Pre GE2025 Kuna hofu gani ndani ya CCM? Hizi kauli zinaashiria mpasuko au mmeguko?

Pre GE2025 Kuna hofu gani ndani ya CCM? Hizi kauli zinaashiria mpasuko au mmeguko?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
We fala kweli. Nani kakwambia Samia hakubaliki kwa wapiga kura. Nenda huko kwa wakulima umzungumzie Samia vibaya uone kama hupigwi mawi. Jpm aliua kilimo kabisa hasa Niko yenye kulima korosho na mbaazi akabaki anatumia jeshi kuwatisha tu. Njoo kwa wafanyabiashara sisi uone jinsi ambavyo ukimsema vibaya Samia tunavyokukata shingo. Biashara jpm aliua kabisa mfano big hotels kama Ngurdoto nk.
Nani mmiliki wa ngurdoto hivi sasa. Iliwahi elezwa humu jukwaani kwamba wanafamilia walikuwa wameshikana mashati nani asimamie hoteli hizo. Je, walisuluhishwa. Sijasoma mrejesho kuhusu mvutano wao humu jamvini
 
Mkuu Msanii, kumbe wewe hujui the political dynamics za siasa zetu kwa kufikiri CCM ni chama tuu cha siasa, kinatumiwa na dola kutawala nchi. Hivyo ulidhani CCM inaitumia dola!, ukweli ni kuwa CCM sio chama tuu cha siasa, CCM ni chama dola, CCM ni dola!, na huu uchama dola usipobadilishwa na katiba mpya, CCM kuendelea kuitawala Tanzania milele!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!

P.
Mkuu P

Huu uchama dola ndio hatuutaki tena
 
Habari za muda huu ndugu yangu

Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.

Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM

Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.

Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.

Kuna maswali yanaibuka hapa
  1. Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
  2. Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
  3. Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
  4. Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
Adui muombee njaa kabisa maana ccm ni adui wa maendeleo ya wananchi.

Miaka 60 madarakani lkn wananchi ndiyo wanazidi kudhoofika kwa umasikini wakati huo viongozi wa ccm wanazidi kuneemeka.
 
Hakuna mpasuko wowote CCM, kauli ya KM ni kukumbushia tuu utaratibu wa kawaida wa CCM, incumbent huwa hapingwi anapitishwa kwa mserereko!.

Sii kweli kuwa Rais Samia hakubaliki, kwa the political dynamics ya siasa zetu, sheria batili za uchaguzi wetu, time yetu ya uchaguzi, uwanja tenge wa the political landscape of Tanzania, mgombea yeyote wa urais wa CCM, ndiye rais wa Tanzania!.

Hata hivyo ikitokea Rais Samia asisimame 2025, sababu itakuwa ni sauti HII !.
P
Wewe una nafsi gani ndani ya ccm hadi ujifanye kujua hali yao?

Kama ulishindwa kupata nafasi ndani ya ccm kiuongozi wakati mjomba wako Jiwe yupo madarani basi nawa mikono.
 
Habari za muda huu ndugu yangu

Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.

Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM

Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.

Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.

Kuna maswali yanaibuka hapa
  1. Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
  2. Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
  3. Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
  4. Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
Mbona kama unaweweseka. Kusema kuwa utamaduni ndani ya CCM ni kiongozi kuhudumu vipindi viwili nani anaupinga?
Tutajie ili tumjue.
Mpasuko uko kichwani mwako.
 
Hakuna mpasuko wowote CCM, kauli ya KM ni kukumbushia tuu utaratibu wa kawaida wa CCM, incumbent huwa hapingwi anapitishwa kwa mserereko!.

Sii kweli kuwa Rais Samia hakubaliki, kwa the political dynamics ya siasa zetu, sheria batili za uchaguzi wetu, time yetu ya uchaguzi, uwanja tenge wa the political landscape of Tanzania, mgombea yeyote wa urais wa CCM, ndiye rais wa Tanzania!.

Hata hivyo ikitokea Rais Samia asisimame 2025, sababu itakuwa ni sauti HII !.
P
Pascal, kwanini unapenda sana generalization? Samia kaingia marakani kwa utaratibu ambao ulikuwa haujazoeleka tangu CCM iwepo madarakani, hivyo hana baraka za chama wala wananchi. Kwa hiyo ni kweli kwa maneno hayo ya Nchimbi inaonyesha kuna fukuto la chini kwa chini kuhusu mgombea wa Urais ajae ndani ya chama.

Tukiondoa unafiki, Samia hakubaliki ndani na nje ya chama. Na kama ni uchaguzi huru na haki, kwa joto la siasa lilivyo, CCM itapoteza asubuhi na mapema endapo Samia atasimama kama mgombea. Advantage aliyonayo ni tume ya uchaguzi, vyombo vya dola, rushwa na wizi wa kura.
 
