bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sanaNa ukiona utaka kula pamoja na kula usiku kucha bado ukiona mtu anakula mchana na wewe unataka aibu iambatane na nyie
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sanaHizi dini bila elimu twafaaaa,kwani kufunga ni kutokuka chakula tu, kutokuka ni ishara ndogo sana katika mfungo.Mtu ana vidonda vya tumbo anafungaje? Naupenda uislam ila sipendi matendo ya waislam waliowengi.Wanatumia vitisho zaidi kuliko hata maandiko yalivyosema.
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenuMuungano wa kijinga sana huu. Halafu sijui ni kwa nini tumeungana na watu wa hovyo kama hao.
Wewe wacha porojo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sanaZanzibar niwaabudu shetani, namba 666 ni uislamu, mpinga kristo ni Muhamad hebu jiulize, mbona si Wahindi, au wapagani ila ni Wakristo tu, utapata jibu, adui no 1 wa Ukristo ni Uislamu, mwenye masikio na asikie.
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani ? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sanamtu anakesha usiku kucha anakula kama mchwa na bado et akiona mtu mchana anakula eti amemtia majaribuni,. hii ni imani au ni upumbavu kama upumbavu mwingine tu?
Wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika pole sanaWewe umefunga zako, unafanya ibada yako huyo anaekula mchana anakuhusu nini tena? Kwanza, ni lini Zanzibar ilitangazwa kuwa nchi ya Kiislam? Waacheni watu waamini kile wanachokiamini na wafanye kile wanachokiamini.
Mimi nijuavyo ni kwamba mtu ukiwa umefunga kisha akatokea mtu anakupa majaribu, unatakiwa uyashinde.hiyo ndiyo imani.
Waacheni wenzenu wawe huru kama wengine....msihukumu nanyi msije kuhukumiwa kwani Hakimu Mkuu ni Mungu pekee.
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sanaInamana ni yeye tu na dini yake ndio anapaswa kuheshimiwa ? Mimi na dini yangu inayo niruhusu kula sitakiwi kuheshimiwa? Kwani anaenda kula mbele yake? Acheni ujinga nyie waislam mna roho mbaya kama dini yenu ilivyo
Hata wewe pia ni mjinga sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani ? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sanaWaislam ni wajinga kwakweli hawa hawana maana kabisa waislam wengi ni nguvu nyingi akili kidogo mengi ni majinga jinga tu
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sanaHuna
Huna akili ww! Unafunga kwa matamanio au kwa imani yako kwa Mungu wako? Yaaan umpangie mtu maisha yaan ale kwa kujificha ficha kisa ww na wenzio mmefunga?
Hizo sheria huyo mwinyi amezikuta yeye anazifata tu sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sanaKiufupi , Mwinyi ni mdini sana
Hizo ni sheria za znz zipo muda mrefu tuHivi mkuu shida kumbe ni kuonekana unakula? Sasa hiyo ni nchi ya kiislamu? Hawa walioko huku bara hawaendi sehemu ambazo wengine wasokuwa waislam wanakula?
Kwaresma ilianza kabla ya Ramadhani. Waislamu hapa Zanzibar walikuwa wanakula na kunywa hadharani wakati wa kewaresma hakuna aliyewasumbua. kwanini Ramadhani ndiyo iwe spesho?. Kufunga ni wewe usihusishe na wengine. Hao wanaojifanya watemi kuwapiga bakora wanaokula mchana kuna siku mtaingia cha kike, mtakutana na mjedaa na atawanyoosha kweli kweli.Kwani ukiheshimu dini ya mwenzako ukala Faragha kidogo hutashiba? siku zenyewe 30 tu ila bado mnataka mle mbele za watu pigweni .. Nilienda zenji kipindi fulani nikakuta sehem wanauza chakula na mwezi wa mfungo ila wameweka mapazia na kila kitu kinafanyikia nyumbani pale ni kupakua kula na kulipa hakuna anaekuona na hakuna usumbufu...
Waliosumbuliwa walikua wanakula Faragha au ndio yale ya kujiachia mpaka inakua kero. Tunakuza sana mambo ila hatuna ustaarabu kabisaaaa kila mmoja wetu akijali dini na imani ya mwenzake hutaona anaelalamika
Japo ndugu zetu nao walipokea dini kwa mihemko na jihadi ila wakipewa nafasi ni siku chache tu wote tunakua huru kufakamia kitimoto
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sanaJamani hawa ndugu Zangu usiku miubwabwa, miurojo, mopilau, miugali na Bado akimuona mtu anakunywa chai asubuhi anaita polisi kwamba katamanishwa, ndo maana izrael hushushia vipigo Hawa mabwana
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sanaUislamu ni tatizo duniani
Sijui kuhusu sheria za Zanzibar. Kama unazifahamu, ebu weka hicho kipengele tusome.Hizo ni sheria za znz zipo muda mrefu tu
Huu wimbo unakera!Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana