mkuu.....acha namba za mkeo hapa
Kwani kipi cha ajabu gari zikikaa uelekeo tofauti ebu acheni ushamba au hamjawai kuendesha magari au mmeambiwa hapo yako paredi kwamba yakae kwa mfananommh! mbona zimetizama urlekro tofauti.
ni wrong parking ama?Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu
Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol
Je tumchukuwe hatua gani kama raia
Acheni mambo yenu. Watu wana privacy zao. Gari inaweza tumika kama office for business negotiations, wapendanao kuzungumza mambo yao bila kuingiliwa na mtu, kusolve family issues. Waacheni wakimaliza wataondoka.Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu
Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol
Je tumchukuwe hatua gani kama raia
Nenda gonga dirishani wasalimie. Wakikuuliza una shida gani waambie niliona gari imefika muda mrefu hakuna mtu anayeshuka nikahisi kutakuwa na shida.Niko pembezoni nasoma mchezo