Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

Yaani wewe unadhani kuwa Rais ni kusujudia Mwandishi? Kwani Salim Kikeke alikuwa na ushahidi wowote kuwa sisi wananchi tunadai Katiba?

Acheni dharau watanzania!! Huyu mama ni muungwana sana, anaituliza nchi. Mbona yule Mwendazake alikuwako hapa kwa miaka 5 Kikeke naye alikuwako BBC lakini hakuwahi kumuuliza maswali ya hivyo.

Rais Samia anaheshimu utawala wa sheria, uhuru wa vyombo vya habari na maoni ya mtu mmoja mmoja. Yule Mwendazake alibana yote haya. Huyu mama kaachia ndiyo mnataka mumdhalilishe kwa vitu kawaachia yeye mwenyewe?

Yeye ndiyo Rais, kama unataka majibu soft nenda kwa mkeo au mumeo!!
Wewe usiyependa kumshauri vyema ndiyo unataka adhalilike. Unadhani dunia nzima hawana akili kujua kipi ni sawa na kipi si sawa? Msimpotoshe Rais kwakupenda kwenu kupewa vyeo na faid binafsi. Acheni hizo tabia za hovyo. Kila mwenye sense na mature anajua kipi ni sahihi na kipi siyo hata kama hawatakwambia.
 
Wanawake wa Zenji ndivyo walivyo,hawana wakati wa kulegeza sauti ,ni nipe nikupe ,hivi mbona Trump alikuwa zaidi ya Samia,yaani Trump anakumaliza hapo hapo na anakwambia kaaa sikujbu tena.
Samia yupo sawa,hawa vitarishi vinavyopachikwa masuali haina haja ya kuwaonea haya ni kuwapa makavu na ndivyo ilivyokuwa.
 
Chadema mmeishiwa nguvu. Suala la katiba mwachieni rais mwenyewe ataliamua.


CHADEMA ni KIRUSI

Haya tunayopitia, ni heri tu ccm iendelee kutuongoza. Chadema mtatugawa, chama chenyewe cha kaskazini mhhhh!!!!! Hapana aise ni bora CUF au ACT lakini co chadema, tlp wala nccr mageuzi.
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Kujua kuzungumza ni kipaji, makuzi na elimu. Mtu kama huyu kwa jinsi anavyojibu hatokuja kuelewa kuzungumza ktk nafasi hiyo. Alishakuwa waziri, alishakuwa makamu wa rais, leo hii bado yuko kiwango kama hicho! Naamini yeye ukimuuliza yaweza kuwa alipania kwamba hiyo ndo mbinu ya kuonesha yeye ni 'ngangari', kumbe hoi! Elimu ya hapa na pale ni tatizo na huo ndo ukweli.
 
Mama kajibu vyema sana, katiba inaweza kuwa inahitaji sawa lakini sio kipaumbele cha wananchi wa Tanzania hivyo mtangazaji anaposema wananchi wanataka katiba mpya hiyo sio kweli.
 
Wanawake wa Zenji ndivyo walivyo,hawana wakati wa kulegeza sauti ,ni nipe nikupe ,hivi mbona Trump alikuwa zaidi ya Samia,yaani Trump anakumaliza hapo hapo na anakwambia kaaa sikujbu tena.
Samia yupo sawa,hawa vitarishi vinavyopachikwa masuali haina haja ya kuwaonea haya ni kuwapa makavu na ndivyo ilivyokuwa.
Tatizo lake ni iq ndogo, hili mnajaribu kulificha kwa mapambio ya uongo
 
Wanawake wa Zenji ndivyo walivyo,hawana wakati wa kulegeza sauti ,ni nipe nikupe ,hivi mbona Trump alikuwa zaidi ya Samia,yaani Trump anakumaliza hapo hapo na anakwambia kaaa sikujbu tena.
Samia yupo sawa,hawa vitarishi vinavyopachikwa masuali haina haja ya kuwaonea haya ni kuwapa makavu na ndivyo ilivyokuwa.
Tatizo kaonesha ubishi wa mcheza bao na karata. Mkumbushe anaulizwa kama rais.
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Halali kisa 2025 ila ukweli ni Kwamba hapati bora akatumie mda uliobaki kuleta katiba mpya WENDA Taifa likamkumbuka Sana KWa hili,
Ni bahati mbaya watu hawependi ukweli hupenda maneno matam matam tu ,Sasa nimesema ukweli
 
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.

Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.

Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.

Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.

Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.

Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.

Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.

Umesahau kama ni mama wa mipasho. Unaweza kumdhibiti mama mipasho.
 
Bora yeye kajibu hivyo, jiwe alisema kwenye kampeni hakuna mahali aliahidi mambo ya katiba mpya hivyo hataki kuulizwa hayo maswala na hakuna aliyeendelea kumhoji wala kuanzisha vuguvugu la katiba mpya.
Usitukumbushe habari za jiwe, wala hisia zake maana ni balaa!
 
Back
Top Bottom