HazinihusumieKwa hiyo wewe unajiona huhusiki na hizo tozo sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HazinihusumieKwa hiyo wewe unajiona huhusiki na hizo tozo sio?
Nani amekuambia mimi zinanihusu?Hazinihusumie
.Mr Haki, Mr Maendeleo ni Lissu tu.
Una akili timamu kweli??Duuh yaani kagorofs kake tu kamoja ndio una reference kama sifa ya kukosa urais?
Mkuu acha mawazo ya kimaskini.
Hiki chama,kwa sanduku la kura,itakuwa ngumu,may be Mungu aingilie kati,heavenly intervention,au nchi ipinduliwe na jeshi,one courage ous enough presidential guard soldiers,wamtie nguvuni Rais kama ioivyotokea Huko Afrika magharibi,au watu waingie msituni,Habari wana Jf, kwa mara ya kwanza nimejikuta nasikitishwa sana na umasikini na ugumu wa maisha unaoendelea kuongezeka huku kukiwa hakuna suluhisho la kueleweka Kutoka CCM. Nimewaza sana na kujikuta naona Tundu Lissu ndiye anaonekana mtu pekee kwa sasa mwenye ushawishi na uwezo wa kuongoza nchi, hasa kuiondoa CCM madarakani kupitia chama chochote hata kipya, aandaliwe na kuweza kuja kuiondoa CCM.
CCM imeongoza nchi kwa zaidi ya miaka 40 lakini imeshindwa hata kuwatua kina mama ndoo za maji mijini kote. Pia imeshindwa kwa kiwango kikubwa katika kupiga vita ufisadi, kuendeleza na kujenga viwanda, kuondoa shida ya ajira, kuboresha huduma za afya na nk.
2025 CCM inaweza ondoka, aandaliwe vizuri tu.
Hahahaaa kazi kweli kweliUna akili timamu kweli??
HaswaaaPresident Lissu
HahahaaaHiki chama,kwa sanduku la kura,itakuwa ngumu,may be Mungu aingilie kati,heavenly intervention,au nchi ipinduliwe na jeshi,one courage ous enough presidential guard soldiers,wamtie nguvuni Rais kama ioivyotokea Huko Afrika magharibi,au watu waingie msituni,
The Truth Teller, development promoter, human rights defender.Kweli kabisa aisee kwasasa hakuna mpinzani wa kweli kama Tundu Lissu
.Kweli kabisa aisee kwasasa hakuna mpinzani wa kweli kama Tundu Lissu
Hapana mkuu binafsi naona angepumzika tu asijishughulishe na mambo ya kugombea tena!Dhihaka hizi ndugu yangu.
Sawa bwana nyie wenye kiburi cha uzima endeleeniHapana mkuu binafsi naona angepumzika tu asijishughulishe na mambo ya kugombea tena!
SahihiUma ukiamua kila kitu kinawezekana@Godbless Lema@mariaspace.Tanzania waoga wengi,hofu imetanda na watu hawana furaha.
Kukiwa na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi basi mabadiliko ni simple sana tanzania.Watu wanaandamana mioyoni na mikutano ya hadhara inafanyika mioyoni.
Lets wait and see........
Mpambavu wa kwanza ni aloyekuzaa zuzu kama NdgaiWewe mpumbavu hujui maana ya kumwaga damu! Nyamaza tu!
Alitetea watu wa Chato.Magufuli aliwahi kutete haki gani tangu anakuwa mbunge hadi waziri na baadae urais? Zaidi ya kulinda maslah yake ma chama chake tu?
anarudi sasaAiondoe CCM akiwa ubelgiji?