Kuna jambo lazima litafanyika hivi karibuni nchini Urusi ili kumaliza vita ya Urusi na Ukraine, na bei ya mafuta inaweza kuanguka kuliko kawaida

Kuna jambo lazima litafanyika hivi karibuni nchini Urusi ili kumaliza vita ya Urusi na Ukraine, na bei ya mafuta inaweza kuanguka kuliko kawaida

Wewe inaonekana upo gizani.

Mataifa ya Ulaya yanafanya kila jitihada kupata vyanzo vipta vya gas. Vita hii ikienda mpaka mwishoni mwa 2023, Urusi itashuhudia anguko kubwa la uchumi wake.

Kuna bomba la gas linajengwa toka Qatar kwenda Ulaya, toka Nigeria mpaka Ulaya. Miradi hiyo ikikamilika, Ulaya haitategemea gas ya Urusi. Pia kuna miradi kadhaa ya namna hiyo inaendelea kati ya Norway na nchi nyingine za Ulaya.

Mataifa haya ya Ulaya yanaamini sana katika akili zao kuliko mali asilia. Tulitaifisha migodi ya natural mica hapa Tanzania toka kwenye makampuni yao tukijua lazima watatupigia magoti, wakaja na synthetic mica. Hata gas isipokuwepo kabisa, mwishoni watakuja na suluhisho.
Inaonekana kama vile unaamini duniani watumia gesi ni watu wa Ulaya tu.. Kuna binadamu kwa mabilioni nje ya Ulaya na Marekani
 
Inaonekana kama vile unaamini duniani watumia gesi ni watu wa Ulaya tu.. Kuna binadamu kwa mabilioni nje ya Ulaya na Marekani
Sasa mkuu we mwenyewe hapo ukute hutegemei gas kwa matumizi yako hata 50%.
Lakini wao ni asilimia 100% wanatumia gas kwa hiyo kuuza gas ni faida mno na ile ni sehemu iliyo endelea sana.
Na jambo lingine tambua pia mataifa mengi yaliyo baki yana gas yao kiasi.
 
Yaani unasyongelea Urus kama unaongelea mavi.

Ulizia vipi HIMARS zimeishia wapi? Urus imeonesha uimara mkubwa sana, maana kipekee imeweza kukabiliana na Madola karibia 40 yenye nguvu.

Uchumi wa Ulaya umedolola na inflation ni kubwa sana, nilikuwa huku wiki kama tatu tuache utani, Uchumi wa Uingereza unasuasua, Marekani inegeukana na Saudi Arabia, Ruble ya Urus imezidi kuimarika katikati ya vikwazo.

Swala la chakula duniani tumeona, Urus ndo ana karata muhimu hapa duniani, Marekan kapigana vita kibao lkn dunia haikuwahi kutikisika hivi.

Maghara ya silaha Ulaya yapo depleted, mnasema silaha za Urus nidhaifu, are you serious guys?

Stingers, hiwitzers, Juveline, HIMARS zote pamoja na mifumo ya ulinzi imeshindwa kumzuia Putin kupiga popote hapo Ukraine.

Saivi ni Urus Vs NATO jiulize kama ingekuwa walau Ulaya tu bila Marekani wangeweza kuhimili?

Mpaka leo Marekani kashatumia zaidi ya dola bilion 18 kijeshi hapo Ukraine yaani trilion zaidi ya 40 lkn bado Urus imeyachukua maeneo manne waziwazi na yamepiga kura Ukraine akiwa anaona na Ulaya wakibweka tu.

Dunia hii tumejua wazi kuwa Urus imeweza kuitikisa Ulaya kisawasawa na hapa tunazungumza kama mzaha lkn Ulaya inaweza kuwa deindustrialized kama hujui Marekani anatamani hili jambo litokee ili Ulaya iendelee kuwa nyanya kwake.

Yote kwa yote sisi ni watoa maoni, Putin kajitaidi kwa kiasi chake lkn pia Ulaya na Marekani hawakujua kama Uchumi wao ungeweza kutikiswa kiasi hiki China anafurahia tu huu mpalaganyiko.

Afrika hatujielewi badala ya kutumia nafasi hii vizuri tupo kupinduana tu huko Afrika magharibi, mtoto wa Mseven anaongea utoto tu anapandishwa vyeo..very hopeless
 
Vita ya Urusi na Ukraine imeathiri karibu nchi zote duniani, na hasa upande wa mafuta. Vita hii imeleta hali ambayo haikubaliki duniani kote na ndani ya Urusi pia. Kimsingi, Putin ndio anaonwa kua chanzo cha haya yote.

