Pre GE2025 Kuna hofu gani ndani ya CCM? Hizi kauli zinaashiria mpasuko au mmeguko?

Pre GE2025 Kuna hofu gani ndani ya CCM? Hizi kauli zinaashiria mpasuko au mmeguko?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari za muda huu ndugu yangu

Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.

Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM

Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.

Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.

Kuna maswali yanaibuka hapa
  1. Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
  2. Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
  3. Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
  4. Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
Hili linadhihirisha kwamba viongozi wa CCM hawako kwA ajili ya kutatua matatizo ya wananchi bali akili na mawazo yao yote ni katika kubaki madarakani ili kuendeleza na kuulinda ufisadi wao.

Kuna tuhuma nyingi za ufisadi wa kutisha, mawaziri na viongozi wanamiliki mali za mabilioni bila maelezo ya jinsi walivyozipata. Wanafanya manunuzi na Matanuzi ya kutisha nk. Tunahitaji Nyerere mpya wa kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa majambazi yanayojiita wazalendo wa ccm
 
Habari za muda huu ndugu yangu

Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.

Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM

Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.

Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.

Kuna maswali yanaibuka hapa
  1. Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
  2. Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
  3. Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
  4. Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
We fala kweli. Nani kakwambia Samia hakubaliki kwa wapiga kura. Nenda huko kwa wakulima umzungumzie Samia vibaya uone kama hupigwi mawi. Jpm aliua kilimo kabisa hasa Niko yenye kulima korosho na mbaazi akabaki anatumia jeshi kuwatisha tu. Njoo kwa wafanyabiashara sisi uone jinsi ambavyo ukimsema vibaya Samia tunavyokukata shingo. Biashara jpm aliua kabisa mfano big hotels kama Ngurdoto nk.
 
We fala kweli. Nani kakwambia Samia hakubaliki kwa wapiga kura. Nenda huko kwa wakulima umzungumzie Samia vibaya uone kama hupigwi mawi. Jpm aliua kilimo kabisa hasa Niko yenye kulima korosho na mbaazi akabaki anatumia jeshi kuwatisha tu. Njoo kwa wafanyabiashara sisi uone jinsi ambavyo ukimsema vibaya Samia tunavyokukata shingo. Biashara jpm aliua kabisa mfano big hotels kama Ngurdoto nk.
Nenda kwa wakulima wa korosho uone namna rais wa mioyo ya wakulima alivyopambana kushusha bei ya korosho kwa ushindi mkubwa.


Usitake kuleta mbambamba. Ninalima najua namna ambavyo wakulima wanavyoilaani serikali kwa upuuzi mwingi inayowafanyia.

Mpaka leo serikali inadhibiti kilimo ili kupanga bei na soko la mazao. Uhuru hauna maana hapo
 
Nenda kwa wakulima wa korosho uone namna rais wa mioyo ya wakulima alivyopambana kushusha bei ya korosho kwa ushindi mkubwa.


Usitake kuleta mbambamba. Ninalima najua namna ambavyo wakulima wanavyoilaani serikali kwa upuuzi mwingi inayowafanyia.

Mpaka leo serikali inadhibiti kilimo ili kupanga bei na soko la mazao. Uhuru hauna maana hapo
Mi Niko huku Mtwara nalima korosho najua nachosema. Jpm kila mtu anamlaani hapa. Alishusha bei korosho ikamwagwa baharini kwa kukosa wanaunuzi. Jeshi wakabaki wanawapiga ovyo ovyo wakulima waliokataa kuitoa
 
Mi Niko huku Mtwara nalima korosho najua nachosema. Jpm kila mtu anamlaani hapa. Alishusha bei korosho ikamwagwa baharini kwa kukosa wanaunuzi. Jeshi wakabaki wanawapiga ovyo ovyo wakulima waliokataa kuitoa
JPM alikuwa CHADEMA kwani?
Msimfananishe chaudele na jiwe. Hajafika hata nusu yake kiutendaji.

Tumerudi nyuma miaka 50 kupitia Hangaya. Pia elewa kuwa CCM ndo taabu, hata aje malaika hatoweza kuiweka sawa.

Tunaipiga chini
 
JPM alikuwa CHADEMA kwani?
Msimfananishe chaudele na jiwe. Hajafika hata nusu yake kiutendaji.

Tumerudi nyuma miaka 50 kupitia Hangaya. Pia elewa kuwa CCM ndo taabu, hata aje malaika hatoweza kuiweka sawa.

Tunaipiga chini

JPM alikuwa CHADEMA kwani?
Msimfananishe chaudele na jiwe. Hajafika hata nusu yake kiutendaji.

