Kuna haja ya kuja kuifuta CCM na kumbukumbu zake zibaki katika vitabu vya historia tu

Kuna haja ya kuja kuifuta CCM na kumbukumbu zake zibaki katika vitabu vya historia tu

Let's assume it's true CCM imechoka na haifai, nani mbadala wa kukabidhiwa Ikulu yetu?.
P
Wapo makapiteni,makanali,maluteni,mameja,mabrigadia, kibao tu.
Wapo CHADEMA, UPTP,UDP, UMMA P, CUF, ACT, NCCR, n.k.
Wakati TANU chini ya Mwalimu inakabidhiwa nchi, wakoloni wa jana walisema vivyo hivyo kama msemavyo wakoloni wa leo.
NB: Hoja ya CCM kuchoka na kutokufaa si suala la "kuassume", ndiyo hali halisi na ukweli ulio wazi.
 
Ccm yangu inaondoka kwani hali sio upepo unavumia Chadema ndo maana chama changu ccm kinawalainisha na maridhiano.
Lakini chama changu ninaamini hawakielewi chadema kwani siku ambayo Lissu atatua hapa Nchi ndo mwisho wa nyimbo zote kwani chama changu ccm kipo mtegoni hatutaamini hapo moto wa Katiba utakapowashwa rasmi na Chadema
 
Ccm yangu inaondoka kwani hali sio upepo unavumia Chadema ndo maana chama changu ccm kinawalainisha na maridhiano.
Lakini chama changu ninaamini hawakielewi chadema kwani siku ambayo Lissu atatua hapa Nchi ndo mwisho wa nyimbo zote kwani chama changu ccm kipo mtegoni hatutaamini hapo moto wa Katiba utakapowashwa rasmi na Chadema
Bado una Imani na Tundu lissu
 
Tatizo ni kwamba CCM imeweka mamluki hata kwenye hivyo vyama vingine vya siasa. Unaweza ukasema dola ichukuliwe na Chadema kumbe nako wamejaa mamluki wa Ccm halafu unaweza kukuta ndio wanaongoza kuikosoa serikali ili mzidi kuwaamini.
Hakika
 
Huyo mama uliyemtaja kwenye uzi wako ni nani??
 
Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?

Hiki Chama ambacho kina :-
1. Mafisadi

2. Kina watu wanajiita wenye Chama

3. Kuna watu wanajiita wenye Nchi

4. Wanafiki

5. Wazalendo wachache

Ni Cha kufutwa na Tuanze na Vyama vipya na history ya Chama hichi iandikwe kwenye vitabu watu waje wakisome vizazi na vizazi .

Kimeharibu Sana Nchi labda Mama atusaidie afanye mambo katika kipindi chake anaonyesha dalili Nzuri ila kiuhalisia hichi Chama ni hatari kwa Afya ya Taifa .

Yaani tuwe na Topic kabisa iitwe UTAWALA MBOVU WA CCM watoto wasome wajifunze tulikosea wapi wakiwa wadogo .​
Mmea wa Arusha katika ubora wake.
 
Itatawala milele, H.K. Banda aliamini atatawala milele na alikuwa na ulinzi wa vijana wa chama chake ambao waliogopwa na wananchi wote pamoja na majeshi, lakini cha ajabu siku moja asubuhi jeshi lilithubutu na milele ilikomea hapo.
Kama nilivyowahi kusema, humu ndani tuna lots of wishful thinkers who just wish hili au lile litokee, na few realists ambao wanasema kile kitu kilichopo cha ukweli. Naendelea kusisitiza kuwa Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!., ila kwavile humu duniani, there is nothing impossible under the sun, endelea kuisubiria by wishing and wishing hiyo siku moja ya asubuhi ya ajabu, ambayo utaamka asubuhi na kukuta umilele wake umekomea hapo!.
P
 
Wapo makapiteni,makanali,maluteni,mameja,mabrigadia, kibao tu.
Wapo CHADEMA, UPTP,UDP, UMMA P, CUF, ACT, NCCR, n.k.
Wakati TANU chini ya Mwalimu inakabidhiwa nchi, wakoloni wa jana walisema vivyo hivyo kama msemavyo wakoloni wa leo.
NB: Hoja ya CCM kuchoka na kutokufaa si suala la "kuassume", ndiyo hali halisi na ukweli ulio wazi.
Umeandika kweli tupu ila sio rahisi
 
Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?

