Kuna genge limejipanga kuharibu kwa makusudi sifa na hadhi ya Rais Samia

Kuna genge limejipanga kuharibu kwa makusudi sifa na hadhi ya Rais Samia

Naomba kukuuliza huo mkataba ukomo wake ni lini,na kwann hakuna sababu yyte ya kuvunja mkataba ata ikitoea bahari ikakauka...huu si Ujuha kabsa wa viongozi wetu kuanzia huko juu?
Hujui maana ya mikataba na wala sitaki kukupa faida hapa bure, nenda kasome....
 
Naungana na ww mkuu na nakazia kabsaa,huyu mama wala ata hajui ashike lipi aache lipi,Kajichanganya mwenyewe wacha yamkute na mm huyo waziri anayemlia zengwe ata simjui ila naomba aniunge na mimi tumpige zengwe...Mama kaharibu hii nchi anasaini mikataba ya Hovyo kabsaaa na anajifanya kujificha kwenye kivuli cha Democrasia.
Ivi ni kweli mama Samia ameharibu nchi?
Kuruhusu mikutano ya siasa iliyokatazwa karibia mika 6 ni kuharibu nchi?
Kuwatoa magerezan wapinzan waliokua wamekamatwa ni kuharibu nchi?
Kufungua biashara za nchi ni kuharibu nchi?
Kuruhusu demokrasia kila chombo cha habari sasa kiko huru kuwahoji hata wapinzan na wanatukana ni kuharibu nchi?
Uhuru ukizidi haya hujitokeza
 
Acha kutuletea ujinga wewe. Eti genge wakati mtu mwenyewe kashaonesha hafai kua rais wa tanzania. Kazi anashindwa kufanya and the anaamini nje tu ndio wataweza kuendesha nchi yetu? Au pengine ni mpigaji mpenda rushwa. Waliyovujisha haya maelewani ni wazalendo kabisa. Eti dubai ndio wawe na hati miliki kujenga miradi na kuendesha bandari zetu zote? Sasa hii nchi ni yetu au ya sultani wa dubai. Tuna uwezo kuendesha nchi yetu mtu asituletee mchezo hapa.
Wakati wa JPM mlimsema kuwa hasafiri , tukawaelewa , wakaati wa SSH mnamsema ana safiri mnataka tuwaamini?
Tuwe waungwana japo kidogo , haya mambo yanahitaji maarifa nchi sio kitongoji , propaganda za kuuzwa bandari zitakapoisha mtaona aibu
 
Issue ya soko la Kkoo hujui chochote chanzo cha mgomo wake,umekurupuka tu......... chanzo ni TRA wenyewe na upuuzi wao kuhusu kila tarehe 15 ya mwezi kupeleka stock ya mizigo uliyouza na iliyopo na uanzishwaji wa Kodi ya stoo hata kama unaweka mizigo nyumbani kwako.Baada ya Kikao pale mjini kati wafanyabiashara waliona hii sasa maji ya shingo bila mgomo hatutoboi.......... kwahiyo haina uhusiano na mambo yenu ya kipuuzi ya Siasa
 
kuna wanasheria vishoka wengi sana ,kila mtu ana tasfiri Sheria
Lugha ya kisheria haijawahi kuwa black and white na ndio maana unaweza kukuta wanasheria 20 mahakamani wanabishana kuhusu kifungu kimoja cha sheria, sasa utajiuliza si imeandikwa wazi watu wanatafsiri kitu gani. Ni kwa sababu vimeandikwa kwa makusudi kuchanganya watu ingekuwa ni rahisi kusoma vifungu kesi nyingi zingeamuliwa siku moja tu. Haya mambo watu anakurupuka anakuja mwansheria mmoja hata hujui katoka wapi kaona ndio kick ya mjini anataka kupitia humo humo.

wewe umetafsiri hivi au ndio uelewa wako unataka kuwafanya wengine wote wajinga ndio ya huyu Lissu eti mtu anayekubali huu mkataba ni mjinga au kahongwa sasa na yeye anayeukataa mjinga kahongwa? tuwapuuze hawa wanatafuta njia za kutokea.
 
Kwanin hukuuliza upeo mdogo ktk nyanja ipi, unadhani kila raia hua ni mkeleketwa wa vyama vya siasa kiasi kwamba atampima kiongozi kwa ku play fair kwa politicians wengine?
Rais samia ndiye aliyesaidia Mbowe kuwa nje mpaka sasa, Rais Samia ndiye aliyesaidia wapinzani kuanza kufanya siasa hivi sasa za majukwaa baada ya miaka takriban mitano , inakuaje mtu huyu awe na upeo mdogo?
 
Kwanin hukuuliza upeo mdogo ktk nyanja ipi, unadhani kila raia hua ni mkeleketwa wa vyama vya siasa kiasi kwamba atampima kiongozi kwa ku play fair kwa politicians wengine?
Kiongozi upo sahihi , hakuna mwenye monopoly ya ukweli au uongo , it depends on the receiver .
Mimi naona Rais Samia ni bora sana kwenye modern politics.Waliopita walikua bora pia kwenye era zao
 
Haya Sasa taratibu tunaanza kujua panapovuja.

