Nsombas
JF-Expert Member
- Oct 25, 2018
- 285
- 427
Inasikitisha sana. Mungu amsaidie asijitoe uhai tu.Jamaa kamaliza chuo since 2015,matarajio yake yalikua this time lazima alambe ajira.
Surprisingly hajaona jina lake.
Alichofanya amenunua k vant chupa kubwa kajifungia ghetto kwake huku kafungulia mziki mkubwa wa reggae.