Mfuate jamaa mwambie nimejua unamla shemeji yangu. Baadae mfuate shemela mwambie ninajua unaliwa na fulani.Kuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu. Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Nimfanyeje ili waache nami niwe na furaha?
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
Everything is fair in love and war.Kuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu. Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Nimfanyeje ili waache nami niwe na furaha?
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
Lile dude lina sura mbaya ajabu, Lakini midume tunahangaika nalo mpaka wengine wanauana..Kwani akimla hambakishii blaza ?
Nimejisikia vibaya kweli. Kwani palikuwa na ulazima gani kuja kututangaza humu?Kwahiyo umeamua kuja kuniandika hapa eeehhh...
Sasa ngoja nikamkule tena sasahivi...
nitumie details za uyo njemba na za brooKuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu. Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Nimfanyeje ili waache nami niwe na furaha?
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
Braza wako ana pepo LA uzuzu, miaka minne hajashtukia issueKuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu.
Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Nimfanyeje ili waache nami niwe na furaha?
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
Ww sema lina sura mbaya wakati minyororo yetu ndio inapumzika mule kwa raha mustarehe mpaka inatoa udendaLile dude lina sura mbaya ajabu, Lakini midume tunahangaika nalo mpaka wengine wanauana..
Kwahiyo nyie ndio nyie? Yaani wewe ndio Chief Hangaya na huyo mwizi mwenzio ndio Jobo Nduugay.... Basi mimi mzee wa Mavieitee ntawaalika kwenye chuo changu cha uongozi kuwafundaNimejisikia vibaya kweli. Kwani palikuwa na ulazima gani kuja kututangaza humu?
Njoo tuendeleze hamna kurudi nyuma .
Kuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu.
Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
Kuwa na ushahidi wa kutosha mchane bro ataaamua mwenyewe kuzika au kusafirisha. Kama mtu analiwa nje na kila siku wanalala naye kitanda kimoja maisha ya bro yapo hatarini sana hata wahenga walisema "huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja" na pia "mafahali wawili hawakai zizi moja". Ukiendelea ku-hold hiyo taarifa ya kitu ya ujinga inayoendelea itakuja kukujutisha wakati ni too late na imekuwa useless kwa wakati huo.Kuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu.
Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Nimfanyeje ili waache nami niwe na furaha?
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
πππππWw sema lina sura mbaya wakati minyororo yetu ndio inapumzika mule kwa raha mustarehe mpaka inatoa udenda
Kwenye huo mwaliko nije nae mguu kwa mguu au nitangulie kwanza mimi?Kwahiyo nyie ndio nyie? Yaani wewe ndio Chief Hangaya na huyo mwizi mwenzio ndio Jobo Nduugay.... Basi mimi mzee wa Mavieitee ntawaalika kwenye chuo changu cha uongozi kuwafunda
Shenzy zenu na robotatu
Ntawabadilisha jinsia afu vikojoleo vyenu navihamishia usoni.Kwenye huo mwaliko nije nae mguu kwa mguu au nitangulie kwanza mimi?