Kuna haja gani Wizara ya michezo kupeleka watu michezo ya kimataifa wakati hakuna maandalizi ya kutosha na mwisho kudhalilisha taifa letu kila wakati

Kuna haja gani Wizara ya michezo kupeleka watu michezo ya kimataifa wakati hakuna maandalizi ya kutosha na mwisho kudhalilisha taifa letu kila wakati

Sijaiona bendera yetu huko Olympic.
Uganda, Kenya, Lesotho, Ethiopia, nimeona, Tanzania tuna nini?
 
wachezaji wengi wazur wapo ila ni maskini, na hawana konekshen,
Hao wachezaji wenu ni michongo na konekshen, mitoto ya international schools, wengine wamepita kwa magumashi tu ya kubebana na kujuana kwingi hata kuogelea mita 50 bado unaenda kutia aibu unakua mtu wa mwisho..tumeshindwa hata na uganda wana medali moja ya gold..hata kenya wana silver, sisi tuna makalio tu ...wengine wamejipeleka kula perdiem[emoji706][emoji706][emoji706] , michezo iko mingi sana wabongo hawapo , sis nadhan tunaweza bia nyama choma.na kujadili aziz ki na mobeto, na kupiga madili ufisadi pesa za miradi.
Sema matako tu mkuu unaogopa nini?yaani kiukweli hatuna sababu yoyote kupeleka watu huko mimi nakumbuka nilikiona kidada flani kinafanyiwa interview kwamba ndio kinatuwakilisha kwenye kuogelea yani hata kiswahili hakijui hii Nchi mbona tunakosa aibu namna hii?watu wanajali matumbo yao tu kila kitu ni fake mtu anasimama anamsifia Mama tu ili apige pesa tunaelekea wapi?kumbukeni tuna watoto jamani na hapa duniani hatuishi milele
 
Updates

Wale waliokuwa wanategemewa miaka nenda rudi kuliwakilisha.taifa letu

Wamefurushwa vibayaa

Haiwezekani miaka.yote ni Simbu Simbu and Sijui jina la huyo mwingine

Honestly we are very disappointed

Kwanini Waziri Ndumbaro and na Msanii Mwana FA wasijiuzulu kuwajibikaaa

Wamelitia taifa hasaraaa pesa walizosafiria wangetumia kufanya vitu vingine katka nchi yetuu
Huuu ni uhujumu Uchumu
 
Back
Top Bottom