BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Mkoa wa kiserikali huo,, karirini plate number itawasaidia baadae.Ddom chamwino
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoa wa kiserikali huo,, karirini plate number itawasaidia baadae.Ddom chamwino
Nani aje akuteke wewe acha wengeWewe jamaa ni mjinga kinoma inamana hujui kwa saa hv kinacho endelea kwa serekali hii ya samia
Kumbe wako encouraged na vyeo? Sasa tukisema wanatumwa na anayewapa vyeo tutakuwa tumekosea?Sina Iman kwamba Mama anawatuma watekaji,watekaji wnajituma wenyewe ili kulenga Teuzi na Vyeo.
nimeipenda ID yako imenikumbusha mbali 😃😀Wapi hapo? Nimpigie simu muhusika
Una uhakika sina kazi ya kufanya? Au unadhani kwa kuwa ukoo wenu wote ni jobless unaamini kila mtu yupo hivyo?Tafuta shughuli ya kufanya kengeh we!
Huo upuz I siwez kuufanyaKawaombe lifti huku unawachunguza
Mbona kazi rahisi hiyo
Wakikuambia panda waambie naendea mzigo
Kwanini mkuu 😁😁😁Yani nimecheka😂😂
Basi mind your own business, utakuwa na amani zaidiHuo upuz I siwez kuufanya
Kweli mkuu au uko unapata Maeneo? .. Si unajua weeken TenaWamesepa kwa spid kali
Babu Wamefut viti wakajilazaHiyo hardbody ukiangalia vizuri
utagundua ndani hakuna mtu.wa
Hatua ya kuchukua ni kuacha umbea na kufuata mambo yakoNimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu
Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol
Je tumchukuwe hatua gani kama raia
Comments za waja ni nomaKwanini mkuu 😁😁😁