Kuna hujuma za upangaji wa matokeo ya kupata kinara wa D kombe la shirikisho?

Kuna hujuma za upangaji wa matokeo ya kupata kinara wa D kombe la shirikisho?

Kilimbatzz

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2023
Posts
9,134
Reaction score
14,593
Katika kundi hili gumu miamba ya Afrika Young Africans wanaongoza kundi D,Kwa tofauti ya goli moja huku ikimuacha nyama Monastir aliye nafasi ya pili

Yanga na Monastir wameachana goili moja huku wakilingana point 10 na mechi za kesho zote mbili dhidi ya hizi timu mbili Zina maslahi makubwa kwani ndizo zitakazo nani anakutana na nani
hatua inayofuata

Pamoja na kuwa wote tumeshafuzu,ila ni kwanini hizi mechi zimewekwa muda tofauti!?

Yanga saa kumi jioni wakati Monastir yeye saa tano usiku,why!?

Kuna mwana Simba makini aliniukiza hili swali na miye nawauliza Wana sports forums CAF na Monastir Wana hofia nini mpaka kutenganisha muda hizi timu kucheza!?

Asante sana mkuu Rogers luyangi
 
Nchi ya kongo wakristo ni wengi tofauti na waarabu ambao 98% ni waislam hiv muda huo ndio tayar watakuwa washafuturu na ndio maana hata mevhi ya simba kupigwa saba za usik kwao kul ilikuwa saa 4 usik
 
Vipi hapa tukicheza saa nane mchana...? Sisi huku hatufungi hivyo tuna imani zetu kwa asilimia kadhaa mchanganyiko na wengine wenye imani hiyo hawa fungi pia
Nchi ya kongo wakristo ni wengi tofauti na waarabu ambao 98% ni waislam hiv muda huo ndio tayar watakuwa washafuturu na ndio maana hata mevhi ya simba kupigwa saba za usik kwao kul ilikuwa saa 4 usik
 
Sheria yenyewe ya caf na fifa hairuhusu mzee hiv vitu vinapangwa na wenye mamlaka na sio kikundi cha walevi kukaa na kuamua jambo lao. Ww unadhan kusingekuwa na sheria huu mchezo ungependwa? Maana yake mtu anaweza kujiamulia tu hata kwenda kucheza kwenye kidimbwi.
 
Sheria yenyewe ya caf na fifa hairuhusu mzee hiv vitu vinapangwa na wenye mamlaka na sio kikundi cha walevi kukaa na kuamua jambo lao. Ww unadhan kusingekuwa na sheria huu mchezo ungependwa? Maana yake mtu anaweza kujiamulia tu hata kwenda kucheza kwenye kidimbwi.
Aahaaha
Eti kidimbwi
 
Nchi ya kongo wakristo ni wengi tofauti na waarabu ambao 98% ni waislam hiv muda huo ndio tayar watakuwa washafuturu na ndio maana hata mevhi ya simba kupigwa saba za usik kwao kul ilikuwa saa 4 usik
Bado hilo sio jibu sahihi. Kama swala ni kufunga kwa waislamu wengi waliopo Tunisia basi mechi ya Tp Mazembe vs Yanga ingechezwa usiku kwa kuwapa kipaumbele waislamu waliopo Tunisia. Mechi zote zingechezwa usiku
 
Bado hilo sio jibu sahihi. Kama swala ni kufunga kwa waislamu wengi waliopo Tunisia basi mechi ya Tp Mazembe vs Yanga ingechezwa usiku kwa kuwapa kipaumbele waislamu waliopo Tunisia waliopo Tunisia. Mechi zote zingechezwa usiku
Kuntu
 
Katika kundi hili gumu miamba ya Afrika Young Africans wanaongoza kundi D,Kwa tofauti ya goli moja huku ikimuacha nyama Monastir aliye nafasi ya pili

Yanga na Monastir wameachana goili moja huku wakilingana point 10 na mechi za kesho zote mbili dhidi ya hizi timu mbili Zina maslahi makubwa kwani ndizo zitakazo nani anakutana na nani
hatua inayofuata

Pamoja na kuwa wote tumeshafuzu,ila ni kwanini hizi mechi zimewekwa muda tofauti!?

Yanga saa kumi jioni wakati Monastir yeye saa tano usiku,why!?

Kuna mwana Simba makini aliniukiza hili swali na miye nawauliza Wana sports forums CAF na Monastir Wana hofia nini mpaka kutenganisha muda hizi timu kucheza!?

