SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Monastir katika timu zote 16 kwenye hatua ya makundi kombe la shirikisho, ndiyo ana rekodi mbaya katika maeneo mengi kuliko timu zote. Takwimu zinasema hivyo. Utakuwa punguani kupingana na takwimu kisa hazikufurahishi wewe.Wewe na mchambuzi wako wote hamnazo, timu imemtoa bingwa mtetezi halafu mnasema timu ni mbovu.
Halafu Monastir hakucheza mechi mbili bali ni mechi moja tu na anapoint 7
Vipi kiapo cha Yanga kutoongoza kundi imefikia wapi?