Hiki Chama ambacho kina :-
1. Mafisadi

2. Kina watu wanajiita wenye Chama

3. Kuna watu wanajiita wenye Nchi

4. Wanafiki

5. Wazalendo wachache

Ni Cha kufutwa na Tuanze na Vyama vipya na history ya Chama hichi iandikwe kwenye vitabu watu waje wakisome vizazi na vizazi .

Kimeharibu Sana Nchi labda Mama atusaidie afanye mambo katika kipindi chake anaonyesha dalili Nzuri ila kiuhalisia hichi Chama ni hatari kwa Afya ya Taifa .

Yaani tuwe na Topic kabisa iitwe UTAWALA MBOVU WA CCM watoto wasome wajifunze tulikosea wapi wakiwa wadogo .​
CCM kuifuta hapana mkuu. Najua una hasira lakini fikiria mara mbili mbili. CCM
kama chama hakina matatizo tatizo ni watu wake. Unakumbuka enzi za Dkt Magufuli, hatukusikia kabisa watu wanajiita wenye chama wala wenye nchi, ila baada ya yeye kufariki sasa kuna wenye nchi na wenye chama ndiyo wanaongoza CCM. Kwa hiyo ombi lako lingekuwa zuri kama ungesema tuwafute wanafiki wote ndani ya CCM, yaani yupoteze kizazi chote cha akina Nape kije kizazi cha akina Dkt Magufuli. Maana yangu ni kuwa hakuna chama mbadala ambacho kipo organized kama CCM kwa sasa na baadaye, CCM inaleta umoj.
 
CCM kuifuta hapana mkuu. Najua una hasira lakini fikiria mara mbili mbili. CCM
kama chama hakina matatizo tatizo ni watu wake. Unakumbuka enzi za Dkt Magufuli, hatukusikia kabisa watu wanajiita wenye chama wala wenye nchi, ila baada ya yeye kufariki sasa kuna wenye nchi na wenye chama ndiyo wanaongoza CCM. Kwa hiyo ombi lako lingekuwa zuri kama ungesema tuwafute wanafiki wote ndani ya CCM, yaani yupoteze kizazi chote cha akina Nape kije kizazi cha akina Dkt Magufuli. Maana yangu ni kuwa hakuna chama mbadala ambacho kipo organized kama CCM kwa sasa na baadaye, CCM inaleta umoj.
Uko sahihi
 
CCM kuifuta hapana mkuu. Najua una hasira lakini fikiria mara mbili mbili. CCM
kama chama hakina matatizo tatizo ni watu wake. Unakumbuka enzi za Dkt Magufuli, hatukusikia kabisa watu wanajiita wenye chama wala wenye nchi, ila baada ya yeye kufariki sasa kuna wenye nchi na wenye chama ndiyo wanaongoza CCM. Kwa hiyo ombi lako lingekuwa zuri kama ungesema tuwafute wanafiki wote ndani ya CCM, yaani yupoteze kizazi chote cha akina Nape kije kizazi cha akina Dkt Magufuli. Maana yangu ni kuwa hakuna chama mbadala ambacho kipo organized kama CCM kwa sasa na baadaye, CCM inaleta umoj.
Sema kifuta na kuwekwe miaatala kama utawala mbovu itasaidia
 
