Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo na mabadiliko yana uhusiano mkubwa sana na SiasaLabda mabadiliko yaletwe na wananchi ila vyama msitegeme
Swali je!je kwa sasa wananchi bila itikadi ya vyama/siasa wako tayari
Kwa madiliko
Ova
Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?
Hiki Chama ambacho kina :-
1.Mafisadi
2.Kina watu wanajiita wenye Chama
3.Kuna watu wanajiita wenye Nchi
4.Wanafiki
5.Wazalendo wachache
Ni Cha kufutwa na Tuanze na Vyama vipya na history ya Chama hichi iandikwe kwenye vitabu watu waje wakisome vizazi na vizazi .
Kimeharibu Sana Nchi labda Mama atusaidie afanye mambo katika kipindi chake anaonyesha dalili Nzuri ila kiuhalisia hichi Chama ni hatari kwa Afya ya Taifa .
Yaani tuwe na Topic kabisa iitwe UTAWALA MBOVU WA CCM watoto wasome wajifunze tulikosea wapi wakiwa wadogo .
Labda hukunielewa, ila usemacho ndiyo nilicho jaribu kusema.Tatizo lako ndilo wanalo watanzania wengi, watanzania wanadhani mageuzi huletwa na viongozi wa vyama ambao hawafiki 20! Nchi zote duniani kasoro Tanzania mabadiliko huletwa na wananchi bila kujali vyama vyao kwani madhara ya kukosa maendeleo wanayapata watu wote kasoro viongozi wa chama kinachotawala na familia zao. Usiendelee kusubiri Mbowe akuletee mageuzi, hata Nyerere hakuleta mageuzi peke yake, ni wananchi kwa umoja wao bila kujali uanachama wa Tanu walishirikiana, sisi Tanzania tungetawaliwa na makaburu tungekuwa bado tunatawaliwa tukimsubiri Mandela awaondoe makaburu! Malawi wananchi wote bila kujali vyama walikataa matokeo ya wizi wa kura na tume ya uchaguzi waliikataa, matokeo tume ikafutwa na uchaguzi ukarudiwa chini ya tume huru, huo ndio uzalendo kwa nchi yako.
Hahahaha6. Wachawi
7.Watekaji
8.Watesaji
9.Wauaji
10.Wezi wa kura.....
Hatari SanaSerekali kupinduliwa, au machafuko pekee ndio yataleta mabadiliko ya kweli ya utawala hapa nchini kwa kuiweka CCM pembeni.
😂😂😂😂6. Wachawi
7.Watekaji
8.Watesaji
9.Wauaji
10.Wezi wa kura.....
2025 twende na Idugunde. Huyu ni kada mzoefu wa ccm. Hivyo tukimpa nafasi kwenye kukiua chama chake, hakika hatotuangusha.Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?
Hiki Chama ambacho kina :-
1. Mafisadi
2. Kina watu wanajiita wenye Chama
3. Kuna watu wanajiita wenye Nchi
4. Wanafiki
5. Wazalendo wachache
Ni Cha kufutwa na Tuanze na Vyama vipya na history ya Chama hichi iandikwe kwenye vitabu watu waje wakisome vizazi na vizazi .
Kimeharibu Sana Nchi labda Mama atusaidie afanye mambo katika kipindi chake anaonyesha dalili Nzuri ila kiuhalisia hichi Chama ni hatari kwa Afya ya Taifa .
Yaani tuwe na Topic kabisa iitwe UTAWALA MBOVU WA CCM watoto wasome wajifunze tulikosea wapi wakiwa wadogo .
Mkuu RNA, kwanza naheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani nayo, pili nimekutwangia like.Habari wana JF ,hivi kuna haja gani kwa Chama kushika Nchi zaidi ya miaka 45 na bado nchi nzima kukawa bado ukosegu wa Huduma za Msingi kama Maji safi ,Afya na miundombinu mibovu kwa Nchi yenye Utajiri wa kila kitu ?
Nakubaliana na hoja yako, but this is just a theory, practical is something else Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.Tatizo lako ndilo wanalo watanzania wengi, watanzania wanadhani mageuzi huletwa na viongozi wa vyama ambao hawafiki 20! Nchi zote duniani kasoro Tanzania mabadiliko huletwa na wananchi bila kujali vyama vyao kwani madhara ya kukosa maendeleo wanayapata watu wote kasoro viongozi wa chama kinachotawala na familia zao. Usiendelee kusubiri Mbowe akuletee mageuzi, hata Nyerere hakuleta mageuzi peke yake, ni wananchi kwa umoja wao bila kujali uanachama wa Tanu walishirikiana, sisi Tanzania tungetawaliwa na makaburu tungekuwa bado tunatawaliwa tukimsubiri Mandela awaondoe makaburu! Malawi wananchi wote bila kujali vyama walikataa matokeo ya wizi wa kura na tume ya uchaguzi waliikataa, matokeo tume ikafutwa na uchaguzi ukarudiwa chini ya tume huru, huo ndio uzalendo kwa nchi yako.
Mkuu Pascal naheshimu mawazo yako pia lakini Chama kilichokaa zaidi ya Miaka 45 bado mambo mengi yanasuasua hakifai kuendelea kuongoza NchiNakubaliana na hoja yako, but this is just a theory, practical is something else Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Mawazo kama haya ndio yanaturudisha NyumaCCM ni legasi ya Nyerere. Kuifuta ni sawa na kuifuta Tanzania.
Let's assume it's true CCM imechoka na haifai, nani mbadala wa kukabidhiwa Ikulu yetu?.Mkuu Pascal naheshimu mawazo yako pia lakini Chama kilichokaa zaidi ya Miaka 45 bado mambo mengi yanasuasua hakifai kuendelea kuongoza Nchi
Duniani hakuna milele hili kaa ukijua.Mkuu RNA, kwanza naheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani nayo, pili nimekutwangia like.
Tatu mimi naomba kuwa Mwalimu wa kujitolea kukufundisha Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Pasco