dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #101
WameondoA kwa speed kali sijui walio raia tumekaah kimakundi kundiSasa gari kupaki masaa mawili ni shida? Au panalipiwa parking?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WameondoA kwa speed kali sijui walio raia tumekaah kimakundi kundiSasa gari kupaki masaa mawili ni shida? Au panalipiwa parking?
WameondoA gari kwa speed kali baada Ya kuona huu uzi na Watu kuanza kujikuzanya makundiWatakuwa wanawasiliana kwa simu hao kati ya waliomo gari moja na nyingine.
Kwani wewe ni kada wa Chadema na unaposti posti mitandaoni kwa lengo la kusifia kinyume mhimili mkuu? Basi ukitoka nje na wao wanatoka. Kama unabisha hebu fanya hivyo halafu jirani zako au mkeo ataleta taarifa hapa kuwa umetoweka kuanzia tarehe ya leo.
Anyway ni hofu yenu tu, hayo magari si yana namba za usajiri za Tanzania!! Watakuwa wamefika kula upepo tu. Kwani kuna bango linazuia kupaki magari hapo? Ikiwa jibu ni Hapana basi ondoa shaka na nenda kawasalimie tu na uwaulize kama wanahitaji chochote utawasaidia
Kama ni Nissani Nyeupe na wewe ni Mpinzani Myfriend Save your Life.......You must Disappear.Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu
Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol
Je tumchukuwe hatua gani kama raia
HahahUsiogope hawana shida na nyie, wanamtafuta Tundu Lissu
Tanzania ishakuwa kama Somalia......hahahaMuulize mwenye nyumba labda wageni wake.
Duh, naona hao wameondoka kwa spid kali snauyu ndiye Faustine Jackson Mafwele na namba zake za Simu ni +255 755 855 743 na +255 787 922 913Huyu ameua watu wengi sana Mwanza , sasa ni kiongozi wa utekaji Dar na Tanzania nzima kupitia kituo cha Polisi Chang’ombe Temeka ambapo wana jengo la mateso kwa Watanzania
View attachment 3078085
Wamesepa kwa spid kaliNendeni kwa uongozi wa mtaa kwanza , Wawahoji ..
Which country is this?Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu
Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol
Je tumchukuwe hatua gani kama raia
Wananchi waoga sana.Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu
Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol
Je tumchukuwe hatua gani kama raia
Juzi nimekuta DFP imapack mtaani Kwangu.......nikageuza gari yangu. Nilirudi usiku baada ya kuambiwa ni Mkwe wa Mzee Fulani hapa mtaani alikuja kutembea na gari la kazini.Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu
Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol
Je tumchukuwe hatua gani kama raia
Tanzania 🇹🇿 mkuiWhich country is this?
Hata wakat wa magu ilikuwa hvyo hvyo,ni watu kujipendekeza tuSina Iman kwamba Mama anawatuma watekaji,watekaji wnajituma wenyewe ili kulenga Teuzi na Vyeo.
Mkoa gani huu? Wilaya gani hii?Tanzania 🇹🇿 mkui
Afadhali mkuu Umeongea Hat hvyo jamaa ghafla wameondoka kwa spid kali mnoWatu weusi tunapenda sana kuchukulia vitu poa, Gari imepakiwa kwa muda bila watu kushuka mtu ana-doubt mnakuja kukejeli watu wa hili taifa sijui tunakulaga nini aisee???
Hata ukienda nchi zilizostaarabika inapotokea situation kama hiyo lazima askari atakuja atauliza kinachoendelea, what if mtu aanakufa au ametekwa humo ndani ya gari ? Achilia mbali hatujui dhamira ya aliyepaki bila kushuka, tujifunze kubadilika wakati fulani
Ddom chamwinoMkoa gani huu? Wilaya gani hii?
Maana hiyo itasaidia humu ndani kuna watu tofauti.
Ni kweli kwa hali hiyo lazima mpatwe na uoga.
Yani nimecheka😂😂Kwenye ID yako wwe ni mwamba mmoja mgumu mgumu hivi ujue 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Watu tunajikuta ujuaji mwingi sana mkuu, tunapenda kuchukulia vitu tunavielewa na kuacha tahadhari.Afadhali mkuu Umeongea Hat hvyo jamaa ghafla wameondoka kwa spid kali mno