Tumerudi nyuma miaka 50 kupitia Hangaya. Pia elewa kuwa CCM ndo taabu, hata aje malaika hatoweza kuiweka sawa.

Tunaipiga chini
Jpm hakustahili kabisa kuwa rais kila sehemu ilikuwa vilio. Wafanyabiashara, wakulima, ajira,. Sana sana waliofurahio uongozi wa jpm ni wale wavivu wanaoamini umaskini wao umesababishwa na utajiri wa mtu anayejishughulisha. Na Tanzania maskini ni wengi mana hawafanywi kazi wanategemea miujiza ya mwamposa ndo mana TB Joshua alikuwa anawafi.ra
 
Kama haya ya CCM ni kweli, na yale ya wana CHADEMA (Team Maridhiano vs Team Sanuka) ni ya kweli, kuhusu migawanyiko na mipasuko ndani ya korido zao za siasa, basi upo umuhimu wa UMOJA party isajiliwe, ianze shughuli ili ije kuokoa "Jahazi".

Umoja Party ichukue fursa hii pronto.

Bye bye CHADEMA bye bye CCM.

CCM hawajiamini ni waoga sana. Wataendelea kuwawekea vikwazo wasisajiliwe.
 
Habari za muda huu ndugu yangu

Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.

Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM

Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.

Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.

Kuna maswali yanaibuka hapa
  1. Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
  2. Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
  3. Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
  4. Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
Namba 2 ni dhahiri !
Lakini mimi naamini vyovyote iwavyo hivi ndivyo itakavyokuwa “ Nguvu ya Mamba iko kwenye maji “
Japo wanaweza kum underrate lakini incumbent ana watu wake waliomzunguka ! Hawatakubali fursa hizo ziote mbawa !

Ngoja tuone !
 
Habari za muda huu ndugu yangu

Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.

Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM

Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.

Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.

Kuna maswali yanaibuka hapa
  1. Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
  2. Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
  3. Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
  4. Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
mimi nilidhani kuna mwanya ambao hauzibiki🐒

kumbe ni mpasuko au nyufa, kitu ambacho ni cha kawaida na kinarekebishika na kuzibika...

Na actually hiyo ni afya ya siasa ndani ya vyama ikimaanisha kuna intelligent and more capable individuals within the party to take over the game.
Na so, hakuna kulala wala kuzubaa ni kazi, kazi, kazi na bidii na ubunifu kwendra mbele .....

Suala la kuimega CCM hiyo ni ndoto ya kimweri...
Atakae toka CCM mathalani sasa ivi, atatoka yeye binafsi, pekeyake na mwenyewe tu na haitakua na madhara bali afya na umakini zaid ndani ya chama chenyewe 🐒
 
Habari za muda huu ndugu yangu

Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.

Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM

Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.

Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.

Kuna maswali yanaibuka hapa
  1. Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
  2. Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
  3. Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
  4. Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
Asante kwa bandiko zuri sana. Binafsi nayaona mambo mawili:
1. Chongolo alitaka awepo mshindani wa Samia. Nchimbi anasafisha hali ya hewa iliyochafuliwa na Chongolo.
2. Kimsingi hakuna kitu kinaitwa awamu ya Sita hivyo Samia ni mtawala wa kukamilisha awamu ya Tano kwa mujibu wa katiba!! Wanakwenda kutumia hii kimgeuka, na tena atakayeongoza hilo ni Nchimbi!
3. Mgombea halisi wa awamu ya Sita ameshaandaliwa na kundi lile la Pwani ya Bagamoyo. Nipo pale
 
Asante kwa bandiko zuri sana. Binafsi nayaona mambo mawili:
1. Chongolo alitaka awepo mshindani wa Samia. Nchimbi anasafisha hali ya hewa iliyochafuliwa na Chongolo.
2. Kimsingi hakuna kitu kinaitwa awamu ya Sita hivyo Samia ni mtawala wa kukamilisha awamu ya Tano kwa mujibu wa katiba!! Wanakwenda kutumia hii kimgeuka, na tena atakayeongoza hilo ni Nchimbi!
3. Mgombea halisi wa awamu ya Sita ameshaandaliwa na kundi lile la Pwani ya Bagamoyo. Nipo pale
Maneno mazito sana !!
Jamaa wa pwani amekataa kustaafu !??
Ngoja Tusubiri tuone !!
Hii ngoma ni nzito sana !
Nakumbuka ukinizingua Tutazinguana !

Nguvu ya Mamba kumayi !
Mwenyekiti ni mtu mkubwa sana Chamani na pia ana jopo lake !
It remains to be seen !
Bado naamini nguvu ya Mamba kumayi 😅😅🙏🙏
 
Habari za muda huu ndugu yangu

Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.

Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM

Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.

Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.

