Kuna Jamaa anamla Shemeji yangu

Nimeoa tena kwa ndoa. na wana watoto wa tatu.
Sasa mkuu kama shemeji yako amekuwa ni chakula kiasi cha kuliwa na huyo jamaa, si na wewe umle tu!

Au mwenzetu huna njaa kama ya huyo jamaa anaye mla?
 
Chawa Kama Chawa [emoji28] sema kwa hizi shobo za malaya wa jf mwamba lazma awe na uspesheli flani na mtu wa LG kwa sana..

Mkuu[emoji12][emoji12][emoji851][emoji851][emoji3] Stanii Kaka...Huyu Mwamba ni bonge la Handsome,Na Sio Mbahiri huwa namuona anatoa tuu Iwe Offer au Hata Warembo wakimuomba anawapa na Sometimes huwa anasahau kabisa kama ameshatoa...Mpaka mashosti wa Warembo wanaambiana sio Alishakupa wewe[emoji41]....Kiukweli He is Very Humbled,Gentleman!Hana Makuu
Ila Apunguze kubadili magari daa,Nimenote anayo kama 6hivi,Kingine bro Punguza kuazimisha kaka...
Ndio maana Hakuna Mrembo aliemuacha asirudi kamwe...mrembo yeyote Asiporudi huwa anajuta sanaaaa hili nimekishuhudia kaka[emoji12]
Cc: Asprin
 
Mfuate jamaa mwambie nimejua unamla shemeji yangu. Baadae mfuate shemela mwambie ninajua unaliwa na fulani.

Wakiendelea basi jua blaza hana mke... unamwambia live aachane na huyo malaya

Mpaka sasa hana mke mzeee.
 
Kinachomuuma jamaa mpaka akaja kuanzisha uzi huku ni shemela na kakaake wanatumia staili moja tu kifo cha mende ila kwa yule mjuba ni mwendo wa dog style.
 
Mfuate jamaa mwambie nimejua unamla shemeji yangu. Baadae mfuate shemela mwambie ninajua unaliwa na fulani.

Wakiendelea basi jua blaza hana mke... unamwambia live aachane na huyo malaya
Ushauri mbovu huu khaaah. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waachie ndoa yao, wee hayakuhusu hata. Acheni choko choko ktk ndoa za watu lol.
 
Ila uliaibika kwa Umbea, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Itategemea ukaribu wako na Bro ingekuwa mimi ningesoma upepo kama Bro ame relax na familia yake na mimi ningekausha tu. Heri nusu shari kuliko shari kamili.
 
Acha kujidanganya wee ndoa zina mambo mengi, mtakuja muumbuke buree, shauri zenu lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ubarikiwe sana wee mtu, na umeongea jambo zuri na la busara.
Kiufupi ndo ukweli wenyewe.
 
Kinachimuuma jamaa mpaka akaja kuanzisha uzi huku ni shemela na kakaake wanatumia staili moja tu kifo cha mende ila kwa yule mjuba ni mwendo wa dog style.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mfuate jamaa mwambie nimejua unamla shemeji yangu. Baadae mfuate shemela mwambie ninajua unaliwa na fulani.

Wakiendelea basi jua blaza hana mke... unamwambia live aachane na huyo malaya
Babu eeh..

Umeiweka kitaalamu sana.
 
Ila uliaibika kwa Umbea, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli niliona aibu.....lakini pia ilinijia huruma.....tangu hapo nimeamua kukaa mbali na mambo ya wanandoa....hata kama ni ndugu yangu wa karibu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…