Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Magufuli japo alikuwa na mapungufu yake, aliweza kutawala nyoyo za wengi pale alipokuwa kwenye halaiki na kutetea wanyonge. Hata kama ilikuwa ni kiini macho, aliondoka na nyoyo za watu. Lakini huyu mama anadiriki hata kumnyamazisha mwananchi wake maskini ambae ameshakata tamaa na kuona nafasi pekee ni kumvaa raisi halaiki kutoa duku duku lake. Lakini anaambulia kushushuliwa.

Sjui kwanini? Nmekuelewa sana hapa kuna siku Mama alikuwa anahutubia kuna mwananchi uko akawa anapiga kelele kutaka kusikilizwa Mama alimuangalia tu kimya akaendelea na mambo yake dah nisikitika sana nikagundua mama anakiaina fulani cha kiburi

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Huyo mtu wa mipasho na taarabu nyingi ingependeza kama angehojiwa na Shaka ssali wa Straight Talk Africa bahati mbaya ameshastaafu lakini ukweli ni kwamba mama ana ghadhabu sana yaani anaongozwa na inferiority complex wakati yeye mwenyewe anawania kuonyesha cheo chake huku akidhani kuwa haheshimiwi kama Rais. Hatari yake itazaa Superiority complex
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Mtu na asili, ni mswahili mzenj yule kusutana jadi awe Rais au lah! We hujawahi kumuona akitaka kuweka mikono kiunoni mithili ya misuto akiwa anaongea hadharani? Nenda YouTube rejea siku akimchamba Ndugai! Angalia movement ya mikono na vidole; utacheka ufe!
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Ninauhakika Tanzania hatuna wataalamu wa kuwashepu apu marais kwa kila kitu kuanzia jinsi ya kuongea, kutembea, kula, kukohoa, kucheka, kuvaa, kupunga mikono na mengineyo. Mwenendo wa marais wetu huleta mengi yanayofikirisha.
 
Kuna jamaa mmoja nmemsahau jina alimuuliza magu kuhusu mihimili mitatu,pale ikulu simkumbuki jina,natamani sana siku mama akutane nae,

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yule hata kujibu maswali alikuwa hajui ndio maana hata press alikuwa hapendi na akiwaita alikuwa anahutubia sio kuulizwa,
Kuna Dada mmoja aliwahi kumuuliza unapenda kufanya nini ukiwa na muda wa mapumziko,jamaa akapaniki akamwambia kwahio unataka nikupende wewe?[emoji3]
 
Yule hata kujibu maswali alikuwa hajui ndio maana hata press alikuwa hapendi na akiwaita alikuwa anahutubia sio kuulizwa,
Kuna Dada mmoja aliwahi kumuuliza unapenda kufanya nini ukiwa na muda wa mapumziko,jamaa akapaniki akamwambia kwahio unataka nikupende wewe?[emoji3]
Mm kwenye upande wa majib namkubal sana mzee wa msoga2[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Unahisi kuna siku Atakuja Kutukana mtu,Hapana mama ni kama Raia wengine huku Kitaa. Muhimu kazi inaendelea...
 
Bora yeye kajibu hivyo, jiwe alisema kwenye kampeni hakuna mahali aliahidi mambo ya katiba mpya hivyo hataki kuulizwa hayo maswala na hakuna aliyeendelea kumhoji wala kuanzisha vuguvugu la katiba mpya.
Mwishowe ikawaje?
 
Back
Top Bottom