Pascal, kwanini unapenda sana generalization?
Mkuu mbussi , generalisation is for the general issues, and specific issues ndio ninakuwa specific, mtoa mada ametoa general issue ya CCM ina mpasuko, jibu ni general CCM hakuna mpasuko wowote!. Akaja kwenye specific issue ya Samia hakubaliki, nikamjibu anakubalika!.
Samia kaingia marakani kwa utaratibu ambao ulikuwa haujazoeleka tangu CCM iwepo madarakani,
This is true Tanzania haijawahi kutokea tangu tunapata uhuru, siku zote VP ni standby president in case of anything happens to the president, sasa kwa vile nothing happened to all past presidents, watu tukazoea president is president na VP is VP, we no one expected this would happen!.
hivyo hana baraka za chama wala wananchi.
Sii kweli kwasababu alichakuliwa kuwa running mate wa JPM, hizo ni baraka za chama, na kila kura kura iliyomchagua JPM, pia ilimchagua Samia!.
Kwa hiyo ni kweli kwa maneno hayo ya Nchimbi inaonyesha kuna fukuto la chini kwa chini kuhusu mgombea wa Urais ajae ndani ya chama.
Hakuna fukuoka lolote kwasababu utaratibu wa CCM unafahamika.
Tukiondoa unafiki, Samia hakubaliki ndani na nje ya chama. Na kama ni uchaguzi huru na haki, kwa joto la siasa lilivyo, CCM itapoteza asubuhi na mapema endapo Samia atasimama kama mgombea.
Sii kweli
Advantage aliyonayo ni tume ya uchaguzi, vyombo vya dola, rushwa na wizi wa kura.
Japo sikubaliani na wewe, lakini naheshimu mawazo yako.
P
 
We fala kweli. Nani kakwambia Samia hakubaliki kwa wapiga kura. Nenda huko kwa wakulima umzungumzie Samia vibaya uone kama hupigwi mawi. Jpm aliua kilimo kabisa hasa Niko yenye kulima korosho na mbaazi akabaki anatumia jeshi kuwatisha tu. Njoo kwa wafanyabiashara sisi uone jinsi ambavyo ukimsema vibaya Samia tunavyokukata shingo. Biashara jpm aliua kabisa mfano big hotels kama Ngurdoto nk.
Si korosho na mbaazi mnauza Kwa mfumo Bora wa stakabadhi MAZAO ghalani!!? Na bei mnaipata nzuri ya MAZAO yenu....
 
Mkuu mbussi , generalisation is for the general issues, and specific issues ndio ninakuwa specific, mtoa mada ametoa general issue ya CCM ina mpasuko, jibu ni general CCM hakuna mpasuko wowote!. Akaja kwenye specific issue ya Samia hakubaliki, nikamjibu anakubalika!.

This is true Tanzania haijawahi kutokea tangu tunapata uhuru, siku zote VP ni standby president in case of anything happens to the president, sasa kwa vile nothing happened to all past presidents, watu tukazoea president is president na VP is VP, we no one expected this would happen!.

Sii kweli kwasababu alichakuliwa kuwa running mate wa JPM, hizo ni baraka za chama, na kila kura kura iliyomchagua JPM, pia ilimchagua Samia!.

Hakuna fukuoka lolote kwasababu utaratibu wa CCM unafahamika.

Sii kweli

Japo sikubaliani na wewe, lakini naheshimu mawazo yako.
P
Pascal, nikiendelea kucomment sana kwenye maelezo yako itakuwa kama tunabishana wakati kila mtu yuko huru kwa maoni yake na kwa jinsi anavyofanya analysis kwa siasa za hapa kwetu.

Tatizo ni moja, ukufanya analysis ukiwa tayari na upande au mapenzi kwa chama au kiongozi fulani, ni lazima utakuwa bias.

Kuna mtu nilimjibu humu jf, kwamba kuna mitizamo tofauti inayoitafuna CCM kuelekea uchaguzi 2025. Kuna kundi linaloamini kama nilivyosema Samia anapaswa kupitia mchakato wa kawaida wa ushindani ndani ya chama kama wanavyofanya wakombea wengine wanaoomba ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama kwa mara ya kwanza. Kipindi hichi anachokimalizia ilikuwa ni hawamu ya mwisho ya JPM (chawa na wanufaika wa utawala wake wengine hawataki kusikia hicho kitu).

