Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Ila kwa nafasi aliyonayo anapaswa ajifunze kujizuia.

Maana anajibu kishari kama huyo Kikeke ndio kadai katiba.
Ni uwezo sio kujizuia kaulizwa maswali yenye majibu tena hata Shaka H. Shaka anayajibu vizuri tu. Ukomavu, busara, hekima, maarifa, vigezo vya vya lazima kwa wadhifa wake na umri wake pia, kama hana hana to. Hi hatari sana kwa nchi.Nasikitika ni aibu sana kwa nchi
 
Mnakuwa kama hamuwajui akina mama!
Wamama hawawezi kuji control ndio maana ukienda mpelekea habari za msiba au taarifa zingine sensitive kwa dada yako alieolewa wazee wanakwambia mwambie mume wake na mume atatafuta mazingira ya kumwambia mkewe.
 
Akitoka madarakani akajiangalia hizo Interview zake ndio atajiona kuwa alikuwa hajui

Kuna protocol inakuwa haiendi sawa,,, Rais huwa anaandaliwa maswali na majibu pia. kuepusha kuvurunda
Sio kwa level hio ya BBC huo utopolo wa pre arranged questions haupo tuache kutetea utopolo, Rais anapaswa kuwa msomaji na kujua kila kitu haina kisingizio ametepeta very clear
 
Mnakuwa kama hamuwajui akina mama!
Wamama hawawezi kuji control ndio maana ukienda mpelekea habari za msiba au taarifa zingine sensitive kwa dada yako alieolewa wazee wanakwambia mwambie mume wake na mume atatafuta mazingira ya kumwambia mkewe.
Acheni visingizio tuna hasira za aibu aliosababisha yuko na dhamana ya ikulu asome na ajue mambo mengi mtambuka ni lazima sio ombi.
 
Yaani wewe unadhani kuwa Rais ni kusujudia Mwandishi? Kwani Salim Kikeke alikuwa na ushahidi wowote kuwa sisi wananchi tunadai Katiba?

Acheni dharau watanzania!! Huyu mama ni muungwana sana, anaituliza nchi. Mbona yule Mwendazake alikuwako hapa kwa miaka 5 Kikeke naye alikuwako BBC lakini hakuwahi kumuuliza maswali ya hivyo.

Rais Samia anaheshimu utawala wa sheria, uhuru wa vyombo vya habari na maoni ya mtu mmoja mmoja. Yule Mwendazake alibana yote haya. Huyu mama kaachia ndiyo mnataka mumdhalilishe kwa vitu kawaachia yeye mwenyewe?

Yeye ndiyo Rais, kama unataka majibu soft nenda kwa mkeo au mumeo!!
Kwani kuhojiwa tumentuma au kalazimishwa acha kutetea utopolo, utopolo ni utopolo tu, maswali yote yako ndani ya uwezo wake kaboa sana na kaibisha sana image ya kiti cha urais
 
Na tayari yule member maarufu humu jf ameshotoa uzi ule hapo januari Mwaka huu kuwa FDR atatawla miaka 12

!nahisi thread itajibu mwakani kabla ya March!!

kabla ya miaka miwili ya kikatiba tangu Mwendazake atutoke!!!

NGOJA Tuone Kati ya chief Tozo na msoga gang na the state nani atashinda mechi hiyo!!!
unaitwaje huo uzi nikausome
 
Hajawahi kujiamini hata siku moja kitu kinachomfanya awepo na kuendelea kuwepo hapo ni usalama wa taifa vinginevyo angekuwa ameachia ngazi muda mrefu.

The state instrument is very powerful to retain someone in position irrespective of the challenges facing
Siku nyingine sema 'state machinery'.
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Mama ni mzuri tu...
Ila akianza kuongea ndo unagundua Ikulu kuna mtu wa aina gani!
 
Aiseh hii clip hii sio mchezo
Huyu mama siku zinavyosogea naanza kusogea mbali naye taratibuuuuu...

Alaaaaa...kumbe...duuuuu....huyu mzanzibar bwana...basi naye aende akawaulize wanzanzibar kama wanataka muungano...
 
Kamjibu huyo mwandishi vizuri sana. Wengine tunapenda Mh Rais afamu pia hata afanye nini hatakaa awaridhishe cdm kamwe. Hasa wale wa genge la kubadili gia angani.

Watamshambulia kwa hii vita ya maneno maana wameshamjua pressure ikizidi anakubaliana na mitazamo yao na ajipange kweli kweli.

Wamemuwekea mtego huu wa TL wa kutaka ahakikishiwe usalama wake na wenzie wanaojiita wakimbizi wa kisiasa. Usalama wa TL ni kama wa Watanzania wengine kwa nini statement mahususi kuhusu yeye? Ni mtego huo hatujui utamnasa nani? Na akikubali kutoa hiyo statement TL na Lema wanayomtaka aitoe akae akijua anautangazia ulimwengu Tanzania ambayo yeye alikuwa VP kulikuwepo na State Terrorism.

Mh Rais angekaa na kutulia afanye tasmini na ajiridhishe kuwa baada ya kufanya hayo aliyo yafanya kuhusu wapinzani kama kukutana na TL huko Ubeligi na yanayo fanana na hayo. Je kuna chochote anacho pata kama appreciation kutoka kwao au ndio kila siku mpya wanakuja na madai mapya? Narudia hata afanye nini hatakaa awaridhishe. Hata akiwaachia Uraisi wake wakiingia tu watatafuta namna ya kubadili katiba wamshitaki yeye na wasaidizi wake.
 
Hapana sio kawaida kwa Rais kupanic kwenye issues ndogo ndogo kama hizo.

Obviously, brainpower ya Chief Hangaya ni ndogo. She miserably failed to anticipate a question that Kikeke was most likely to throw at her during the interview. Sasa sijui yeye alijiandaaje kwa hiyo interview bila kufikiria kwamba hilo swali lazima lingeulizwa!
 
Back
Top Bottom