Kuna haja ya kuanzisha somo la namna ya kumuelewa na kumuenzi Hayati Magufuli

Kuna haja ya kuanzisha somo la namna ya kumuelewa na kumuenzi Hayati Magufuli

Huo ushuru wa 20k siku 40 kwa machinga mmoja ulifika hazina? Vitambulisho vilijulikana idadi, aliipata hela aliyoproject kikamilifu….alikuwa smart sana, kilichomkwamisha ni kuwa Simba pekee kwenye nchi ya makondoo… tuendelee kuwalilia wanasiasa.
Vitambulisho vilitolewa mwaka gani? Na kulikuwa na mwendelezo wa hiyo 20k?

Hela za ushuru zilienda halmashauri
 
Vitambulisho vilitolewa mwaka gani? Na kulikuwa na mwendelezo wa hiyo 20k?

Hela za ushuru zilienda halmashauri
Bro sijafuatilia muendelezo wake, ninachojua halmashauri zimejaa rushwa kuanzia mkusanyaji wa chini mpaka Wakurugenzi… tena siku hizi wanazikusanya kwa machine thanks to pombe huyo huyo,… wanazichezea sana…
 
Vile vitambulisho walivyokuwa wakiuziwa na wakuu wa mikoa umesahau? Elfu ishirini kila mmoja times idadi yao nchi nzima, kumbuka walivyojaa mpaka barabarani… kila mkoa, kila wilaya, kila mtaa …. Never underestimate the potential of numbers.
Hizo heka za "kodi ya vitambulisho" zilipelekwa wapi!!??

Kutoka 20:3
"Usiwe na miungu mingine ila mimi".
 
Bro sijafuatilia muendelezo wake, ninachojua halmashauri zimejaa rushwa kuanzia mkusanyaji wa chini mpaka Wakurugenzi… tena siku hizi wanazikusanya kwa machine thanks to pombe huyo huyo,… wanazichezea sana…
Kumbe hujafuatilia, kufuatilie ndio uje kubishana
 
Hizo heka za "kodi ya vitambulisho" zilipelekwa wapi!!??

Kutoka 20:3
"Usiwe na miungu mingine ila mimi".
Tumuulize mama Samia, kuhusu hizo hekaya.

Kuhusu hayo maandiko ya miungu nadhani wewe ndio tukusaidie, miungu ya Waisrael na warumi kamwe haitakusaidia wewe hapo kwa mparange… tafuta Mungu wako acha hekaya za warumi.
 
Magu alitaka tumwabudu

Magu alitaka awe alpha na Omega kwenye maisha yetu

Magu alitaka hata former Presidents wampigie magoti

Magu ni laana juu ya nchii
Viva Samia.. ...
una uhakika ?
 
Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .

lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.

hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.

JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .

Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.

Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.

Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.

Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.

Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Haya masomo tulonayo hayatoshi jamani??
 
Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .

lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.

hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.

JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .

Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.

Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.

Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.

Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.

Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Tumuelewe Ili iweje?ndio ajira ziwe nyingi?Elimu yetu ndio itaboreka?
Kilimo ndio kitakuwa Bora?
Rushwa ndio itakwisha?
Matatizo yetu ni Ajira kwa vijana,
Kilimo Bora,
Viwanda,
Tekinolojia.
Sasa Kummkumbuka Jiwe,kutasaidia nini?
 
Unamuenzi vipi mtu alieminya demokrasia na haki za binadamu!
Unamuenzi vipi Rais ambae alitesa watu wake wa kuwaua,kuwafunga na kuwapiga risasi mchana kweupe!
Tumuenzi mtu ambae hakuheshimu Katiba iliyompa Uraisi?
 
Back
Top Bottom