Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Then mfuko wa pension umtunze huyu mwenye nguvu kabisa kwa miaka 40 hadi 45 mingine hivi hivi?Solution ni kupunguza umri wa kustaafu,iwe walau 45,mwalimu anaondoka anapisha damu mpya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then mfuko wa pension umtunze huyu mwenye nguvu kabisa kwa miaka 40 hadi 45 mingine hivi hivi?Solution ni kupunguza umri wa kustaafu,iwe walau 45,mwalimu anaondoka anapisha damu mpya.
Bila kusahau KILIMOMzee kikwete aliwalemaza akili katika awamu yake,Ualimu ndio ilikuwa ajira yake kuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mabadiliko Ni lazima kwny Maisha,hata zamani ilikua unafunua chupi unakutana na tako ila siku hizi unafunua tako unakutana na chupi(Bikini).
Viti haukusikia harufu ya BOB MARLEY kweli?Jamaa kamaliza chuo since 2015, matarajio yake yalikua this time lazima arambe ajira.
Surprisingly hajaona jina lake.
Alichofanya amenunua k-vant chupa kubwa kajifungia ghetto kwake huku kafungulia mziki mkubwa wa reggae.
Then mfuko wa pension umtunze huyu mwenye nguvu kabisa kwa miaka 40 hadi 45 mingine hivi hivi?
Sure
Pole mkuu itakuwa ndio wewe unajisema afu hujijui kama unajisema.Kikubwa tupambane tu kitaa sio lazima wote tuwe government employeesJamaa kamaliza chuo since 2015, matarajio yake yalikuwa this time lazima alambe ajira.
Surprisingly hajaona jina lake.
Alichofanya amenunua k-vant chupa kubwa kajifungia ghetto kwake huku kafungulia mziki mkubwa wa reggae.
Nlimaliza chuo kikuu 2014,bahati nlikua na boda boda yangu.Kumbuka kipindi hicho nimeoa nipo 2 year na sema mwenzangu alikua na ajira ila ujuzi wa boda driving ulinisave sana mahitaji na kujikimu.Sikumuonea aibu mtu kua mi boda boda.Bahati 2015 jakata akatulamba ajira 33,000 na ushee.Pambano ni muhimuMshauri ajifunze kuendesha boda boda su bajaji.... htojutia huo uamuzi !
Sorry....JakayaNlimaliza chuo kikuu 2014,bahati nlikua na boda boda yangu.Kumbuka kipindi hicho nimeoa nipo 2 year na sema mwenzangu alikua na ajira ila ujuzi wa boda driving ulinisave sana mahitaji na kujikimu.Sikumuonea aibu mtu kua mi boda boda.Bahati 2015 jakata akatulamba ajira 33,000 na ushee.Pambano ni muhimu
Maisha ni kupambana tatizo wengi wakishamaliza chuo huwa wanaweka expectations ambazo haziendani na uhalisia wa maishaNlimaliza chuo kikuu 2014,bahati nlikua na boda boda yangu.Kumbuka kipindi hicho nimeoa nipo 2 year na sema mwenzangu alikua na ajira ila ujuzi wa boda driving ulinisave sana mahitaji na kujikimu.Sikumuonea aibu mtu kua mi boda boda.Bahati 2015 jakata akatulamba ajira 33,000 na ushee.Pambano ni muhimu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Ukifikisha miaka 34 hujapata ajira ya serikali fanya mambo mengine...