Na ni wazi Putin hakutarajia kwamba hali ya vita na Ukraine ingekua kama ilivyo sasa. Kwa sasa anawaza sana jinsi ya kuepukana na aibu ya kupigwa na Ukraine. Juzi hapa alichukua hatua ya kulipiza kisasi na kupiga miji katika maeno ya raia, jambo ambalo alijua kabisa ni kosa kubwa sana katika sisa za kimataifa. Anatapatapa (desparate) na sasa kuna wasiwasi nje na ndani ya Urusi kwamba anaweza kutumia silaha za nuklia.

Mafanikio ya Ukraine yametokana na silaha sa kisasa sana tuka NATO. Ni silaha ambazo huwezi hta kukificha kifaru, na zinafanya Ukraine waone kila sehemu silaha za Urusi zilipo na kuzipiga wanavyotaka. Urusi ndio sasa wanatambua teknolojia ya NATO kwenye kuziona silaha zake iko juu sana. Kutumia vifaru kwenye vita ni sawa na kuamua kujiua! Ukraine amepiga maghala ya silaha karibu yote yanayoonekana katika sehemu zilizochukuliwa na Urusi, na lengo sasa ni kuizuia Urusi kupeleka silaha zaidi maeneo hayo, ndio maana wanaharibu madaraja.

Na juzi hapa kajaribu kujikosha na kusema nchi za Ulaya bado zinaweza kuendelea kutumia gesi ya Urusi maana kuna bomba lipo kusafirisha gesi hii kupitia Germany. Putin ameanza kulia poo lakini Wajerumani wamekataa ofa yake.

Na pia Ulaya imeamua kwamba hata vita ikiisha hawataki tena kuitegemea Urusi kwa gesi na mafuta. Hivyo hata vita ikiisha na Putin bado akawa raisi, hali ya uchumi kwa Urusi haitakuwa nzuri kwa kuwa atakuwa na mafuta na gesi kwa wingi bila kuwa na sehemu za kuyauza. Hili litaporomosha sana bei ya mafuta na gesi duniani. Saud Arabia kwa kutambua hili ameanza kujiweka karibu na upande wa Ukraine. Wamewapa USD 400 milioni kukabili athari za makombora ya Urusi kwa wananchi.

Katikati ya mafanikio ya kivita ya Ukraine, nchi hiyo na Ulaya wanatambua kwamba hata kama Ukraine wakifanikiwa kuyaondoa majeshi ya Urusi Ukraine na kurudisha maeneo yote huku Putin akiendelea kuwa Raisi wa Urusi, kuna sku atarudi tena akiwa amejiandaa vizuri zaidi na vita itakuwa mbaya zaidi. Kwa hiyo wanaona suluhisho la kudumu ni Putin kutokuwa raisi wa Urusi, eidha kwa kulazimishwa kuondoka, au ikibidi kuuwawa (assassination). Wanasema hili ndilo lilikuwa lengo la vikwazo vya uchumi kwa Urusi na matajiri wa Urusi, na lazima lifanikiwe ili amani ipatikane.

Ndani ya Urusi, kutambua kwamba kuendelea kwa Putin kuwa raisi wa Urusi ni janga litakaloendelea kuwakabili hata kama vita na Ukraine ikiisha, kumeanza kuleta vuguvugu wanalotaka mataifa ya Ulaya - Putin aondoke kwa njia moja au nyingine. Apinduliwe? Auwawe? Moja kati ya haya mawili linakuja na lita

athiri sana bei ya mafuta, hasa kuitelemsha. Watch this space
Yote yamesemwa ndani ya Biblia. Marekani na Washirika wake Mfalme wa Kusini; na atabaki hivyo mpaka mwisho wa mfumo Juu. Urusi na Washirika wake Mfalme wa Kaskazini; ingawa watajitutumua wawe world superpower hawatafanikiwa. Also watch the space about what is going on in Iran especially and China is also going there
 
Yaani unasyongelea Urus kama unaongelea mavi.

Ulizia vipi HIMARS zimeishia wapi? Urus imeonesha uimara mkubwa sana, maana kipekee imeweza kukabiliana na Madola karibia 40 yenye nguvu.