Kundi jingine linaona kama mama nchi imemushinda na uchumi unaendelea kudolora. Huduma duni za jamii, kasi ya kutekeleza miradi ya kimkakati imepungua nk. Bado kuna wahafidhina wa Ubara na Uzanzibar, jinsia nk. Ni swala la muda tu hivi vitu vitakuwa wazi kadri siku zinavyosogea.
 
KKak
Hakuna mpasuko wowote CCM, kauli ya KM ni kukumbushia tuu utaratibu wa kawaida wa CCM, incumbent huwa hapingwi anapitishwa kwa mserereko!.

Sii kweli kuwa Rais Samia hakubaliki, kwa the political dynamics ya siasa zetu, sheria batili za uchaguzi wetu, time yetu ya uchaguzi, uwanja tenge wa the political landscape of Tanzania, mgombea yeyote wa urais wa CCM, ndiye rais wa Tanzania!.

Hata hivyo ikitokea Rais Samia asisimame 2025, sababu itakuwa ni sauti HII !.
P
Hivi wewe ni kaka yangu Paschal au? Ukiondoa machawa Samia hakubaliki ccm wakimweka huyo kama mgombea utaona maajabu.
 
Uchaguzi wa 2025 ccm ikichimama nchale ikichuchumaa nchale ikikimbia nchale hasa endapo watamsimamisha mama Kizimkazi inaamisha Wana ccm watakuwa wamelazimishwa, kwakuwa;

1. Wanajua mama anaitumia bara kuinenepesha Zanzibar.
2. Ameonesha wazi kuwa ni mdini.
3. Ameonekana kuwakabidhi waarabuli rasilimali za bara na si visiwani.
4. Amewaachia matajir kujiamria watakavyo. eg kupanda bei ya nishati hatimae bidhaa zote kupanda.
5. Vijikodi na tozo za ajabu ajabu hence bibi tozo

Kwa hayo machache siyo kweli kwamba ccm wanakubaliana nayo ukiondoa machawa na familia zao.
Mambo mengine ni kwamba mwanamke kugombea hiyo nafasi ya juu ya nchi Kwa jamii yetu inayoongozwa na mfumo dume siyo kitu chenye afya atapata taabu sana hata atakavyokutana na vitasa kutoka Kwa TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU aliyemutwanga vitasa aliyekuwa akijiita jiwe Hadi kuugua sasa Wala urojo wataweza kweli?

Kwa hiyo ccm Wana wakati mgumu sana kwenye uchaguzi ujao Kwan mpasuko ni mkubwa sana fikiria mwenda zake pamoja na ubabe wake lakini fomu ya ugombea kupitia ccm ilichapishwa Moja kama sapraiz Kwa wapinzani wake ndani ya chama sasa bi Kizimkazi ametangaza miaka zaidi ya miwili kabla anaogopa Nini?
 
Uchaguzi wa 2025 ccm ikichimama nchale ikichuchumaa nchale ikikimbia nchale hasa endapo watamsimamisha mama Kizimkazi inaamisha Wana ccm watakuwa wamelazimishwa, kwakuwa;

1. Wanajua mama anaitumia bara kuinenepesha Zanzibar.
2. Ameonesha wazi kuwa ni mdini.
3. Ameonekana kuwakabidhi waarabuli rasilimali za bara na si visiwani.
4. Amewaachia matajir kujiamria watakavyo. eg kupanda bei ya nishati hatimae bidhaa zote kupanda.
5. Vijikodi na tozo za ajabu ajabu hence bibi tozo

Kwa hayo machache siyo kweli kwamba ccm wanakubaliana nayo ukiondoa machawa na familia zao.
Mambo mengine ni kwamba mwanamke kugombea hiyo nafasi ya juu ya nchi Kwa jamii yetu inayoongozwa na mfumo dume siyo kitu chenye afya atapata taabu sana hata atakavyokutana na vitasa kutoka Kwa TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU aliyemutwanga vitasa aliyekuwa akijiita jiwe Hadi kuugua sasa Wala urojo wataweza kweli?

Kwa hiyo ccm Wana wakati mgumu sana kwenye uchaguzi ujao Kwan mpasuko ni mkubwa sana fikiria mwenda zake pamoja na ubabe wake lakini fomu ya ugombea kupitia ccm ilichapishwa Moja kama sapraiz Kwa wapinzani wake ndani ya chama sasa bi Kizimkazi ametangaza miaka zaidi ya miwili kabla anaogopa Nini?
Uchambuzi wako umetulia, umeongea vitu vinavyoonekana wazi.
 
IMG-20240119-WA0034.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu ndugu yangu

Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.

Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM

Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.

Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.

Kuna maswali yanaibuka hapa
  1. Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
  2. Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
  3. Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
  4. Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
It courd be hard time😭
 
Back
Top Bottom