Kuna jambo watu hawalioni kuhusu uchaguzi wa CHADEMA.

Kuna jambo watu hawalioni kuhusu uchaguzi wa CHADEMA.

Wee Economist naona kama umelipwa na Lissu ulete uongo hapa.Lissu alikuwa ughaibunu huko muda mrefu na chama kiliendelea bila yeye sasa sioni kishindwe vipi bila yeye !

Nimelipwa shilingi ngapi? Wewe kama inalipwa na Mbowe usidhanie kila mtu analipwa. Kumbuka 2020 Mbowe alitangaza kugombea urais ila Lissu alipochukua fomu Mbowe akaingia gizani. Jiulize Kwa Nini.
 
Ukitaka kuchukua dola lazima taasisi yako ui-test mwenyewe ama iwe tested. Endapo CDM itapita salama hapa basi mtapewa nchi na wanachi maana mtakuwa mmeiva.
Naamini 100% yoyote atakayeshindwa hataondoka bali atabakia kukijenga chama kwa umoja maana itakuwa zimebakia miezi kadhaa tu kwenda uchaguzi Mkuu.

Sitaki kuamini kwamba huu ni mpango wa Lissu na Mbowe ku test taasisi yao kama inaweza kuhimili misukosuko.

Litakuwa kosa kubwa la mwaka kwa CCM kudhami CDM inakwenda kugawanyika baada yq uchaguzi mkuu wao.
 
Kati ya Lissu na Slaa nani alikuwa na watu on ground achana na hawa keyboard warriors.
Wakati Slaa anaondoka ilikuwa ni uchaguzi wa cdm, wafuasi wa cdm walikuwa wamemchoka Mbowe kama sasa? Nionyeshe mahali ambapo wafuasi wa cdm walionyesha kumkataa Mbowe wazi wazi kama sasa.
 
Ukitaka kuchukua dola lazima taasisi yako ui-test mwenyewe ama iwe tested. Endapo CDM itapita salama hapa basi mtapewa nchi na wanachi maana mtakuwa mmeiva.
Naamini 100% yoyote atakayeshindwa hataondoka bali atabakia kukijenga chama kwa umoja maana itakuwa zimebakia miezi kadhaa tu kwenda uchaguzi Mkuu.

Sitaki kuamini kwamba huu ni mpango wa Lissu na Mbowe ku test taasisi yao kama inaweza kuhimili misukosuko.

Litakuwa kosa kubwa la mwaka kwa CCM kudhami CDM inakwenda kugawanyika baada yq uchaguzi mkuu wao.

Kweli kabisa Mkuu.
 
Kuna jambo nalitafakari kwa kina na ninadhani watu wengi hawajaliona Wala kulifikiria. Iwapo Lissu atafanyiwa figisu kwenye uchaguzi ndani ya CHADEMA na akatimkia ACT Nini kitatokea? Hili Jambo watu hawalioni.

Lissu akihamia ACT ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA kama chama kikuu Cha upinzani. Maana ataipa back up huku bara na kuwa chama chenye ushawishi mkubwa, na kule visiwani tayari ACT Ina mizizi. Ndipo kwama mara ya kwanza tutapata chama chenye kuungwa mkono Zanzibar na bara.

Hili Jambo nimelitafakari kwa kina Sana nikawaza itakuwaje?. Naomba Wana CHADEMA wenzangu tufanye uchaguzi kwa haki, atakaye shindwa aone ameshindwa kwa haki na tusikubali pesa zikatufanya tufanye maamuzi batili. Tuiangalie CHADEMA ya kesho sio Leo au Tusifanye uchaguzi wa kumpendeza mtu hapana, tufanye uchaguzi kwa Nia ya kuleta mabadiliko ndani ya CHADEMA.

Wakati wetu ni Sasa, tusiruhusu chama chetu kikapotea au kufa kwa sababu za kibinafsi za maslahi ya wachache, tumchague mgombea mwenye maono mapya na mwenye kujua uchungu wa harakati. Tusifanye makosa kabisa, Tanzania inatutegemea. Tusurudie makosa ya RENAMO Msumbiji mpaka ikapitwa na chama Cha PODEMOS kwa ushawishi na uungwaji mkono.


NB.
Siiamini ACT na Wala sidhani Kama kina Nia ya dhati ya kuiondoa CCM madarakani.
LISU AKIKATWA HATAENDA ACT BALI ATAANZISHA CHAMA CHAKE NA KUKUSANYA TOKA VYAMA VYOTE. HAPO NDIPO UTAMU WA 2025 ULIPO
 
Mimi namuona Wenje kama mtu aliyekuja kumuharibia nafasi Pambalu. Maana ametangaza pia kugombea ubunge Nyamagana. Pambalu alikuwa anachukua asubuhi jamaa kaja huku kumuharibi Kama alivyofanya kwenye Kanda ya Victoria.
Wenje na Yeriko wataelekea ACT wazalendo chama Cha Boss Wao

Boni Yai ndio atapata tabu sana 😄
 
Ukitaka kuchukua dola lazima taasisi yako ui-test mwenyewe ama iwe tested. Endapo CDM itapita salama hapa basi mtapewa nchi na wanachi maana mtakuwa mmeiva.
Naamini 100% yoyote atakayeshindwa hataondoka bali atabakia kukijenga chama kwa umoja maana itakuwa zimebakia miezi kadhaa tu kwenda uchaguzi Mkuu.