Kuna maswali yanaibuka hapa
  1. Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
  2. Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
  3. Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
  4. Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
Hauwezi kuwapa Chadema nafuu yeyote maana ccm Wana uzoefu wa michakato huu ya maoni tofauti.

Ukiona chama kimejaa watu wa ndio Mzee ujue hapo kumejaa mbumbumbu
 
Hakuna mpasuko wowote CCM, kauli ya KM ni kukumbushia tuu utaratibu wa kawaida wa CCM, incumbent huwa hapingwi anapitishwa kwa mserereko!.

Sii kweli kuwa Rais Samia hakubaliki, kwa the political dynamics ya siasa zetu, sheria batili za uchaguzi wetu, time yetu ya uchaguzi, uwanja tenge wa the political landscape of Tanzania, mgombea yeyote wa urais wa CCM, ndiye rais wa Tanzania!.

Hata hivyo ikitokea Rais Samia asisimame 2025, sababu itakuwa ni sauti HII !.
P
Mkuu

SSH hakubaliki Tanzania bara labda wafanyabiashara na viongozi wanufaika wa utawala uliopo unaojilipa mali za umma kwa fujo bila hofu ya kuwajibishwa.

Mpasuko upo tena ni mkubwa kutokana na kauli za viongozi wanaokwea madarka kwa sasa kumsimanga mfu kwamba alikuwa anapenda sifa kwa kazi anazozifanya kuliko huyo eti anaenda kimya kimya!!!! Serious?

Rais ya Jamhuri hakauki Zanzibar anafanya ziara lukuki wakati JPM hakuwahi kufanya ziara za kiwango hicho huko wakatu kuna rais wake.

Zanzibar inanawirishwa kwa nguvu za Tanganyika


Kadri siku zinavyokaribia za uchaguzi utashuhudia mpasuko tena usio wa kawaida. Kiujumla CCM hawatakiwi tena kuongoza serikali hata CDM haiaminiki tena sijui utatokea muujiza gani kupindua meza!!!!
 
CCM inatumiwa na dola kutawala nchi. Nilidhani CCM inaitumia dola
Mkuu Msanii, kumbe wewe hujui the political dynamics za siasa zetu kwa kufikiri CCM ni chama tuu cha siasa, kinatumiwa na dola kutawala nchi. Hivyo ulidhani CCM inaitumia dola!, ukweli ni kuwa CCM sio chama tuu cha siasa, CCM ni chama dola, CCM ni dola!, na huu uchama dola usipobadilishwa na katiba mpya, CCM kuendelea kuitawala Tanzania milele!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!

P.
 
We fala kweli. Nani kakwambia Samia hakubaliki kwa wapiga kura. Nenda huko kwa wakulima umzungumzie Samia vibaya uone kama hupigwi mawi. Jpm aliua kilimo kabisa hasa Niko yenye kulima korosho na mbaazi akabaki anatumia jeshi kuwatisha tu. Njoo kwa wafanyabiashara sisi uone jinsi ambavyo ukimsema vibaya Samia tunavyokukata shingo. Biashara jpm aliua kabisa mfano big hotels kama Ngurdoto nk.
Usijidanganye, wananchi wanamwona huyo mama ni mkosi kwa inchi, anapelekeshwa na mafisadi, na Hana kauli hata ya kukemea yupo yupo tuu. ila uzuri wake Mungu amemkataa, hata wafanye nini huyo siyo Raisi tena.
 
Usijidanganye, wananchi wanamwona huyo mama ni mkosi kwa inchi, anapelekeshwa na mafisadi, na Hana kauli hata ya kukemea yupo yupo tuu. ila uzuri wake Mungu amemkataa, hata wafanye nini huyo siyo Raisi tena.
Rais siyo mahakama. Mahakama ndo inakemea. Mama anaongoza kwa utawala Bora wa sheria kinyume chake ni udictator. Shida mlizoea dictator maguli ambaye yeye mwenyewe alikuwa mahakama, bunge na serikali kiasi ambacho majaji walikuwa wanapigiwa Simu kwamba nani afungwe nani atolewe. Mama hayuko hivyo anamuamini mungu sana
 
Habari za muda huu ndugu yangu

Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.

Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu k ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
Kipara anahama "pasenja seet" aruke hend brek, automatik gia na kukaa siti ya "dere"..anaona mda ni mchache...anashinikizwa na "konda" wao anaeelekeza vituo vya kupanda na kushuka, si mnajua alikuaga "dere" hapo kabla? anaona anachelewa kukusanya maokoto yake aliyoyaacha kipindi ameacha "udere" na kurudisha gari kwa wenye gari lao kibabe akijua alikua anamkomoa "utingo" wake wa zamani kumbe alijikatia mirija...
 
Back
Top Bottom