BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Madereva wa magari yanayofanya safari Kati ya Mtwara na Masasi na Mtwara Lindi wamegoma kufanya kazi kutokea stendi kuu ya mkoani Mtwara kwa madai ya kutoridhika na nauli ya sasa na kutaka ongezeko la nauli.
Kwa sasa nauli ya Mtwara Masasi ni 7,500 na wanataka ifike 10,000.
Na Mtwara Lindi nauli ni 4,000 kwa Sasa wanataka waongeze hadi kufikia 10,000.
Chanzo ni NIPASHE
Kwa sasa nauli ya Mtwara Masasi ni 7,500 na wanataka ifike 10,000.
Na Mtwara Lindi nauli ni 4,000 kwa Sasa wanataka waongeze hadi kufikia 10,000.
Chanzo ni NIPASHE