Kuna gari mbili zimepaki hapa masaa mawili bila watu kushuka

Kuna gari mbili zimepaki hapa masaa mawili bila watu kushuka

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu

Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol

Je tumchukuwe hatua gani kama raia
 

Attachments

  • DSC_0460.JPG
    DSC_0460.JPG
    3.3 MB · Views: 5
Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu

Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol

Je tumchukuwe hatua gani kama raia
Kwani lazima washuke je kama wanapumzika kisha waendelee na safari zao
 
Back
Top Bottom