DO MOCK MJERUMANI
New Member
- Mar 12, 2024
- 4
- 14
Haki za walio wachache pia inabidi ziheshimiwe. Vinginevyo kunakuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na uhuru wa kuabudu. Wao hawajafunga....kuacha kula wakati wa mwezi mtukufu ni heshima, lakini haitakiwi kuwa sheria wala shuruti.Bara ina diverse religious sects, sio din moja, laki. Mwisho wa siku hakuna anaemlazimisha mwenzie kufuata matakwa ya dini yake. Thats the different
Diversity ipo ila athari ya utamaduni kwa kBara ina diverse religious sects, sio din moja, laki. Mwisho wa siku hakuna anaemlazimisha mwenzie kufuata matakwa ya dini yake. Thats the different
Hiyo ya Wapare ya kuchapana viboko eti kisa wamelewa siyo ustaarabu kabisa. Hata wachaga wana mila zao fulani hivi, ukimkosea heshima mtu mzima na akakushitaki kwenye mahakama zao za kimila unaweza ukaramba fimbo za kufa mtu. Hizo ni mila zao na hakuna mtu analalamikia hiyo.Diversity ipo ila athari ya utamaduni kwa k
Kiasi kikubwa ,mfano 90% ni waislamu tena wafuata dini huoni kama dini itaweza kuathiri eneo lote mpaka viongozi ni watu dini.
Chukulia mfano wapare ni wasabato mpaka vyakula vyao vinaendana na usabato ,yaani totally jamii ya kipare ni usabato konko sheria zao ,licha ya kukaa na wachaga ila vijijini vya wapare hawataki pombe...Nimekaa mkomazi pale walevi walikuwa wanachapwa tena ofisi ya mwenyekiti kabisa.
Ninekuwa interested kufahamu unachokipenda ktk hili kundi so called islam (siyo kwa ubaya)..Hizi dini bila elimu twafaaaa,kwani kufunga ni kutokuka chakula tu,kutokuka ni ishara ndogo sana katika mfungo.Mtu ana vidonda vya tumbo anafungaje??? Naupenda uislam ila sipendi matendo ya waislam waliowengi.Wanatumia vitisho zaidi kuliko hata maandiko yalivyosema.
Hawajakatazwa kula ila wanatakiwa watumie utaratibu katika kula kwaoNimesikitishwa na hali inayoendelea Zanzibari kukamata watu wanaokula mchana nakupewa kipigo hali hii imekuwa inajitokeza kila mwaka mwezi huu wa ramadhani
Kilichonisikisha mwaka huu vyombo vya dola kuendelea na zoezi hili la kukamata watu wanaokula mchana ni jambo baya sana halileti afya kwa taifa
Wao wazanzibari wanakuja bara kununua maeneo na kuishi wanafanya biashara kwa na kuswali kwa uhuru Je? sisi hatutakiwi kwenda kwao kinachoendelea sasa kwenye huu muungano ni bomu linaloenda kulipuka muda mrefu ni swala la muda tu
Sentensi ya mwisho umeelezea vizuri kabisa. Mamlaka waangalie upyaHaki za walio wachache pia inabidi ziheshimiwe. Vinginevyo kunakuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na uhuru wa kuabudu. Wao hawajafunga....kuacha kula wakati wa mwezi mtukufu ni heshima, lakini haitakiwi kuwa sheria wala shuruti.
Hahaha umenikumbusha mbali mkomazi, siku hizo wameacha, ila kurudi kwenye point dini ina influence, lakini lazima kuwekwe mipaka between dini na sheria za nchi. Otherwise tuna tengeneza major conflict in coming daysDiversity ipo ila athari ya utamaduni kwa k
Kiasi kikubwa ,mfano 90% ni waislamu tena wafuata dini huoni kama dini itaweza kuathiri eneo lote mpaka viongozi ni watu dini.
Chukulia mfano wapare ni wasabato mpaka vyakula vyao vinaendana na usabato ,yaani totally jamii ya kipare ni usabato konko sheria zao ,licha ya kukaa na wachaga ila vijijini vya wapare hawataki pombe...Nimekaa mkomazi pale walevi walikuwa wanachapwa tena ofisi ya mwenyekiti kabisa.
Sheria ndogo hizo hata kule tunafuata kote mpaka mazinde huko , vijijini ukilewa sana fimbo mpaka utajutaHahaha umenikumbusha mbali mkomazi, siku hizo wameacha, ila kurudi kwenye point dini ina influence, lakini lazima kuwekwe mipaka between dini na sheria za nchi. Otherwise tuna tengeneza major conflict in coming days
Inamana ni yeye tu na dini yake ndio anapaswa kuheshimiwa ? Mimi na dini yangu inayo niruhusu kula sitakiwi kuheshimiwa? Kwani anaenda kula mbele yake? Acheni ujinga nyie waislam mna roho mbaya kama dini yenu ilivyoKwani ukiheshimu dini ya mwenzako ukala Faragha kidogo hutashiba? siku zenyewe 30 tu ila bado mnataka mle mbele za watu pigweni .. Nilienda zenji kipindi fulani nikakuta sehem wanauza chakula na mwezi wa mfungo ila wameweka mapazia na kila kitu kinafanyikia nyumbani pale ni kupakua kula na kulipa hakuna anaekuona na hakuna usumbufu...
