Kuna Gari za Ubalozi naziona zinasambaza Zawadi za Vifurushi Misikitini leo tafadhali zigawiwe Kiusawa na si kwa Upendeleo

Kuna Gari za Ubalozi naziona zinasambaza Zawadi za Vifurushi Misikitini leo tafadhali zigawiwe Kiusawa na si kwa Upendeleo

Zinasambazwa na Gari za Ubalozi wenye namba 255 sijajua ni Ubalozi wa Taifa gani.

Vilivyomo ndani ya Vifurushi Zawadi hivyo (ambavyo GENTAMYCINE nimechungulia Kiuwizi Uwizi ) ni Mchele, Unga, Sukari, Mafuta ya Kupikia, Milo, Siagi, Chumvi na Juice Mchanganyiko.

Japo Mimi ni Mkristo (tena wa Dhehebu Kinara la Katoliki) jukumu langu Kuu kuanzia sasa ni kuangalia kama Vifurushi Zawadi hizi zitagawiwa kwa Haki na Usawa.
Watu watauana kwa pilau huko.
 
viumbe wa mnyaaazi mungu.. wao na ubeche kama mapacha
wana staili yao ya kukaa mkekani/jamvini na kuanza kula, usipokaa na kula kama wao watakushangaa kuwa hujui kula ubeche kama wao. Wanakula na kuhakikisha tumbo limejaa pande zote na hawaachi punjepunje kuonekana kwenye sinia
 
Dawa za mswaki(meno) zingatia hilo vatcani city imekua marekani

Kauli ya kusema sio kosa ila dhambi inakerasana
 
Wanakuletea wewe shoga usipate ukimwi
Utakufa kwa kihoro mwaka huu
JamiiForums-1968381145.jpg
JamiiForums-2027411344.jpg
 
Na ndiyo maana tunatunukiwa Tuzo, tunajulikana hadi na Viongozi na mpaka Pesa ( kama Zawadi ) tunapewa vile vile.

Idiot.
Simulizi yako inavutia,TUZO UMAARUFU NA PESA ZA KUDUNDULIZA kinafaa kuwa kichwa cha hadithi hii.
 
Back
Top Bottom