Kama nilivyowahi kusema, humu ndani tuna lots of wishful thinkers who just wish hili au lile litokee, na few realists ambao wanasema kile kitu kilichopo cha ukweli. Naendelea kusisitiza kuwa Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!., ila kwavile humu duniani, there is nothing impossible under the sun, endelea kuisubiria by wishing and wishing hiyo siku moja ya asubuhi ya ajabu, ambayo utaamka asubuhi na kukuta umilele wake umekomea hapo!.
P
Pascal mbona unataka kutuaminisha kuwa Mungu aliwaumba wanaccm na wasio wanaccm waliumbwa na mungu! Mbona CCM ilinunua viongozi wengi wa Chadema na bado inawatumia kwenye nafasi za juu huku wewe bado uko JF unasigina vidole, CCM imeirudisha nchi kutoka nafasi ilipokuwa wakati inapata uhuru, wakati tunapata Uhuru pesa yetu ilikuwa na thamani sawa na Kenya na Uingereza, elimu ilikuwa sawa na ya Uingereza silabasi moja mtihani mmoja na walipata distinksheni kwenye kiingereza mnachokiogopa sasa na wapo waliosoma bure, tiba zilipatikana bure na tulikuwa tukisafirisha mazao mengi mfano pamba(muulize babu yako alivyotajirika na kununua baisikeli iliyopambwa makorokoro ya kila aina), kahawa, katani na mengine mengi, leo hii CCM inafikiria itakavyopora kura uchaguzi ujao kuliko kuikwamua kutoka kwenye umasikini, miaka yote tunashindwa kuifikia Kenya tuliyokuwa nayo sawa!
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Pascal mbona unataka kutuaminisha kuwa Mungu aliwaumba wanaccm na wasio wanaccm waliumbwa na mungu! Mbona CCM ilinunua viongozi wengi wa Chadema na bado inawatumia kwenye nafasi za juu huku wewe bado uko JF unasigina vidole, CCM imeirudisha nchi kutoka nafasi ilipokuwa wakati inapata uhuru, wakati tunapata Uhuru pesa yetu ilikuwa na thamani sawa na Kenya na Uingereza, elimu ilikuwa sawa na ya Uingereza silabasi moja mtihani mmoja na walipata distinksheni kwenye kiingereza mnachokiogopa sasa na wapo waliosoma bure, tiba zilipatikana bure na tulikuwa tukisafirisha mazao mengi mfano pamba(muulize babu yako alivyotajirika na kununua baisikeli iliyopambwa makorokoro ya kila aina), kahawa, katani na mengine mengi, leo hii CCM inafikiria itakavyopora kura uchaguzi ujao kuliko kuikwamua kutoka kwenye umasikini, miaka yote tunashindwa kuifikia Kenya tuliyokuwa nayo sawa!
Pascal ni mwanasiasa anacheza na upepo unakoelekea tu
 
Pascal ni mwanasiasa anacheza na upepo unakoelekea tu
Pascal si mwanasiasa mzuri labda kwa siasa za Tanzania tu ila kwingine hawezi kwa sababu hupenda kuonesha chuki dhidi ya upande mwingine. Kumtaka Rais amfukuze kazi unayemchukia si jambo dogo na kwa nchi nyingine linaweza kuhatarisha maisha yako, mpaka sasa ni wangapi wamemtaka rais amfukuze kwa madai ya kutawanya sumu! Ni Pascal huyuhuyu baada ya kesi ya Mbowe kufutwa alidai ushahidi wa ugaidi wa Mbowe upo! Huyu si mwanasiasa labda ni agent.
 
Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?

Hiki Chama ambacho kina :-
1. Mafisadi

2. Kina watu wanajiita wenye Chama

3. Kuna watu wanajiita wenye Nchi

4. Wanafiki

5. Wazalendo wachache

Ni Cha kufutwa na Tuanze na Vyama vipya na history ya Chama hichi iandikwe kwenye vitabu watu waje wakisome vizazi na vizazi .

Kimeharibu Sana Nchi labda Mama atusaidie afanye mambo katika kipindi chake anaonyesha dalili Nzuri ila kiuhalisia hichi Chama ni hatari kwa Afya ya Taifa .

Yaani tuwe na Topic kabisa iitwe UTAWALA MBOVU WA CCM watoto wasome wajifunze tulikosea wapi wakiwa wadogo .​
Tuliwambia kitambo. Kukosa uteuzi tu mwaka mmoja kima siku unatukama chama chako.
 
Pascal si mwanasiasa mzuri labda kwa siasa za Tanzania tu ila kwingine hawezi kwa sababu hupenda kuonesha chuki dhidi ya upande mwingine. Kumtaka Rais amfukuze kazi unayemchukia si jambo dogo na kwa nchi nyingine linaweza kuhatarisha maisha yako, mpaka sasa ni wangapi wamemtaka rais amfukuze kwa madai ya kutawanya sumu! Ni Pascal huyuhuyu baada ya kesi ya Mbowe kufutwa alidai ushahidi wa ugaidi wa Mbowe upo! Huyu si mwanasiasa labda ni agent.
Moja ya vitu ambavyo huwa sivipendi ni hili la uchonganishi .
 
Back
Top Bottom