Asante sana mkuu Rogers luyangi
Yanga wamesema lengo lao ni kombe, kwahiyo kama unaitaka Pepo usiwaze kufa, yeyote aje
 
Bado hilo sio jibu sahihi. Kama swala ni kufunga kwa waislamu wengi waliopo Tunisia basi mechi ya Tp Mazembe vs Yanga ingechezwa usiku kwa kuwapa kipaumbele waislamu waliopo Tunisia waliopo Tunisia. Mechi zote zingechezwa usiku
Hujaeleweka mzee wangepewa kipaumbele waislamu waliopo tunisia? Si ndo washapewa kipaumbele kwa mechi kuchezwa usiku.
Ok nakuuliza swali kwanini mechi kabla ya mfungo makundi yte yalikuwa yanacheza muda moja. Mfano raja vs horoy na simb vs viper ikawa saa 1 lakn jana horoya vs vipers wamecheza saa kumi jion huk raja na simb n saa saba usik je kulikiwa na upangaj wa matokeo?
 
Hujaeleweka mzee wangepewa kipaumbele waislamu waliopo tunisia? Si ndo washapewa kipaumbele kwa mechi kuchezwa usiku.
Ok nakuuliza swali kwanini mechi kabla ya mfungo makundi yte yalikuwa yanacheza muda moja. Mfano raja vs horoy na simb vs viper ikawa saa 1 lakn jana horoya vs vipers wamecheza saa kumi jion huk raja na simb n saa saba usik je kulikiwa na upangaj wa matokeo?
Hizo mechi zilikua za kukamilisha ratiba tofauti na zingine zinatoa muelekeo wa kundi
 
Bado hilo sio jibu sahihi. Kama swala ni kufunga kwa waislamu wengi waliopo Tunisia basi mechi ya Tp Mazembe vs Yanga ingechezwa usiku kwa kuwapa kipaumbele waislamu waliopo Tunisia waliopo Tunisia. Mechi zote zingechezwa usiku
Mkuu usianze kulia lia, wiki mbili zilizopita tulipokuwa tunabishana kuhusu hizi mechi za mwisho nilikuhakikishia wewe na wenzako kina ukikaidi utapigwa2 na kuwa Yanga hataongoza hili group mkaniona mjinga.

Kuna mengi niliyoyaona na kuyaamini mpaka kusema vile kwa hiyo kaeni kwa kutulia.
 
Katika kundi hili gumu miamba ya Afrika Young Africans wanaongoza kundi D,Kwa tofauti ya goli moja huku ikimuacha nyama Monastir aliye nafasi ya pili

Yanga na Monastir wameachana goili moja huku wakilingana point 10 na mechi za kesho zote mbili dhidi ya hizi timu mbili Zina maslahi makubwa kwani ndizo zitakazo nani anakutana na nani
hatua inayofuata

Pamoja na kuwa wote tumeshafuzu,ila ni kwanini hizi mechi zimewekwa muda tofauti!?

Yanga saa kumi jioni wakati Monastir yeye saa tano usiku,why!?

Kuna mwana Simba makini aliniukiza hili swali na miye nawauliza Wana sports forums CAF na Monastir Wana hofia nini mpaka kutenganisha muda hizi timu kucheza!?

Asante sana mkuu Rogers luyangi
Waliwapa sapoti kuhakikisha mnafuzu, waswahili hamna shukrani.
 
Mkuu usianze kulia lia, wiki mbili zilizopita tulipokuwa tunabishana kuhusu hizi mechi za mwisho nilikuhakikishia wewe na wenzako kina ukikaidi utapigwa2 na kuwa Yanga hataongoza hili group mkaniona mjinga.

Kuna mengi niliyoyaona na kuyaamini mpaka kusema vile kwa hiyo kaeni kwa kutulia.
Nitoe mimi kwenye hao wanao lia lia, timu yangu hata tukiwambiwa both legs tucheze away tunashida sina wasi wasi sisi hatu timii spray na uchawi kama wale jamaa
 
Nitoe mimi kwenye hao wanao lia lia, timu yangu hata tukiwambiwa both legs tucheze away tunashida sina wasi wasi sisi hatu timii spray na uchawi kama wale jamaa
Mna kitu na mtafika mbali ila group hamtaongoza. Waarabu hawakutaka kuwaamini katika makubaliano mliyofanya maana nyie ni kawaida yenu kugeuka wakaona kujihakikishia ngoja mechi yao ichezwe baada ya kwenu kuisha. Mfungeni sasa Mazembe goli 10 kama mnaweza 🤣😂🤣
 
Back
Top Bottom