Uchumi wa Ulaya umedolola na inflation ni kubwa sana, nilikuwa huku wiki kama tatu tuache utani, Uchumi wa Uingereza unasuasua, Marekani inegeukana na Saudi Arabia, Ruble ya Urus imezidi kuimarika katikati ya vikwazo.

Swala la chakula duniani tumeona, Urus ndo ana karata muhimu hapa duniani, Marekan kapigana vita kibao lkn dunia haikuwahi kutikisika hivi.

Maghara ya silaha Ulaya yapo depleted, mnasema silaha za Urus nidhaifu, are you serious guys?

Stingers, hiwitzers, Juveline, HIMARS zote pamoja na mifumo ya ulinzi imeshindwa kumzuia Putin kupiga popote hapo Ukraine.

Saivi ni Urus Vs NATO jiulize kama ingekuwa walau Ulaya tu bila Marekani wangeweza kuhimili?

Mpaka leo Marekani kashatumia zaidi ya dola bilion 18 kijeshi hapo Ukraine yaani trilion zaidi ya 40 lkn bado Urus imeyachukua maeneo manne waziwazi na yamepiga kura Ukraine akiwa anaona na Ulaya wakibweka tu.

Dunia hii tumejua wazi kuwa Urus imeweza kuitikisa Ulaya kisawasawa na hapa tunazungumza kama mzaha lkn Ulaya inaweza kuwa deindustrialized kama hujui Marekani anatamani hili jambo litokee ili Ulaya iendelee kuwa nyanya kwake.

Yote kwa yote sisi ni watoa maoni, Putin kajitaidi kwa kiasi chake lkn pia Ulaya na Marekani hawakujua kama Uchumi wao ungeweza kutikiswa kiasi hiki China anafurahia tu huu mpalaganyiko.

Afrika hatujielewi badala ya kutumia nafasi hii vizuri tupo kupinduana tu huko Afrika magharibi, mtoto wa Mseven anaongea utoto tu anapandishwa vyeo..very hopeless
Yaani sisi waafrika tujielewe kwa kushabikia ujinga wa putin kuvamia nchi nyingine ambayo iko huru kabisa kama sisi hatujielewi basi yeye ni chizi kabisa yaani hamna kitu kichwan alafu kabla hujandika ugoro wako tena apa jukwaani jaribu kuwa unajielimisha basi ata kidogo je unafahamu matimizi ya STINGER , je unafahamu matumizi ya JAVELLIN, je unafahamu matumizi ya NLAW , je unafahamu matumizi ya HIMARS mzee wangu ama umeamua gu kujiropokea kama mnywa gongo ama chibuku mzee ukirudia tena kuandika pumba nakuignore leta hoja za vitu unavyovifahamu na siyo unaandika ujinga tu apa kajielimishe kwanza na ufahamu kwa usahi kazi na matumizi ya silaha izi zifutavyo

STINGER
NLAW
JAVELLIN
HIMARS
M777 HOWTIZER
MRLS M240 (advanced HIMARS)
CEASER
GEAPARD
ATACMS
NASAMS
IRIS_T L
IRIS_T LM


Ukisha fahamu matumizi ya izo silaha urudi apa tubishane
 
Sasa mkuu we mwenyewe hapo ukute hutegemei gas kwa matumizi yako hata 50%.
Lakini wao ni asilimia 100% wanatumia gas kwa hiyo kuuza gas ni faida mno na ile ni sehemu iliyo endelea sana.
Na jambo lingine tambua pia mataifa mengi yaliyo baki yana gas yao kiasi.
Nilikuwa namaanisha kuna wanunuzi wengine wengi wakubwa wa gesi na mafuta ya urusi zaidi ya Ulaya na Marekani
 
Vita ya Urusi na Ukraine imeathiri karibu nchi zote duniani, na hasa upande wa mafuta. Vita hii imeleta hali ambayo haikubaliki duniani kote na ndani ya Urusi pia. Kimsingi, Putin ndio anaonwa kua chanzo cha haya yote.

Na ni wazi Putin hakutarajia kwamba hali ya vita na Ukraine ingekua kama ilivyo sasa. Kwa sasa anawaza sana jinsi ya kuepukana na aibu ya kupigwa na Ukraine. Juzi hapa alichukua hatua ya kulipiza kisasi na kupiga miji katika maeno ya raia, jambo ambalo alijua kabisa ni kosa kubwa sana katika sisa za kimataifa. Anatapatapa (desparate) na sasa kuna wasiwasi nje na ndani ya Urusi kwamba anaweza kutumia silaha za nuklia.