Sitaki kuamini kwamba huu ni mpango wa Lissu na Mbowe ku test taasisi yao kama inaweza kuhimili misukosuko.

Litakuwa kosa kubwa la mwaka kwa CCM kudhami CDM inakwenda kugawanyika baada yq uchaguzi mkuu wao.
Chadema imeshagawanyika ndio sababu Siri zenu ZOTE ziko CCM yaani hata alipouawa Meddy Chadema mkampigia Simu Dr Nchimbi mara 5 badala ya Muliro 🐼
 
Ila pia niseme hili ikiwa Mungu ameikataa CDM hakuna wa kuiokoa...si hali ya kawaida kwa Mwenyekiti wetu kutoona hatari iliyo mbele ya Chama kwa yeye kugombea.
 
Kuna jambo nalitafakari kwa kina na ninadhani watu wengi hawajaliona Wala kulifikiria. Iwapo Lissu atafanyiwa figisu kwenye uchaguzi ndani ya CHADEMA na akatimkia ACT Nini kitatokea? Hili Jambo watu hawalioni.

Lissu akihamia ACT ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA kama chama kikuu Cha upinzani. Maana ataipa back up huku bara na kuwa chama chenye ushawishi mkubwa, na kule visiwani tayari ACT Ina mizizi. Ndipo kwama mara ya kwanza tutapata chama chenye kuungwa mkono Zanzibar na bara.

Hili Jambo nimelitafakari kwa kina Sana nikawaza itakuwaje?. Naomba Wana CHADEMA wenzangu tufanye uchaguzi kwa haki, atakaye shindwa aone ameshindwa kwa haki na tusikubali pesa zikatufanya tufanye maamuzi batili. Tuiangalie CHADEMA ya kesho sio Leo au Tusifanye uchaguzi wa kumpendeza mtu hapana, tufanye uchaguzi kwa Nia ya kuleta mabadiliko ndani ya CHADEMA.

Wakati wetu ni Sasa, tusiruhusu chama chetu kikapotea au kufa kwa sababu za kibinafsi za maslahi ya wachache, tumchague mgombea mwenye maono mapya na mwenye kujua uchungu wa harakati. Tusifanye makosa kabisa, Tanzania inatutegemea. Tusurudie makosa ya RENAMO Msumbiji mpaka ikapitwa na chama Cha PODEMOS kwa ushawishi na uungwaji mkono.


NB.
Siiamini ACT na Wala sidhani Kama kina Nia ya dhati ya kuiondoa CCM madarakani.
Wafuasi wa Lissu mbona mna wasiwasi sana? Yaani kila siku ni ninyi tu. Mbona Mbowe na wafuasi wake wametulia? Kwani Lissu akienda ACT Wazalendo atakuwa wa kwanza kufanya hivyo? Je, Chadema haikuendelea kusimama?
 
Mbowe nayeye asipochaguliwa usikute atahamia CCM😀
 
... kuna magwiji wengi tu CCM wanangoja Lissu aondoke wapate jukwaa ndani ya CHADEMA ili kumvaa KIZIMKAZI!
YE WACHA 'ENDE ZAKE TU!
 
Kuna jambo nalitafakari kwa kina na ninadhani watu wengi hawajaliona Wala kulifikiria. Iwapo Lissu atafanyiwa figisu kwenye uchaguzi ndani ya CHADEMA na akatimkia ACT Nini kitatokea? Hili Jambo watu hawalioni.

Lissu akihamia ACT ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA kama chama kikuu Cha upinzani. Maana ataipa back up huku bara na kuwa chama chenye ushawishi mkubwa, na kule visiwani tayari ACT Ina mizizi. Ndipo kwama mara ya kwanza tutapata chama chenye kuungwa mkono Zanzibar na bara.

Hili Jambo nimelitafakari kwa kina Sana nikawaza itakuwaje?. Naomba Wana CHADEMA wenzangu tufanye uchaguzi kwa haki, atakaye shindwa aone ameshindwa kwa haki na tusikubali pesa zikatufanya tufanye maamuzi batili. Tuiangalie CHADEMA ya kesho sio Leo au Tusifanye uchaguzi wa kumpendeza mtu hapana, tufanye uchaguzi kwa Nia ya kuleta mabadiliko ndani ya CHADEMA.

Wakati wetu ni Sasa, tusiruhusu chama chetu kikapotea au kufa kwa sababu za kibinafsi za maslahi ya wachache, tumchague mgombea mwenye maono mapya na mwenye kujua uchungu wa harakati. Tusifanye makosa kabisa, Tanzania inatutegemea. Tusurudie makosa ya RENAMO Msumbiji mpaka ikapitwa na chama Cha PODEMOS kwa ushawishi na uungwaji mkono.


NB.
Siiamini ACT na Wala sidhani Kama kina Nia ya dhati ya kuiondoa CCM madarakani.
ACT hii ya Zitto!??
🚮🚮🚮
 
Dr Slaa ni Padre so lazima awe na wafuasi wachache na ndio sababu ilikuwa rahisi sana Mbowe kumtema

Lisu hata dhehebu lake limejulikana juzi tu pale Singida ndio sababu hadi Waislamu akina Shehe Ponda wanamuunga mkono bila hata kujiita Ustaadh Abubakar 😂😂😂
Hivi uwa ni dhehebu gani Lissu mwenyewe hata sijui
 
Back
Top Bottom