Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Uwezo wa kukabiliana na maswali nayo ni taaluma, si kila kiongozi anaweza...

Jambo la muhimu ni kuchukua ujumbe uliobebwa katika majibu...
Point. Wengi ya viongozi wa kiafrica wanajiaminisha kuwa wao ni 'untouchable'. Kitendo cha kumuuliza swali anahisi kama unamdhalilisha.
Rejea majibu ya mama, alisahau kabisa kuwa Kikeke pia ni Mtanzania hivyo ana haki ya kuuliza. Kwa wataalam wa body language, wataona straight kuwa mama ana kibri kikubwa sana.
 
Sio yeye kufundishwa...

Mwanamke ni mwanmke tu bila kujali wadhfa wake.. lawama zangu mimi ni kwa tiss badala ya kushauri vitu vya msingi wao wanaishi kwa raisi kama chawa kutafuta teuzi..

Unamuachaje raisi anaongea ongea anahojiwa hojiwa bila taratibu... Raisi akitoa kauli yoyote yeh ni public icon inasikilizwa kila sehemu hata akiongea kiutani...

Kabla ya kufanya chochote lazima apate ABC na aelekezwe impact katika jamii kutokana na iyo kitu...

Sasa mara kaenda ongea na mange kimambi leo kanya mnahangaika, kaenda kwa lisu na akina mbowe leo ndio wanatishia amani ya nchi.

Mbona mandate mnayo... Demokrasia sio kulea uovu.

Battle ni muhimu saana wakati w kitafuta amani
Wengi wanashindwa kuelewa kuwa hata tabasamu la raisi tu linabeba ujumbe. Achilia mbali kauli zake. Leo hii raisi amekuwa kama mama mwenye nyumba anaedai kodi yake. Ana majibu ya mkato hata pale panapotakiwa maelezo ya kina.

Magufuli japo alikuwa na mapungufu yake, aliweza kutawala nyoyo za wengi pale alipokuwa kwenye halaiki na kutetea wanyonge. Hata kama ilikuwa ni kiini macho, aliondoka na nyoyo za watu. Lakini huyu mama anadiriki hata kumnyamazisha mwananchi wake maskini ambae ameshakata tamaa na kuona nafasi pekee ni kumvaa raisi halaiki kutoa duku duku lake. Lakini anaambulia kushushuliwa.
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Mama anahitaji darasa kidogo ili kwenda vizuri anapokuwa anahojiwa.
 
ulishawah fatilia mahojiano Ya BWM ? Tone yake ?
There is a very huge difference between Assertion (being Assertive) and being plainly arrogant. Mkapa alikuwa assertive, ana hard tone but extremely elaborative. Alijibu maswali, japo kwa ukali maana ndio hulka yake, lakini alijibu. Mama ni arrogant, tone yake ina beba ujumbe mmoja tu; kuwa nishasema utanifanyaje sasa.
 
Ww ujawai kua ata kiongozi wa ukoo leo uje umshauri Raisi taasisi yenye watu waliosoma wenye uwelewa wa mambo ya nchi na dunia
Raisi ni tasisi inachoongea na kujibu inakijua
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Mbona yule jamaa sijui alikuwa na hisia gani aliposema acha mavi yako nyumbani.
Mlimkumbusha au?
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Wewe ndio unahangaika na Urais wake,sasa asionyeshe hisia kwani amekuwa Jiwe au gogo kavu?
 
Back
Top Bottom