Membe kwa umri wake no way angepewa uraisi,Membe wame muondoa mapema wamejua yule mwana angechukuwa fomu tu na hakuna atakae mzuwia.
Chama cha Kim Jong UN🤣🤣
Utamaduni wa CCM ni Rais kutoka CCM kuhudumu vipindi viwili. Period!Habari za muda huu ndugu yangu
Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.
Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM
Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.
Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.
Kuna maswali yanaibuka hapa
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
- Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
- Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
- Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
- Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
😁😁Habari za muda huu ndugu yangu
Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu.
Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi' ni mwendelezo wa kauli za viongozi wa juu wa chama ambao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Bara kuwa fomu ya mgombea urais itatoka moja tu.... na viongozi wengine wamefuata mkumbu huo huo wa kauli zinazofanana kuelekea mchakato wa kupata mgombea wa urais ndani ya CCM
Mwaka jana niliweka bandiko nikielezea namna ambavyo Muumba ameikataa CCM na sasa ameondoa kauli kwenye ndimi zao, hivyo kila wanachokiongea ni kama wanajidhalilisha. Sote tunafahamu kuwa chama kikichukua madaraka kwa njia halali au haramu kama inavyofanya CCM siku zote, basi wanapaswa kusimamia muktadha mzima wa maendeleo mtambuka ya nchi. Ulinzi, Usalama na Ukuaji Uchumi ni jambo ambalo linapambaniwa kupitia sera mbalimbali za vyama shindani.
Nchimbi amekuja na kauli hiyo ambapo kwa sisi wafia chama tulitarajia kupata kauli inayoponya majeraha yaliyosababishwa na michakato ya chaguzi ndani ya vyama. Lakini bila aibu Katibu Mkuu mpya anatoa kauli ya kwanza nzito kuelekea uchaguzi huku akianza kampeni hata kabla Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuanza kwa mchakato.
Kuna maswali yanaibuka hapa
Mpasuko wowote ndani ya CCM ni dalili njema kwa nchi
- Je, sasa ni rasmi kwamba CCM imeshaanza kumeguka?
- Je mpasuko wa ndani ya chama umekuwa dhahiri?
- Je siasa za makundi na kambi ndani ya CCM zimeanza kuleta athari chanya kwa ukombozi wa nchi?
- Je, Katibu Mkuu mpya anajikomba au kudivert mada ionekanike yupo makini ilihali anajua kabisa kuwa mgombea wao ambaye ni incumbert hakubaliki kwa wapigakura?
Ni utamaduni wa CCM. Wewe kama sio CCM Kaa kushoto.Ndo maana tunasema.
CCM haina nia njema na nchi. Hata ukifeli namna gani, bado utapewa nafasi
Basi kwa taarifa yako, HUWEZI kiubadilisha utamaduni wa CCM kupitia JF. Kama ni jasiri nenda kwenye vikao halali vya CCM ukaongelee huko. Kama Makamu Mwenyekiti kasema, Katibu Mkuu kasema na Wana CCM kindakindaki tunakubaliana nalo; bro we HAMIA Chadema tu. Mgombea Urais wetu CCM ni SAMIA SULUHU HASSAN tu!Mimi ni CCM na sipendi mila na tamaduni potofu.
Kwa hiyo ni utamaduni wetu kuiba kura za chaguzi kuu kiasi kwamba tumehalalisha kuwa sheria?
Si mmeshika bunduki kulinda tamaduni haram.Basi kwa taarifa yako, HUWEZI kiubadilisha utamaduni wa CCM kupitia JF. Kama ni jasiri nenda kwenye vikao halali vya CCM ukaongelee huko. Kama Makamu Mwenyekiti kasema, Katibu Mkuu kasema na Wana CCM kindakindaki tunakubaliana nalo; bro we HAMIA Chadema tu. Mgombea Urais wetu CCM ni SAMIA SULUHU HASSAN tu!
Hata Democrats ya Marekani Wana utamaduni huo ndio maana Joe Biden hakushindanishwa na mtu mwingine ndani ya chama chake. Vyama vyenye busara na hekima vinaamua kwa busara na hekima sio kwa mihemuko.Si mmeshika bunduki kulinda tamaduni haram.
Sijitokezi
Hahahaha hahahaHata Democrats ya Marekani Wana utamaduni huo ndio maana Joe Biden hakushindanishwa na mtu mwingine ndani ya chama chake. Vyama vyenye busara na hekima vinaamua kwa busara na hekima sio kwa mihemuko.
Na bado Trump alidai kaibiwa kura?Ni lazima kuwe na utamaduni wa kukubali kushindwa.UKAWA waliposhinda viti vingi sana vya ubunge na kufanya vizuri sana kwenye Urais kulikuwa na tume ya namna gani?Hahahaha hahaha
Mbona Marekani wana demokrasia ya kuwa na tumehuru ya uchaguzi na hata uhuru wa maoni?
Mmeona kwenye ugombea tu?
Jifunze hata kuandika ili ueleweke unataka kufikisha ujumbe gani..Mwalimu wako alipata tabu sana.Ulikimbia umande?Hawa viongozi waliopita ndio kina nani?Kwa sababu kwa majina uliyoandika hakuna aliyewahi kuongoza kwenye Nchi.Kunawazee wamepigwa benchi kiukweli hawajaridhika maana sa100 anataka mawaziri vijana wakumwimba mama,mama,mama kilasaa Sasa kina kabodi,ndogai,lukovi et al sidhani wameridhika kuwekwa benchi tena namdada toka nchi ileee.
Kavipi chama kibasti tuu hivi vitoto vikina silaa,makondi,bitanko et al hawajielewi kuongoza nchi niuongo
Tui lanazi usipoelewa ujue level Yako yaakili nindogo sana nenda tuition. Babazako tukijadili mambo ya nchi Kwa codes ninyi vichawa vichwamaji tulieni kidogoJifunze hata kuandika ili ueleweke unataka kufikisha ujumbe gani..Mwalimu wako alipata tabu sana.Ulikimbia umande?Hawa viongozi waliopita ndio kina nani?Kwa sababu kwa majina uliyoandika hakuna aliyewahi kuongoza kwenye Nchi.
Kabodi,Ndogai ndio kina nani?
Na tangu Maza aliposema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake ni ufisadi wa kukufuru!Hili linadhihirisha kwamba viongozi wa CCM hawako kwA ajili ya kutatua matatizo ya wananchi bali akili na mawazo yao yote ni katika kubaki madarakani ili kuendeleza na kuulinda ufisadi wao.
Kuna tuhuma nyingi za ufisadi wa kutisha, mawaziri na viongozi wanamiliki mali za mabilioni bila maelezo ya jinsi walivyozipata. Wanafanya manunuzi na Matanuzi ya kutisha nk. Tunahitaji Nyerere mpya wa kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa majambazi yanayojiita wazalendo wa ccm