Waliosumbuliwa walikua wanakula Faragha au ndio yale ya kujiachia mpaka inakua kero. Tunakuza sana mambo ila hatuna ustaarabu kabisaaaa kila mmoja wetu akijali dini na imani ya mwenzake hutaona anaelalamika
Japo ndugu zetu nao walipokea dini kwa mihemko na jihadi ila wakipewa nafasi ni siku chache tu wote tunakua huru kufakamia kitimoto
Waislam ni wajinga kwakweli hawa hawana maana kabisa waislam wengi ni nguvu nyingi akili kidogo mengi ni majinga jinga tuSasa wanakataza na kupiga watu wanaokula mchana huku usiku hao vijana wanaliwa tako? Hiyo ni akili kweli? Yaani unapambana na mtu asile ugali mbele yako mchana eti mwezi mmoja unafunga alafu jioni wakati wa kufuturu au baada ya kumaliza mfungo unaliwa wewe tako. Sasa hapo nani kafiri, mapumbavu kabisa.
sikatai about unywaji kupitiliza maana unaambatana na vurugu, hiyo zote tuta agree without dini, but zile zenye religious attachments?Sheria ndogo hizo hata kule tunafuata kote mpaka mazinde huko , vijijini ukilewa sana fimbo mpaka utajuta
Huna akili ww! Unafunga kwa matamanio au kwa imani yako kwa Mungu wako? Yaaan umpangie mtu maisha yaan ale kwa kujificha ficha kisa ww na wenzio mmefunga?Kwani ukiheshimu dini ya mwenzako ukala Faragha kidogo hutashiba? siku zenyewe 30 tu ila bado mnataka mle mbele za watu pigweni .. Nilienda zenji kipindi fulani nikakuta sehem wanauza chakula na mwezi wa mfungo ila wameweka mapazia na kila kitu kinafanyikia nyumbani pale ni kupakua kula na kulipa hakuna anaekuona na hakuna usumbufu...
Waliosumbuliwa walikua wanakula Faragha au ndio yale ya kujiachia mpaka inakua kero. Tunakuza sana mambo ila hatuna ustaarabu kabisaaaa kila mmoja wetu akijali dini na imani ya mwenzake hutaona anaelalamika
Japo ndugu zetu nao walipokea dini kwa mihemko na jihadi ila wakipewa nafasi ni siku chache tu wote tunakua huru kufakamia kitimoto
Hivi mkuu shida kumbe ni kuonekana unakula? Sasa hiyo ni nchi ya kiislamu? Hawa walioko huku bara hawaendi sehemu ambazo wengine wasokuwa waislam wanakula?Kwani ukiheshimu dini ya mwenzako ukala Faragha kidogo hutashiba? siku zenyewe 30 tu ila bado mnataka mle mbele za watu pigweni .. Nilienda zenji kipindi fulani nikakuta sehem wanauza chakula na mwezi wa mfungo ila wameweka mapazia na kila kitu kinafanyikia nyumbani pale ni kupakua kula na kulipa hakuna anaekuona na hakuna usumbufu...
Waliosumbuliwa walikua wanakula Faragha au ndio yale ya kujiachia mpaka inakua kero. Tunakuza sana mambo ila hatuna ustaarabu kabisaaaa kila mmoja wetu akijali dini na imani ya mwenzake hutaona anaelalamika
Japo ndugu zetu nao walipokea dini kwa mihemko na jihadi ila wakipewa nafasi ni siku chache tu wote tunakua huru kufakamia kitimoto
Jamani hawa ndugu Zangu usiku miubwabwa, miurojo, mopilau, miugali na Bado akimuona mtu anakunywa chai asubuhi anaita polisi kwamba katamanishwa, ndo maana izrael hushushia vipigo Hawa mabwanaNa ukiona utaka kula pamoja na kula usiku kucha bado ukiona mtu anakula mchana na wewe unataka aibu iambatane na nyie
Uislamu ni tatizo dunianiNimesikitishwa na hali inayoendelea Zanzibari kukamata watu wanaokula mchana nakupewa kipigo hali hii imekuwa inajitokeza kila mwaka mwezi huu wa ramadhani
Kilichonisikisha mwaka huu vyombo vya dola kuendelea na zoezi hili la kukamata watu wanaokula mchana ni jambo baya sana halileti afya kwa taifa.
Wao wazanzibari wanakuja bara kununua maeneo na kuishi wanafanya biashara kwa na kuswali kwa uhuru Je? sisi hatutakiwi kwenda kwao, kinachoendelea sasa kwenye huu muungano ni bomu linaloenda kulipuka muda mrefu ni swala la muda tu.
Wamekatwa kwa sababu wamevunja sheria hawajakamatwa kwa ukiriso wao znz ni kosa la jinai kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyikaNimesikitishwa na hali inayoendelea Zanzibari kukamata watu wanaokula mchana nakupewa kipigo hali hii imekuwa inajitokeza kila mwaka mwezi huu wa ramadhani
Kilichonisikisha mwaka huu vyombo vya dola kuendelea na zoezi hili la kukamata watu wanaokula mchana ni jambo baya sana halileti afya kwa taifa.
Wao wazanzibari wanakuja bara kununua maeneo na kuishi wanafanya biashara kwa na kuswali kwa uhuru Je? sisi hatutakiwi kwenda kwao, kinachoendelea sasa kwenye huu muungano ni bomu linaloenda kulipuka muda mrefu ni swala la muda tu.