Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Sio Mkapa tu, hata Kikwete alizinguaga eti hajui kwa nini Nchi yake ni maskini.Ndio maana nasema hii Nchi kiongozi kidogo alikiwa Nyerere hasa wengine ni bahati tu walikuwa nazo wakajikuta katika nafasi hizo.
Katika mambo yote namheshimu mwl lakini niseme tu yeye ndiye aliyesababisha hii recycling ya viongozi wabovu.

Nikiwa mdogo nilisikia mara kwa mara kiongozi anaharibu hapa, yeye akiwa kipenzi chake anamhamishia kwingine na hiyo cancer haijaisha mpaka leo.

Weakness kubwa ya baba yetu ilikuwa hiyo ku promote watu ambao alikuwa na mapenzi nao bila kujali credential zao. Na hii culture ndiyo imeendelea kuwepo tangu taifa hili lianze. Baba yetu hayati pia alionyesha weakness hizo hizo...

Watanzania ifike mahali tukubali ku learn through mistakes na kurekebisha. Tuache mahaba tuwe na open minds. Kukiwa na bias basi ziwe kidogo sana na ziambatane na qualifications zisiwe empty tu, kuendekeza viongozi wasio qualify au ambao wametengenezewa CVs kwa majina ya ukoo na historia za wazazi wao.
 
Uwezo wa kukabiliana na maswali nayo ni taaluma, si kila kiongozi anaweza...

Jambo la muhimu ni kuchukua ujumbe uliobebwa katika majibu...
Jamani katika ile clip hakuna kosa lolote alilofanya Rais Samia. Muuliza swali alikuwa anamtega Rais Samia- na Rais hakurudi nyuma akasimama imara. Kikeke kama kweli ni mwandishi wa habari aliyebobea anajua vizuri msimamo wa Rais. Swali lilikuwa la mtego na likajibiwa kibabe. Marais wote wa Tanzania tangu baba wa Taifa walikuwa wanakuwa wakali pale wanapoulizwa maswali wasiyoyapenda. Rais pekee aliyekuwa anaweza kudhibiti hasira zake alikuwa ni Mzee Ally Hassan Mwinyi . Mwacheni mama achape kazi. Akiwa mpole mtamsema akiwa mkali hamtaacha kumsema.
 
Wengine ni hulka tu.... sema swali ni alifikaje hapo; au utaratibu wa kupima watu hatuna?
Uliasisiwa na baba yetu wa taifa...Mtu class seven leaver alikabidhiwa madaraka makubwa kwakua tu alikuwa kipenzi na muumini wa siasa...Hayo mambo yakaendelea hata leo na ndiyo outcome zake ni kama hizi. Hata kwenye era ambayo wasomi wapo wengi lakini hawapo kwenye mifumo so kila wakichagua kwakua hawapo kwenye hizo lines hawaonekani.
 
Kiukweli uwezo wa mama ni mdogo.
Upeo, uelewa na kujiamini kwake kuko chini sana. Hajui kujibu wala hajui namna rahisi ya kukwepa maswali magufuli.
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Kwa mfano kwa kauli yake kwamba polisi wakisemwa. Ile rafudhi na maneno aliyoyatumia ni ya kike zaidi ya amiri jeshi mkuu.
 
Nafikiri alimwajiri Zuhura Yunus ili amsaidie kwenye anga za kimataifa ila ile element ya Mwendazake huwa inamjia so tumpe muda
 
Kwa mfano kwa kauli yake kwamba polisi wakisemwa. Ile rafudhi na maneno aliyoyatumia ni ya kike zaidi ya amiri jeshi mkuu.
Kuwa kike ni uhalisia wake hakuna tabu. Tatizo ni je katika ukike huo angefanyaje kupunguza hizo natural traits za kike? Hiyo ni skill ambayo alihitaji iwe imparted kwake...
 
Labda ndio changamoto ya kuwa mwanamke. Amekuwa emotional na kukasirika katika situation ambayo angekuwa mwanasiasa kidogo na kukwepa swali
Mzee msoga akijua huu ni mtego alikuwa anasema Hivi ndiyo nasikia kwako,nitajifunza.
 
Usiwe mnafiki, angechomoa sawa lakini in the assertive way siyo hivyo akionyesha aggressiveness ya hali ya juu...Hiyo ime provoke watu wengi sana na kumwona kama vile yeye ndiye king'ang'anizi kumbe masikini hata pengine hana hiyo nia. Tusimpotoshe Rais, yeye ni symbol ya nchi yetu. Haiba yake ni muhimu sana katika kila neno au tendo analolifanya public.

Alihiitaji aonekane kwamba ni calm, anaelewa hitaji la watu lakini angeonyesha challenges ambazo zinazuia yeye kuhamaki kutoa ahadi hewa.
Yaani wewe unadhani kuwa Rais ni kusujudia Mwandishi? Kwani Salim Kikeke alikuwa na ushahidi wowote kuwa sisi wananchi tunadai Katiba?

Acheni dharau watanzania!! Huyu mama ni muungwana sana, anaituliza nchi. Mbona yule Mwendazake alikuwako hapa kwa miaka 5 Kikeke naye alikuwako BBC lakini hakuwahi kumuuliza maswali ya hivyo.

Rais Samia anaheshimu utawala wa sheria, uhuru wa vyombo vya habari na maoni ya mtu mmoja mmoja. Yule Mwendazake alibana yote haya. Huyu mama kaachia ndiyo mnataka mumdhalilishe kwa vitu kawaachia yeye mwenyewe?

Yeye ndiyo Rais, kama unataka majibu soft nenda kwa mkeo au mumeo!!
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Pole yake amebehave kiutopolo sana kwenye hayo majibu hafiti hio nafasi hata robo, daah inasikitisha statehouse inakosa hadhi
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Huyu ni mama hata mamayangu yupo hivyo watch your approach toward her,hatutaki uchaguzi 2025 mpaka amalize mambo ya katiba mpya,uchaguzi mpaka katiba mpya mkiita ucgaguzi bila katiba hatupigi kura mpeleke na juisi za wasimazi hatuji,tumchague nani bila katiba?
Magufuli mwingine?
 
Back
Top Bottom