SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Ndiyo hivyo. Waarabu wanasubiri nyie mmalizane na Mazembe wajue waweke nguvu kiasi gani kwenye mechi yao.Aahaahjaja
Mkuu nimeuliza tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hivyo. Waarabu wanasubiri nyie mmalizane na Mazembe wajue waweke nguvu kiasi gani kwenye mechi yao.Aahaahjaja
Mkuu nimeuliza tuu
Aahaaha,dawa yao ni kumkanda nyingi MazembeNdiyo hivyo. Waarabu wanasubiri nyie mmalizane na Mazembe wajue waweke nguvu kiasi gani kwenye mechi yao.
Baadae mtasema waraabu fekiNdiyo hivyo. Waarabu wanasubiri nyie mmalizane na Mazembe wajue waweke nguvu kiasi gani kwenye mechi yao.
Mkishida 10 wao watashinda 13 na sidhani kama mtaweza kumfunga Mazembe nyingi pamoja na kwamba sasa hivi ni choka mbaya.Aahaaha,dawa yao ni kumkanda nyingi Mazembe
Kama Real Bamako kavuta mpunga ofkoz waashinda zote hizoMkishida 10 wao watashinda 13 na sidhani kama mtaweza kumfunga Mazembe nyingi pamoja na kwamba sasa hivi ni choka mbaya.
Monastir kule ni kama Namungo tuBaadae mtasema waraabu feki
Wameloby Ili wapate nini!!?Simba wameloby
Kama na Yanga alivyoenda na jopo zima la GSM kuhakikisha mambo yanakwenda sawa. Baada ya kumfunga 6 Mazembe utasikia "tumeingia makubaliano ya ushirikiano na TP Mazembe kuanzisha academy"Kama Real Bamako kavuta mpunga ofkoz waashinda zote hizo
AaaahàaaaaKama na Yanga alivyoenda na jopo zima la GSM kuhakikisha mambo yanakwenda sawa. Baada ya kumfunga 6 Mazembe utasikia "tumeingia makubaliano ya ushirikiano na TP Mazembe kuanzisha academy"
Ndiyo hivyo. Maneno yangu ni maneno ya kutoka kwa mbarikiwa. Yachukulie kwa uzito unaostahili.Aaaahàaaaa
Kesho siyo mbali mkuu
Sawa ilo kundi ni lazima tuwe top we subiri uoneNdiyo hivyo. Maneno yangu ni maneno ya kutoka kwa mbarikiwa. Yachukulie kwa uzito unaostahili.
Hamna shida apoKatika kundi hili gumu miamba ya Afrika Young Africans wanaongoza kundi D,Kwa tofauti ya goli moja huku ikimuacha nyama Monastir aliye nafasi ya pili
Yanga na Monastir wameachana goili moja huku wakilingana point 10 na mechi za kesho zote mbili dhidi ya hizi timu mbili Zina maslahi makubwa kwani ndizo zitakazo nani anakutana na nani
hatua inayofuata
Pamoja na kuwa wote tumeshafuzu,ila ni kwanini hizi mechi zimewekwa muda tofauti!?
Yanga saa kumi jioni wakati Monastir yeye saa tano usiku,why!?
Kuna mwana Simba makini aliniukiza hili swali na miye nawauliza Wana sports forums CAF na Monastir Wana hofia nini mpaka kutenganisha muda hizi timu kucheza!?
Asante sana mkuu Rogers luyangi
Sawa mkuuHamna shida apo
Tunataka hakiHuo ni woga tu. Kama lengo ni kombe la CAFcc kwanini uanze kuhofia timu ya kukutana nayo robo fainali?
Ufalme unatekwa na Wenye nguvu.Huo ni woga tu. Kama lengo ni kombe la CAFcc kwanini uanze kuhofia timu ya kukutana nayo robo fainali?
Hao ndio walimtoa bingwa mtetezi Rs Berkane alie kukanda 4Monastir kule ni kama Namungo tu