Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Vitambulisho vilitolewa mwaka gani? Na kulikuwa na mwendelezo wa hiyo 20k?Huo ushuru wa 20k siku 40 kwa machinga mmoja ulifika hazina? Vitambulisho vilijulikana idadi, aliipata hela aliyoproject kikamilifu….alikuwa smart sana, kilichomkwamisha ni kuwa Simba pekee kwenye nchi ya makondoo… tuendelee kuwalilia wanasiasa.
Bro sijafuatilia muendelezo wake, ninachojua halmashauri zimejaa rushwa kuanzia mkusanyaji wa chini mpaka Wakurugenzi… tena siku hizi wanazikusanya kwa machine thanks to pombe huyo huyo,… wanazichezea sana…Vitambulisho vilitolewa mwaka gani? Na kulikuwa na mwendelezo wa hiyo 20k?
Hela za ushuru zilienda halmashauri
Hizo heka za "kodi ya vitambulisho" zilipelekwa wapi!!??Vile vitambulisho walivyokuwa wakiuziwa na wakuu wa mikoa umesahau? Elfu ishirini kila mmoja times idadi yao nchi nzima, kumbuka walivyojaa mpaka barabarani… kila mkoa, kila wilaya, kila mtaa …. Never underestimate the potential of numbers.
Kumbe hujafuatilia, kufuatilie ndio uje kubishanaBro sijafuatilia muendelezo wake, ninachojua halmashauri zimejaa rushwa kuanzia mkusanyaji wa chini mpaka Wakurugenzi… tena siku hizi wanazikusanya kwa machine thanks to pombe huyo huyo,… wanazichezea sana…
Tumuulize mama Samia, kuhusu hizo hekaya.Hizo heka za "kodi ya vitambulisho" zilipelekwa wapi!!??
Kutoka 20:3
"Usiwe na miungu mingine ila mimi".
Sibishani na mtu…. Hatugombanii mke wala hela bali maarifa ndio yanatafutwa hapa.Kumbe hujafuatilia, kufuatilie ndio uje kubishana
Labda hujui maana ya kubishana, maana yake nikikuambia kitu usipokubalina nacho na wewe ukaniambia sijakubaliana, tayari ni kubishana hapoSibishani na mtu…. Hatugombanii mke wala hela bali maarifa ndio yanatafutwa hapa.
Kupinga na kubishana ni sawa?Labda hujui maana ya kubishana, maana yake nikikuambia kitu usipokubalina nacho na wewe ukaniambia sijakubaliana, tayari ni kubishana hapo
Amina.Mwamba alifanya kazi na alimaliza kazi
Alale salama John Pombe Joseph Magufuli
Kama hujamuelewa mleta uzi, then your brain owns what you wrote!.Kuna watu vichwani sijui kichwani kumejaa mavi au kitu gani!? Sijui.
una uhakika ?Magu alitaka tumwabudu
Magu alitaka awe alpha na Omega kwenye maisha yetu
Magu alitaka hata former Presidents wampigie magoti
Magu ni laana juu ya nchii
Viva Samia.. ...
😂😂😂😂😂Hizo heka za "kodi ya vitambulisho" zilipelekwa wapi!!??
Kutoka 20:3
"Usiwe na miungu mingine ila mimi".
Umenena vyemaMwamba alifanya kazi na alimaliza kazi
Alale salama John Pombe Joseph Magufuli
Haya masomo tulonayo hayatoshi jamani??Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .
lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.
hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.
JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .
Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.
Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.
Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.
Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.
Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Tumuelewe Ili iweje?ndio ajira ziwe nyingi?Elimu yetu ndio itaboreka?Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .
lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.
hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.
JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .
Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.
Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.
Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.
Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.
Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Aligeuza makalio yako kulambwa na asali na walamba asali sasa yamerudi kuendelea kulambwaAligeuza nini??