Kumbe Rais Samia anafanyiwa fitina Ili akwamishwe Kisiasa.

Kwa mujibu wa Rais mwema wanaohusika ni Wanasiasa, wafanyabiashara, Viongozi wa dini na wapambe wao.


My Take
Rais kuwa mkali washughulikie hao usikubali kushindwa kindezi.
 
Agenda sio bandari hata kidogo , agenda ni Urais 2025.
Hali inatisha,
Ujinga unafukuta nchi hii.
Fursa hii adhimu kwa Taifa tunaichezea, kupata muwekezaji si jambo jepesikwa nchi zetu hizi zenye siasa zisizotabirika.
DP World wanachukua Riski kubwa kuwekeza Nchi kama Tanzania yenye Siasa ya Kijamaa ndani ya Katiba yake.
Wajamaa Wanawezakufanya Utaifisahji na kubadili Gia Angani wakati wowote .
Tuliona Magufuli alifanyije hapa miaka michache iliyopita.
 
hii ni dhambi ya mama samia kuruhusu makufuli kutukanwa mpaka na wajinga wa chadema hii dhambi ndio itarudi kwake kwa nguvu mno, ila swala la badari mama awakabidhi Dp world haraka sana achane na kelele za chura
 
mleta mada hii njoo uchukue maua yako weww ni kiboko na umetuletea mwanga asiishie hapo lete nondo zaidi
 
Kuna sehemu inafikirisha sana yaani wale wote waliofanya kazi na JPM mama aliwatengua isipokuwa wachache. Hili yeye binafsi bila kusikiliza moyo wake aliona ni sawa.
Polepole kiongozi yeyote mwenye akili huwezi kumuacha kwenye timu yako hasa uenezi. Rekodi ya polepole uenezi hata nape hawezi kuifunika. Result oriented approach.Aliweka discipline ndani ya chama, akina bashiru hata kama walikuwa na mapungufu lakini wangesaidia sana kuweka mistari.
Mikataba ambayo JPM hadharani aliiipinga mama ameenda kumwaga wini fasta. Kuna Cost benefit analysis yoyote toka kwake mwenyewe au anasikiliza intemediaires wanaolipwa 10% dubai wamejaa hawa wengine ni wastaafu wa vyombo vikubwa wanajiita maconsultant wamefungua na ofisi. Kazi ya upigaji kwa serikali za nchi zinapoingia mikataba.

Kubwa kwanza ni yeye mwenyewe namba moja huwa anafikiria kwa undani matendo kabla ya kupewa ushauri. Kama unamtoa kalemani nishati unamuweka kipara. Kipara angafaa foreign affairs au sanaa ndio alichosomea na kimemzunguka kichwani. Mentor wa kipara alikuwa ruge ambaye ni mzuri kwenye sanaa zaidi.

Nadhani muhusika anawajibu na ajitahidi awe na critical thinking. Mfano membe naona hilo la kufikiriwa kuwa mgombea mwenza limemponza mzee wa watu kwa tabia ya mbwa mwitu waliopo magambani.

La mange hilo linajulikana kwamba mpare ukimpa pesa atakugeuka jua la asubuhi.

watu kama nyinyi ndio bora mnatupa habari motomoto
 
mkuu, kuna namna nataka nikuelewe lakini kuna jambo hauko informed .
Taasisi ya urais ni complex sana, kuna maamuzi mazuri yakigeuzwa na watu na kuongewa in a negative way utaanza kumchukia mtu hata kama hana kosa.
It depends na mtu ameamua kuzungusha ama kutwist issue kivipi
Imagine Bwana YESU with all good things he did, mtu anakuja kusema mfano YESU hakuoa so alikua mdhaifu wa wanawake , utamjibu nini huyo mtu?

upo sawa na tena anakuja mtu anakuambia yesu ni mungu atamjibu nini mtu huyu au watu hawa wakati anajua yesu kazaliwa na binadamu na yesu ankunya kama sisi bado anasema ni mungu utamjibu nini wapuuzi
 
We ni JINSIA Gani?

Watanzania wote Kwa Dini zao wanadai bandari Yao irudi mikononi mwao,wewe unapindisha HOJA unaingiza udini.

mimi nataka muwekezaji aje leo haraka sana kenge weww unatusemea tumezaliwa kwenu
 
Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"
mkataba unasema Tanzania itaijulisha Dubai juu ya fursa zozote zilizopo, na zitakazokuwepo, hili ni tusi kubwa sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la bandari ni separate case, suala la maadili ni issue serious sana , na serikali inapaswa kutumia watu wenye reputation nzuri kuemea watukanaji wa watu. Waziri Nape ana historia ya kutumia matusi pia mitandaoni , ni muhimu kutonajisi hii sekta
 
Back
Top Bottom