Kuna haja ya kuja kuifuta CCM na kumbukumbu zake zibaki katika vitabu vya historia tu

Kuna haja ya kuja kuifuta CCM na kumbukumbu zake zibaki katika vitabu vya historia tu

Pascal si mwanasiasa mzuri labda kwa siasa za Tanzania tu ila kwingine hawezi kwa sababu hupenda kuonesha chuki dhidi ya upande mwingine. Kumtaka Rais amfukuze kazi unayemchukia si jambo dogo na kwa nchi nyingine linaweza kuhatarisha maisha yako, mpaka sasa ni wangapi wamemtaka rais amfukuze kwa madai ya kutawanya sumu! Ni Pascal huyuhuyu baada ya kesi ya Mbowe kufutwa alidai ushahidi wa ugaidi wa Mbowe upo! Huyu si mwanasiasa labda ni agent.
Anatafuta ugali
 
CCM kuifuta hapana mkuu. Najua una hasira lakini fikiria mara mbili mbili. CCM
kama chama hakina matatizo tatizo ni watu wake. Unakumbuka enzi za Dkt Magufuli, hatukusikia kabisa watu wanajiita wenye chama wala wenye nchi, ila baada ya yeye kufariki sasa kuna wenye nchi na wenye chama ndiyo wanaongoza CCM. Kwa hiyo ombi lako lingekuwa zuri kama ungesema tuwafute wanafiki wote ndani ya CCM, yaani yupoteze kizazi chote cha akina Nape kije kizazi cha akina Dkt Magufuli. Maana yangu ni kuwa hakuna chama mbadala ambacho kipo organized kama CCM kwa sasa na baadaye, CCM inaleta umoj.
Naunga mkono hoja 100%
 
Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?

Hiki Chama ambacho kina :-
1. Mafisadi

2. Kina watu wanajiita wenye Chama

3. Kuna watu wanajiita wenye Nchi

4. Wanafiki

5. Wazalendo wachache

Ni Cha kufutwa na Tuanze na Vyama vipya na history ya Chama hichi iandikwe kwenye vitabu watu waje wakisome vizazi na vizazi .

Kimeharibu Sana Nchi labda Mama atusaidie afanye mambo katika kipindi chake anaonyesha dalili Nzuri ila kiuhalisia hichi Chama ni hatari kwa Afya ya Taifa .

Yaani tuwe na Topic kabisa iitwe UTAWALA MBOVU WA CCM watoto wasome wajifunze tulikosea wapi wakiwa wadogo .​
Unaonaje ukasubiri kwanza tumalizane na Lissu kule Chadema kisha ndiyo tuje kusikiliza hizi pumba. Unawezaje kufuta kumbukumbu za Baba na Mama yako waliokuzaa kama siyo ukosefu wa adabu.Au wakuvulie nguo ukaokote makopo ?
 
Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?

Hiki Chama ambacho kina :-
1. Mafisadi

2. Kina watu wanajiita wenye Chama

3. Kuna watu wanajiita wenye Nchi

4. Wanafiki

5. Wazalendo wachache

Ni Cha kufutwa na Tuanze na Vyama vipya na history ya Chama hichi iandikwe kwenye vitabu watu waje wakisome vizazi na vizazi .

Kimeharibu Sana Nchi labda Mama atusaidie afanye mambo katika kipindi chake anaonyesha dalili Nzuri ila kiuhalisia hichi Chama ni hatari kwa Afya ya Taifa .

Yaani tuwe na Topic kabisa iitwe UTAWALA MBOVU WA CCM watoto wasome wajifunze tulikosea wapi wakiwa wadogo .​
Kwa kinachoendelea chadema, sasa nimeamini,ili Kuiondoa ccm madarakani, ni kwa risasi, fujo, kama inavyofsnyika sasa hv Msumbiji,
Au ilivyofsnyika nchi za magharibi, ambapo vijana wa kijeshi wamechukua nchi, ila hapa kwetu hata huko jeshini, wamejaaa vilaza watupu, inabidi ifsnyike kama Sylia tu
 
Back
Top Bottom