Kuna jamaa yangu ameenda kwa mganga ili kuwekwa sawa kwa ajili ya kupata hizi kazi za TRA.

Kuna jamaa yangu ameenda kwa mganga ili kuwekwa sawa kwa ajili ya kupata hizi kazi za TRA.

Wakuu heri ya jumapili.
Sijajua ni kuchanganyikiwa au vipi,kuna jamaa yangu kafunga safari kaenda huko kwao Magu kwa mganga ili tu awekwe sawa kwa ajili ya hizi kazi za tra zilizotangazwa majuzi.
Jamaa mwanzo alinidokeza hilo jambo na akawa ananishawishi na mimi niunge tera but mimi sio muumini wa imani hizo,jamaa karejea juzi naona mikononi kajaa Chale ananiambia keshapikwa akapikika, hapa kwa sasa anasubiri awe shortlisted ili mtanange uanze.

Hakika dunia ina maajabu sana.
Alikushirikisha na akakuambia iwe Siri ila we umesema humu kwann??
 
Najiuliza kwa sauti,hivi elimu yake inamsaidiaje?,huu ni upungufu mkubwa wa fikra,na huyo jamaa lazima ataendelea kuwa teja wa huyo mganga, maana atamwambia kuna ku expire, lazima aje ku renew kila baada ya mda fulani,hatimae atashindwa hatakufanya,mwisho wake ni kibarua kuota nyasi, shirki ni ulevi mbaya sana kupita ulevi mwingine wowote.
 
Wakuu heri ya jumapili.
Sijajua ni kuchanganyikiwa au vipi,kuna jamaa yangu kafunga safari kaenda huko kwao Magu kwa mganga ili tu awekwe sawa kwa ajili ya hizi kazi za tra zilizotangazwa majuzi.
Jamaa mwanzo alinidokeza hilo jambo na akawa ananishawishi na mimi niunge tera but mimi sio muumini wa imani hizo,jamaa karejea juzi naona mikononi kajaa Chale ananiambia keshapikwa akapikika, hapa kwa sasa anasubiri awe shortlisted ili mtanange uanze.

Hakika dunia ina maajabu sana.
Ubatili
 
Back
Top Bottom