Bodhichitta
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 315
- 762
Alikushirikisha na akakuambia iwe Siri ila we umesema humu kwann??Wakuu heri ya jumapili.
Sijajua ni kuchanganyikiwa au vipi,kuna jamaa yangu kafunga safari kaenda huko kwao Magu kwa mganga ili tu awekwe sawa kwa ajili ya hizi kazi za tra zilizotangazwa majuzi.
Jamaa mwanzo alinidokeza hilo jambo na akawa ananishawishi na mimi niunge tera but mimi sio muumini wa imani hizo,jamaa karejea juzi naona mikononi kajaa Chale ananiambia keshapikwa akapikika, hapa kwa sasa anasubiri awe shortlisted ili mtanange uanze.
Hakika dunia ina maajabu sana.