Kuna haja gani ya muungano polisi kukamata wakristo huko Zanzibari wanaokula mchana?

Na ukiona utaka kula pamoja na kula usiku kucha bado ukiona mtu anakula mchana na wewe unataka aibu iambatane na nyie
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Muungano wa kijinga sana huu. Halafu sijui ni kwa nini tumeungana na watu wa hovyo kama hao.
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu
 
Zanzibar niwaabudu shetani, namba 666 ni uislamu, mpinga kristo ni Muhamad hebu jiulize, mbona si Wahindi, au wapagani ila ni Wakristo tu, utapata jibu, adui no 1 wa Ukristo ni Uislamu, mwenye masikio na asikie.
Wewe wacha porojo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
mtu anakesha usiku kucha anakula kama mchwa na bado et akiona mtu mchana anakula eti amemtia majaribuni,. hii ni imani au ni upumbavu kama upumbavu mwingine tu?
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani ? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika pole sana
 
Inamana ni yeye tu na dini yake ndio anapaswa kuheshimiwa ? Mimi na dini yangu inayo niruhusu kula sitakiwi kuheshimiwa? Kwani anaenda kula mbele yake? Acheni ujinga nyie waislam mna roho mbaya kama dini yenu ilivyo
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Waislam ni wajinga kwakweli hawa hawana maana kabisa waislam wengi ni nguvu nyingi akili kidogo mengi ni majinga jinga tu
Hata wewe pia ni mjinga sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani ? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Huna

Huna akili ww! Unafunga kwa matamanio au kwa imani yako kwa Mungu wako? Yaaan umpangie mtu maisha yaan ale kwa kujificha ficha kisa ww na wenzio mmefunga?
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Kiufupi , Mwinyi ni mdini sana
Hizo sheria huyo mwinyi amezikuta yeye anazifata tu sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Hivi mkuu shida kumbe ni kuonekana unakula? Sasa hiyo ni nchi ya kiislamu? Hawa walioko huku bara hawaendi sehemu ambazo wengine wasokuwa waislam wanakula?
Hizo ni sheria za znz zipo muda mrefu tu
 
Kwaresma ilianza kabla ya Ramadhani. Waislamu hapa Zanzibar walikuwa wanakula na kunywa hadharani wakati wa kewaresma hakuna aliyewasumbua. kwanini Ramadhani ndiyo iwe spesho?. Kufunga ni wewe usihusishe na wengine. Hao wanaojifanya watemi kuwapiga bakora wanaokula mchana kuna siku mtaingia cha kike, mtakutana na mjedaa na atawanyoosha kweli kweli.
 
Jamani hawa ndugu Zangu usiku miubwabwa, miurojo, mopilau, miugali na Bado akimuona mtu anakunywa chai asubuhi anaita polisi kwamba katamanishwa, ndo maana izrael hushushia vipigo Hawa mabwana
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana

Na hawa Wazanzibari waliopo bara, na Samia, basi wafukuzwe warudi kwao. Haiwezekani wazanzibari waishi bara kwa huru wote halafu wao wanyanyase watu wengine.

Tumeungana na watu wanafiki ambao hawajastaarabika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…