Kuna haja ya kuja kuifuta CCM na kumbukumbu zake zibaki katika vitabu vya historia tu

Kuna haja ya kuja kuifuta CCM na kumbukumbu zake zibaki katika vitabu vya historia tu

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?

Hiki Chama ambacho kina :-
1. Mafisadi

2. Kina watu wanajiita wenye Chama

3. Kuna watu wanajiita wenye Nchi

4. Wanafiki

5. Wazalendo wachache

Ni Cha kufutwa na Tuanze na Vyama vipya na history ya Chama hichi iandikwe kwenye vitabu watu waje wakisome vizazi na vizazi .

Kimeharibu Sana Nchi labda Mama atusaidie afanye mambo katika kipindi chake anaonyesha dalili Nzuri ila kiuhalisia hichi Chama ni hatari kwa Afya ya Taifa .

Yaani tuwe na Topic kabisa iitwe UTAWALA MBOVU WA CCM watoto wasome wajifunze tulikosea wapi wakiwa wadogo .​
 
Dah kuifuta ccm mpaka uanze na tanu, harafu kitu kinachoitwa national torch kitoweke kabisa kikafichwe kule Kibosho, vinginevyo kuifuta ccm itabaki kwenye mijadala ya jamiiforum
 
Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?

Hiki Chama ambacho kina :-
1.Mafisadi

2.Kina watu wanajiita wenye Chama

3.Kuna watu wanajiita wenye Nchi

4.Wanafiki

5.Wazalendo wachache

Ni Cha kufutwa na Tuanze na Vyama vipya na history ya Chama hichi iandikwe kwenye vitabu watu waje wakisome vizazi na vizazi .

Kimeharibu Sana Nchi labda Mama atusaidie afanye mambo katika kipindi chake anaonyesha dalili Nzuri ila kiuhalisia hichi Chama ni hatari kwa Afya ya Taifa .

Yaani tuwe na Topic kabisa iitwe UTAWALA MBOVU WA CCM watoto wasome wajifunze tulikosea wapi wakiwa wadogo .​
SIO RAHISI KAMA UNAVYODHANI
 
Dah kuifuta ccm mpaka uanze na tanu, harafu kitu kinachoitwa national torch kitoweke kabisa kikafichwe kule Kibosho, vinginevyo kuifuta ccm itabaki kwenye mijadala ya jamiiforum
Ila kiukweli hili dude ni la kuondoka
 
Anayetakiwa kuamka ni wewe na wenzako wasiopenda maendeleo, miaka 60+ tangu tupate uhuru hatujafikia maendeleo aliyoyaleta mwingereza alipotawala Tanganyika kwa muda mfupi! CCM iko bize kufikiria kuiba kura 2025 na kugawana vyeo viongozi na familia zao na kujitajirisha.
Sasa kijana unadhani rahisi kihivyo ?
 
Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?

Hiki Chama ambacho kina :-
1.Mafisadi

2.Kina watu wanajiita wenye Chama

3.Kuna watu wanajiita wenye Nchi

4.Wanafiki

5.Wazalendo wachache

Ni Cha kufutwa na Tuanze na Vyama vipya na history ya Chama hichi iandikwe kwenye vitabu watu waje wakisome vizazi na vizazi .

Kimeharibu Sana Nchi labda Mama atusaidie afanye mambo katika kipindi chake anaonyesha dalili Nzuri ila kiuhalisia hichi Chama ni hatari kwa Afya ya Taifa .

Yaani tuwe na Topic kabisa iitwe UTAWALA MBOVU WA CCM watoto wasome wajifunze tulikosea wapi wakiwa wadogo .​
Umesema kweli tupu!
 
Anayetakiwa kuamka ni wewe na wenzako wasiopenda maendeleo, miaka 60+ tangu tupate uhuru hatujafikia maendeleo aliyoyaleta mwingereza alipotawala Tanganyika kwa muda mfupi! CCM iko bize kufikiria kuiba kura 2025 na kugawana vyeo viongozi na familia zao na kujitajirisha.
Tatizo nilionalo mimi ni kwamba Watanzania si wapinzani. Sasa hao watu wa vyama wataweza vipi kuleta upinzani ikiwa hali ni hiyo.
Kama tungekuwa wapinzani mabadiliko yangekuja hata bila ya vyama.
 
Ccm itatolewa jwtz wakiruhusiwa na tisccm, vinginevyo nec na policcm wataendelea kutangaza kuwa ccm imeshinda.
 
Tatizo nilionalo mimi ni kwamba Watanzania si wapinzani. Sasa hao watu wa vyama wataweza vipi kuleta upinzani ikiwa hali ni hiyo.
Kama tungekuwa wapinzani mabadiliko yangekuja hata bila ya vyama.
Mi nadhani vyombo vya usalama vinakilinda pia
 
Tatizo nilionalo mimi ni kwamba Watanzania si wapinzani. Sasa hao watu wa vyama wataweza vipi kuleta upinzani ikiwa hali ni hiyo.
Kama tungekuwa wapinzani mabadiliko yangekuja hata bila ya vyama.
Tatizo lako ndilo wanalo watanzania wengi, watanzania wanadhani mageuzi huletwa na viongozi wa vyama ambao hawafiki 20! Nchi zote duniani kasoro Tanzania mabadiliko huletwa na wananchi bila kujali vyama vyao kwani madhara ya kukosa maendeleo wanayapata watu wote kasoro viongozi wa chama kinachotawala na familia zao. Usiendelee kusubiri Mbowe akuletee mageuzi, hata Nyerere hakuleta mageuzi peke yake, ni wananchi kwa umoja wao bila kujali uanachama wa Tanu walishirikiana, sisi Tanzania tungetawaliwa na makaburu tungekuwa bado tunatawaliwa tukimsubiri Mandela awaondoe makaburu! Malawi wananchi wote bila kujali vyama walikataa matokeo ya wizi wa kura na tume ya uchaguzi waliikataa, matokeo tume ikafutwa na uchaguzi ukarudiwa chini ya tume huru, huo ndio uzalendo kwa nchi yako.
 
Tatizo lako ndilo wanalo watanzania wengi, watanzania wanadhani mageuzi huletwa na viongozi wa vyama ambao hawafiki 20! Nchi zote duniani kasoro Tanzania mabadiliko huletwa na wananchi bila kujali vyama vyao kwani madhara ya kukosa maendeleo wanayapata watu wote kasoro viongozi wa chama kinachotawala na familia zao. Usiendelee kusubiri Mbowe akuletee mageuzi, hata Nyerere hakuleta mageuzi peke yake, ni wananchi kwa umoja wao bila kujali uanachama wa Tanu walishirikiana, sisi Tanzania tungetawaliwa na makaburu tungekuwa bado tunatawaliwa tukimsubiri Mandela awaondoe makaburu! Malawi wananchi wote bila kujali vyama walikataa matokeo ya wizi wa kura na tume ya uchaguzi waliikataa, matokeo tume ikafutwa na uchaguzi ukarudiwa chini ya tume huru, huo ndio uzalendo kwa nchi yako.
Hakika
 
Back
Top Bottom