Mafanikio ya Ukraine yametokana na silaha sa kisasa sana tuka NATO. Ni silaha ambazo huwezi hta kukificha kifaru, na zinafanya Ukraine waone kila sehemu silaha za Urusi zilipo na kuzipiga wanavyotaka. Urusi ndio sasa wanatambua teknolojia ya NATO kwenye kuziona silaha zake iko juu sana. Kutumia vifaru kwenye vita ni sawa na kuamua kujiua! Ukraine amepiga maghala ya silaha karibu yote yanayoonekana katika sehemu zilizochukuliwa na Urusi, na lengo sasa ni kuizuia Urusi kupeleka silaha zaidi maeneo hayo, ndio maana wanaharibu madaraja.

Na juzi hapa kajaribu kujikosha na kusema nchi za Ulaya bado zinaweza kuendelea kutumia gesi ya Urusi maana kuna bomba lipo kusafirisha gesi hii kupitia Germany. Putin ameanza kulia poo lakini Wajerumani wamekataa ofa yake.

Na pia Ulaya imeamua kwamba hata vita ikiisha hawataki tena kuitegemea Urusi kwa gesi na mafuta. Hivyo hata vita ikiisha na Putin bado akawa raisi, hali ya uchumi kwa Urusi haitakuwa nzuri kwa kuwa atakuwa na mafuta na gesi kwa wingi bila kuwa na sehemu za kuyauza. Hili litaporomosha sana bei ya mafuta na gesi duniani. Saud Arabia kwa kutambua hili ameanza kujiweka karibu na upande wa Ukraine. Wamewapa USD 400 milioni kukabili athari za makombora ya Urusi kwa wananchi.

Katikati ya mafanikio ya kivita ya Ukraine, nchi hiyo na Ulaya wanatambua kwamba hata kama Ukraine wakifanikiwa kuyaondoa majeshi ya Urusi Ukraine na kurudisha maeneo yote huku Putin akiendelea kuwa Raisi wa Urusi, kuna sku atarudi tena akiwa amejiandaa vizuri zaidi na vita itakuwa mbaya zaidi. Kwa hiyo wanaona suluhisho la kudumu ni Putin kutokuwa raisi wa Urusi, eidha kwa kulazimishwa kuondoka, au ikibidi kuuwawa (assassination). Wanasema hili ndilo lilikuwa lengo la vikwazo vya uchumi kwa Urusi na matajiri wa Urusi, na lazima lifanikiwe ili amani ipatikane.

Ndani ya Urusi, kutambua kwamba kuendelea kwa Putin kuwa raisi wa Urusi ni janga litakaloendelea kuwakabili hata kama vita na Ukraine ikiisha, kumeanza kuleta vuguvugu wanalotaka mataifa ya Ulaya - Putin aondoke kwa njia moja au nyingine. Apinduliwe? Auwawe? Moja kati ya haya mawili linakuja na litaathiri sana bei ya mafuta, hasa kuitelemsha. Watch this space

images.jpeg-28.jpg
images.jpeg-29.jpg
106939869-1631267252166-GettyImages-1234564873.jpg
images.jpeg-30.jpg
images.jpeg-33.jpg
images.jpeg-32.jpg
images.jpeg-31.jpg
 
Kuna mijitu humu inaota ndoto za Abunuasi, wafaransa wana nchi wameandamana kushinikiza serikali yao ijitoe katika kuisaidia Ukrain!
Maana mahitaji yamepanda bei maradufu!
Maandamano yanaendelea Ufaransa, Jamhuri ya Czech, ujerumani Italia nk kote huko viwanda vingi na biashara vilivyokuwa vinategemea gesi ya bei chee toka Urusi viko mbioni kufungwa. Hii inaashiria tafran kubwa watu kupoteza ajira lakini pia kupanda sana kwa bei za nishati na mfumko wa bei.. Itawachukua ulaya mda kidogo kupata mbadala wa gesi bei chee kama ya Urusi (wameanza kuwapiga mkwara wazalishaji wengine manunda kama Saudia) Kuwawekekea vikwazo na mibinyo mingine lukuki
 
Back
Top Bottom