Kuna hujuma za upangaji wa matokeo ya kupata kinara wa D kombe la shirikisho?

Kama Real Bamako kavuta mpunga ofkoz waashinda zote hizo
Kama na Yanga alivyoenda na jopo zima la GSM kuhakikisha mambo yanakwenda sawa. Baada ya kumfunga 6 Mazembe utasikia "tumeingia makubaliano ya ushirikiano na TP Mazembe kuanzisha academy"
 
Kama na Yanga alivyoenda na jopo zima la GSM kuhakikisha mambo yanakwenda sawa. Baada ya kumfunga 6 Mazembe utasikia "tumeingia makubaliano ya ushirikiano na TP Mazembe kuanzisha academy"
Aaaahàaaaa
Kesho siyo mbali mkuu
 
Hamna shida apo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…