dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio mwenye nyumba hapo zilipo hizo gari?Nimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu
Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol
Je tumchukuwe hatua gani kama raia
Kwani lazima washuke je kama wanapumzika kisha waendelee na safari zaoNimeongea na mjumbe serekali za mtaaa kumtaarifuu juu ya gari hz ambazo zimepaki bila watu kushuka, nae akasema mpaka awasiliane na mwenyekiti kwanza sasa mwenyekiti hapokei simu
Gari ni Nissan cibin na Nissan patrol
Je tumchukuwe hatua gani kama raia
HPan mkuuWewe ndio mwenye nyumba hapo zilipo hizo gari?
Hili swali nilitegemea kabla ya machweo ya jua🤣🤣🤣Wewe ndio mwenye nyumba hapo zilipo hizo gari?
Duh wapumzike hapa sizaniKwani lazima washuke je kama wanapumzika kisha waendelee na safari zao
Muulize mwenye nyumba labda wageni wake.HPan mkuu
Lisu haishi huku nina wasi. Wai sna kwani kuna jmaa juz tulizinguana twiter na matusi tuliboromeshena mno niko n awasi wasi snaUsiogope hawana shida na nyie, wanamtafuta Tundu Lissu
Boda wa pale wenyewe wameondoA pikipik I zaoMmoja wenu ajitose akawahoji, asisahau kubeba silaha. Just in case
Mkiwa mtandaoni mnajikuta shozniga kumbe mtaani ni pussy tu 🤣🤣🤣Lisu haishi huku nina wasi. Wai sna kwani kuna jmaa juz tulizinguana twiter na matusi tuliboromeshena mno niko n awasi wasi sna