Kuna haja ya Tundu Lissu kuandaliwa kuiondoa CCM 2025 madarakani?

Wewe ndio mwana ccm mwenye akili
 
Mkimweka Lissu basi Mama Samia atashinda kwa 100% tofauti na hii 90% inayotarajiwa. Nashauri muazime mgombea kutoka CCM ili angalau awavushe kwenye uchaguzi. Ongeeni na Ndugai au Mnyeti.
Acha uongo kamuulize Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Wilson Mahera na IGP wa 2020 wakwambie ukweli moto wa Lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…